<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008</id><updated>2012-02-08T17:34:30.341+03:00</updated><category term='umeme'/><category term='We Mroki Mroki uliwaonaje hawa wazee wakitafakari?'/><category term='Mkoma अचुकुआ jiko'/><category term='peace'/><category term='ukimwi'/><category term='ff'/><category term='ukimbizi'/><category term='Tanzania Jurnos in US'/><category term='Kilimo Kwanza'/><category term='Tz'/><category term='rejea'/><category term='Tanzania sasa yayumba'/><category term='Wabunge wetu'/><category term='USA'/><category term='Lowassa'/><category term='Amina Chifupa'/><category term='Radar deal'/><category term='Kambona'/><category term='wajinga'/><category term='University of Maine'/><category term='Zadaiwa digree feki'/><category term='cheating.marriage'/><category term='soldier killer'/><category term='Safari'/><category term='Uenyekiti'/><category term='Naombeni Kura Zenu'/><category term='chai'/><category term='US judge praises Tanzania'/><category term='Kilimo Kwanza2'/><category term='Nyerere'/><category term='Tanzania IDs'/><title type='text'>Tanzania Yetu</title><subtitle type='html'></subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>131</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5963624105587190515</id><published>2012-02-07T08:43:00.004+03:00</published><updated>2012-02-07T09:11:25.732+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='chai'/><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Tz'/><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='wajinga'/><title type='text'>Tanzania nchi ya wajinga?</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-Nokj3t58NtE/TzDAFHaTuLI/AAAAAAAAAH8/iQlKQfKe4h4/s1600/chai%2Byaozeana%2Bkiwandani%2B1.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-Nokj3t58NtE/TzDAFHaTuLI/AAAAAAAAAH8/iQlKQfKe4h4/s320/chai%2Byaozeana%2Bkiwandani%2B1.JPG" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706271921999689906" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mara nyingi nimekuwa nikiumia. Nikilia. Nikigugumia kwa kuona umasikini mkubwa kwa watu wetu ukiendelea kutamalaki, licha ya Tanzania  kujaaliwa kila aina ya neema, kuanzia ardhini, angani na mazingira mengine.&lt;br /&gt;Katika neema hiyo, ardhi imebeba madini anuai; kuanzia yale ya thamani kubwa duniani kama almasi, dhahabu, Tanzanite (ambayo yanapatikana Tanzania pekee), urania, chokaa, shaba na madini mengine mengi.&lt;br /&gt;Mbali na hayo madini, katika ardhi hiyo hiyo kuna rutuba ambapo mazao ya kila aina humea na kuwa neeme nyingine kubwa kwa Watanzania.&lt;br /&gt;Hata hivyo, kama alivyowahi kueleza Mwalimu Nyerere (sasa marehemu) kabla ya kukutwa na mauti, kwamba Tanzania ina watu wachapa kazi, ardhi iliyo bora, lakini katika nyakati zetu hizi, inakosa uongozi bora hivyo kupatikana maendeleo kunaonekana kuwa ndoto licha ya kuenea kwa elimu, uelewa na uchumi kukua, - nashawishika kuongeza neno, siyo tu kwamba uongozi mbovu, bali ni uongozi wa kijinga.&lt;br /&gt;Ni uongozi ulioharibika karibu kila eneo, kuanzia chini kwenda juu. Juu ni mbaya zaidi kwa kuwa kumeshindwa kuona vipamumbele na kinachofanyika ni shaghalabhaghala. Kila mtu anafanya lwake bila kujali wanaoathirika ni wananchi, tena wakiwa masikini zaidi, huku vijijini.&lt;br /&gt;Mfano mmoja ni hii Bodi ya Chai, yaani kwa kutojali au kwa kukumbatia matajiri kwa sababu wanazojua wao, wameshindwa kutoa kibali kwa Kiwanda cha Chai cha Lipembe ili kiendelee na kazi na kuwa chachu ya maendeleo kwa wakulima wa eneo hilo na majirani zao.&lt;br /&gt;Ni kutokana na hilo, angalia sasa kiwanda hicho kinaozeana. Mitambo inaharibika na wafanyakazi wamesimamishwa. Wakulima chai yao inaoza. Hawana pa kuipeleka.&lt;br /&gt;Angalia- kila siku kiwanda kinalazimika kuharibu chai tani 52 ambazo huharibika kwa kuwa hazina pa kupelekwa- zinapotea zaidi ya milioni 4/- zinazopaswa kuwalipa wanaochuma chai.&lt;br /&gt;Mbaya zaidi kuna zaidi ya tani 100 za chai ndani ya kiwanda hicho zimelundikwa tu kwani hakiruhusiwi kuuza chochote. Hizi zinathamani ya Sh. milioni 600, zikiwa zinaharibika bila kuingizwa sokoni kwa walaji. Hiki ni kichaa!&lt;br /&gt;Kisa cha yote hayo ni kuwepo kwa kesi mahakamani baina ya wakulima, ambao  kimsingi ndiyo wamiliki halali wa kiwanda hicho na matajiri. Kwamba sasa bodi hiyo imegoma kutoa kibali kwa sababu hiyo.&lt;br /&gt;Inashangaza- tunalia umasikini wa watu wetu na kuna watu wengine wanakomazwa kiburi na fedha nazoshawishika kuamini wanapata kutokana na mgogoro huo. Hivi nini kinashindikinaka kuwaruhusu kuendelea na uzalishaji (biashara) wakati ikisubiriwa uamuzi wa korti.&lt;br /&gt;Amewahi kueleza mwanahabari mmoja, Mobhare Matinyi, kwamba Tanzania ni nchi ya wajinga. Nami bila aibu naungana naye.&lt;br /&gt;Tafakari&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5963624105587190515?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5963624105587190515/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5963624105587190515' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5963624105587190515'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5963624105587190515'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2012/02/tanzania-nchi-ya-wajinga.html' title='Tanzania nchi ya wajinga?'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-Nokj3t58NtE/TzDAFHaTuLI/AAAAAAAAAH8/iQlKQfKe4h4/s72-c/chai%2Byaozeana%2Bkiwandani%2B1.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-7897466521819741599</id><published>2012-02-07T08:38:00.001+03:00</published><updated>2012-02-07T08:40:49.760+03:00</updated><title type='text'>Obama grandmother sustains injuries in night car accident</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-2VLlNl-_dMY/TzC5QldxKeI/AAAAAAAAAHw/J8YVDhJ_3hU/s1600/Obama.mama.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 215px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-2VLlNl-_dMY/TzC5QldxKeI/AAAAAAAAAHw/J8YVDhJ_3hU/s320/Obama.mama.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706264422464432610" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;US President Barack Obama’s grandmother sustained bruises when the car she was travelling in overturned along a highway in western Kenya at the weekend. Hospital authorities said Sarah Obama, 90, was in shock when she was brought in but was treated and discharged to an unknown location.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The accident, which took place on Saturday night at about 9pm, is said to have occurred after the driver of the saloon car lost control while trying to overtake another at Otonglo on the Kisumu-Busia highway.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Witness speaks&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;According to a witness, Mr Dennis Owuor, residents rushed to the scene after hearing a loud bang. “When we came to find out what had happened, we discovered that a car had overturned and soon there were a number of police officers at the scene,” he said.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mr Owuor said the unusually quick response to a “minor accident” led them to suspect that a prominent person was involved. Kisumu police boss Musa Kongoli said Ms Obama was travelling to her home in Siaya, some 50 kilometres northwest of the city, when the accident occurred. “The vehicle was travelling from Kisumu to Siaya. The occupants were taken to hospital for treatment,” said Mr Kongoli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;- Daily Monitor&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-7897466521819741599?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/7897466521819741599/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=7897466521819741599' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/7897466521819741599'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/7897466521819741599'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2012/02/obama-grandmother-sustains-injuries-in.html' title='Obama grandmother sustains injuries in night car accident'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-2VLlNl-_dMY/TzC5QldxKeI/AAAAAAAAAHw/J8YVDhJ_3hU/s72-c/Obama.mama.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5214705402902792915</id><published>2012-02-01T13:52:00.005+03:00</published><updated>2012-02-01T13:55:42.774+03:00</updated><title type='text'>Mhariri Mkuu Wa Zamani Wa The Independent Kutembelea Kwanza Jamii Iringa</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-b_ww6df9KxE/TykZ8LV1YKI/AAAAAAAAAHM/aNgu2C0EGo0/s1600/PICHA.jpg"&gt;&lt;img style="display: block; margin: 0px auto 10px; text-align: center; cursor: pointer; width: 444px; height: 267px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-b_ww6df9KxE/TykZ8LV1YKI/AAAAAAAAAHM/aNgu2C0EGo0/s320/PICHA.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5704118924668657826" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="post-header"&gt;  &lt;/div&gt;  &lt;div  style="font-family:Arial,Helvetica,sans-serif;"&gt;&lt;span style="font-size:small;"&gt;Anaitwa  Simon Kelner ( Pichani), ni former Managing Editor wa The Independent,   gazeti kubwa Uingereza ambaye mwaka jana aliachia ngazi kwa hiyari na   kuanzisha taasisi inayohudumia vyombo vya habari, hasa kwa nchi za dunia   ya 'tatu'. Atatua uwanja wa ndege wa Nduli  hapa Iringa kesho kunako  majira ya saa nne asubuhi. Baada ya ziara ya siku moja ya Iringa,  keshokutwa atatembelea Njombe na kuona shughuli za gazeti la Kwanza  Jamii, Njombe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Source:Mjengwa Blog&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;span class="reaction-buttons"&gt;&lt;table width="100%" border="0" cellpadding="0"&gt;&lt;tbody&gt;&lt;tr&gt;&lt;td valign="center"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/td&gt;&lt;/tr&gt;&lt;/tbody&gt;&lt;/table&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5214705402902792915?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5214705402902792915/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5214705402902792915' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5214705402902792915'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5214705402902792915'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2012/02/mhariri-mkuu-wa-zamani-wa-independent.html' title='Mhariri Mkuu Wa Zamani Wa The Independent Kutembelea Kwanza Jamii Iringa'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-b_ww6df9KxE/TykZ8LV1YKI/AAAAAAAAAHM/aNgu2C0EGo0/s72-c/PICHA.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-4016741165626844180</id><published>2010-09-24T16:00:00.002+03:00</published><updated>2010-09-24T16:04:12.905+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Safari'/><title type='text'>Nimerejea tena</title><content type='html'>Ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi za kuwaletea mlo na pia kazi za kampeni - tuone kama zitakuwa na manufaa kwa miaka mingine mitano ijayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilitingwa na mambo mengi ya hapa na pale pamoja na safari zenye mashiko na zingine kukatizwa na woga wangu kwa madereva wengi wa mabasi ya mikoani ambao uvutaji bangi wao na utafunaji wa mirungi ulinitisha, huku wahusika, wanaowasimamia wakikaa kimya bila kuwakanya, kwa kuwa tu wenye mabasi hayo ni 'mashemeji' wa wakubwa wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa nipo na tuko pamoja.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-4016741165626844180?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/4016741165626844180/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=4016741165626844180' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4016741165626844180'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4016741165626844180'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/09/nimerejea-tena.html' title='Nimerejea tena'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-3539009338291974491</id><published>2010-02-14T16:19:00.002+03:00</published><updated>2010-02-14T16:22:14.703+03:00</updated><title type='text'>Kiss books goodbye, here is iPod</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3f49fZ_yxI/AAAAAAAAAFU/t6Kvz68e8O8/s1600-h/books.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 205px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3f49fZ_yxI/AAAAAAAAAFU/t6Kvz68e8O8/s320/books.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5438088810359409426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Anyone who has attended a literary festival will know the form. First the reading, discussion and questions, then the book signing. Several people bring a book to be signed. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Among them may be a man who slips several copies of your book out of protective plastic covers. He's probably a dealer. The easiest way to find out is to ask: "Who shall I sign it to?" A dealer will say in a rush: "Oh, nobody -- just your signature is fine."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;What happens to your book next? Does he post it on eBay? Does he lay it down in the garage like a vintage, in the hope that something magnificent or terrible, the Nobel prize or suicide, will happen to you and add enormous value to a signed book?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A printed book is more than a medium for reading. In the five centuries or so since Gutenberg invented movable type, entire ways of living, thinking and making money have grown up around books as tangible objects. The arrival of the ebook threatens this.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Last year Amazon sold half a million Kindles, its electronic reader, across the world. This year the target is at least three million. Apple recently launched its iPad, which has an iBook application that will allow access to hundreds of thousands of titles in the iBookstore, in the US. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The ebook abolishes the cost of ink, paper, binding, warehousing and shipping, as well as salaries and overheads in bookshops, if they survive. The benefits look like increased profits for publishers, improved royalties for authors and lower prices and more house room for the reader.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;But look at it through the paradigm of supermarkets and suppliers: Amazon and iBookstore are the supermarkets, the publishers are vegetable growers working on thin margins and the authors are the vegetables.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Publishers and agents are apprehensive about a revolution that will transform centuries-old economic models. One publisher told me: "Amazon were claiming at Christmas that six out of 10 sales were for ebooks, and if that becomes a general pattern then print runs will be dramatically smaller." &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Publishers, meanwhile, try to straddle old and new worlds. Macmillan in the United States forced Amazon to sell Macmillan ebooks at higher prices than Amazon's bargain basement $9,99, which is a more complicated story than it appears.&lt;br /&gt;Amazon loses money at $9,99 but needs to win customer loyalty, market share and, above all, sell more Kindles at $259 each. Conversely, Macmillan loses money at its higher prices because 30% goes to Amazon in agency fees.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;On the one hand, Amazon wanted to extend its ebook market; on the other, Macmillan needed to protect the sales of its printed books from dramatic underpricing of its ebooks by Amazon. Rupert Murdoch, who owns HarperCollins, has expressed similar anxieties.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Why is the ebook coming? Because a lot of capital has been invested in it. A good book's relationship to all this is like a strawberry's to the supermarket. We should enjoy them while we can, but think just a little of the grower. &lt;br /&gt;-- © Guardian News &amp; Media 2010&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-3539009338291974491?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/3539009338291974491/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=3539009338291974491' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/3539009338291974491'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/3539009338291974491'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/02/kiss-books-goodbye-here-is-ipod.html' title='Kiss books goodbye, here is iPod'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3f49fZ_yxI/AAAAAAAAAFU/t6Kvz68e8O8/s72-c/books.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-3775982793236439426</id><published>2010-02-12T20:05:00.001+03:00</published><updated>2010-02-12T20:09:49.457+03:00</updated><title type='text'>JK awabwatukia wabunge kumtaja</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3WLVQcWv1I/AAAAAAAAAFM/okQAi95HkxE/s1600-h/kikwete.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 231px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3WLVQcWv1I/AAAAAAAAAFM/okQAi95HkxE/s320/kikwete.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5437405322427154258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;RAIS Jakaya Kikwete amewaonya watu wote wanapita katika maeneo mbalimbali nchini na kujinadi kuwa wametumwa naye kugombea ubunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Amesema kuwa hakuna hata mtu mmoja alimuagiza aendee kugombea nafasi ya ubunge popote hapa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete alitoa kauli hiyo juzi usiku katika hafla fupi ya kuwapongeza wachezaji wa Timu ya Bunge ya Mpira wa Miguu baada ya kushinda timu nyingine za mabunge ya Afrika Mashariki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa yeye hana haja ya kumtuma mtu kuwania ubunge kwani ana nafasi 10 za kuteua wabunge, ambazo alidai zinamtosha kuteua watu ambao anawataka wamsaidia kuleta maendeleo kwa wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete alisema kama kuna watu wanaojitokeza kujinadi kuwa wametumwa na Rais, basi hao ni waongo na inabidi wapuuzwe na kukataliwa, kwani siyo wakweli kwa jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikwete aliwapongeza wabunge kwa kupitisha miswada mbalimbali ikiwemo ya gharama za uchaguzi ambao unalenga kudhibiti vitendo vya rushwa katika uchaguzi. Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa hatua hiyo itasaidia wagombea kutowarubuni wapiga kura kwa kuwapa fedha na kununua haki zao za msingi, hali inayorudisha nyuma maendeleo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vile vile alikumbushia nia ya Serikali kupeleka bungeni muswada wa kutenganisha shughuli za biashara na siasa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-3775982793236439426?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/3775982793236439426/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=3775982793236439426' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/3775982793236439426'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/3775982793236439426'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/02/jk-awabwatukia-wabunge-kumtaja.html' title='JK awabwatukia wabunge kumtaja'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3WLVQcWv1I/AAAAAAAAAFM/okQAi95HkxE/s72-c/kikwete.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5593538652445666886</id><published>2010-02-11T16:41:00.000+03:00</published><updated>2010-02-11T16:42:29.295+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Kilimo Kwanza2'/><title type='text'>Maofisa ugani wasojua Kilimo Kwanza kutimuliwa</title><content type='html'>MAOFISA ugani na watendaji wa baadhi ya kata za Mkoa wa Shinyanga nusura wafukuzwe kazi kutokana na kutojua maana ya KIlimo Kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waliokuwa katika hatari ya kukumbwa na hatua hiyo ni pamoja na maofisa hao kutoka kata za Imesela na Mwamala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo nusura ichukuliwe jana mjini hapa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dk. Yohana Balele baada ya kupata taarifa kuwa maofisa ugani na watendaji katika kata hizo ni hawajui hata kuwepo kwa KIlimo Kwanza na kwamba hawahamasishi wananchi kutekeleza kilimo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa ya wataalamu wanane waliotembelea kata hizo kukagua  na kuhamasisha kilimo, walidai kuwa maofisa katika kata hizo ‘wamelala’ na hawana habari na Kilimo Kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Balele alisema kuwa  kilichowashangaza viongozi waliokuwa kwenye msafara huo ni kuona kwamba wananchi wa kata hiyo walionekana kuwa hawajui kabisa maana ya Kilimo Kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inadaiwa kuwa baada ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa James Yamungu kubaini ‘ujinga’ huo kuhusu KIlimo Kwanza, alilazimika kuwa mwalimu wa kufundisha Kiliko Kwanza kwa wananchi wa kata hizo. Yamungu alikuwa kwenye msafara wa wataalamu hao kutembelea kata hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa ya wataalamu hao walidai kuwa watendaji na maofisa ugani katika kata hizo, wamekuwa wakifanya kazi nyingi ofisini badala ya kutembelea wananchi, hasa wa kulima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Inasikitisha sana kuona mtaalamu wa kilimo hajui maana ya Kilimo Kwanza, sasa huyu anaelimisha nini wqnanchi wake, hivyo namuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Shinyanga afanye juhudi za haraka kutafuta maofisa ugani wengine.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;‘Watu kama hawa hawatufai kabisa wala hawastahili kuendelea kuwa watumishi wa Serikali na mimi na waambieni mnabahati sana tunauhaba wa maofisa ugani, leo hii ningewavua madaraka wote sasa nawapa mwezi mmoja mjirekebisha la sivyo kazi hakuna’ alisema.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5593538652445666886?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5593538652445666886/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5593538652445666886' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5593538652445666886'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5593538652445666886'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/02/maofisa-ugani-wasojua-kilimo-kwanza.html' title='Maofisa ugani wasojua Kilimo Kwanza kutimuliwa'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-6459622970720837518</id><published>2010-02-08T20:09:00.002+03:00</published><updated>2010-02-08T20:14:45.116+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Radar deal'/><title type='text'>Tanzania gets back millions for bad radar deal</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3BGfqR_IoI/AAAAAAAAAFE/c56bpKL3hlI/s1600-h/Andrew+Chenge.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3BGfqR_IoI/AAAAAAAAAFE/c56bpKL3hlI/s320/Andrew+Chenge.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435922259975807618" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;TANZANIA is likely to be paid a substantial amount of money by the UK government following a settlement of a fraud case facing the BAE systems over the purchase of controversial radar in 2001. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Reports from the UK said that BAE Systems will give Tanzania about 60m US dollars being balance payments from millions of pounds the company has been fined for breach of financial regulations. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The funds, according to the reports, will be determined by the UK's Crown Court judge and would be channelled to Tanzania in the form of economic aid. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The UK's Serious Fraud Office (SFO) and the US Department of Justice reached an agreement on Friday whilst the SFO deal concentrates on the company's operations in Tanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;BAE Systems has pleaded guilty in the Crown Court for failing to keep reasonably accurate accounting records in relation to its activities in Tanzania. The firm is to admit two criminal charges and pay fines of 447m US dollars to settle US and UK investigations. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The radar purchase which said to implicate a former minister in the Tanzanian Third Phase government, Andrew Chenge and a number of local businessmen as well as senior government officials has made headlines all over the world. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Former UK's minister for international development, Ms Clare Short, protested fiercely on the purchase of the radar, saying that it was too costly for a poor country like Tanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;When asked for comments yesterday if the government was planning to arrest the local suspects in the deal, the Inspector General of Police, Said Mwema, said he was not aware of the agreement.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-6459622970720837518?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/6459622970720837518/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=6459622970720837518' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/6459622970720837518'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/6459622970720837518'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/02/tanzania-gets-back-millions-for-bad.html' title='Tanzania gets back millions for bad radar deal'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3BGfqR_IoI/AAAAAAAAAFE/c56bpKL3hlI/s72-c/Andrew+Chenge.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-531886596017899085</id><published>2010-02-08T19:53:00.002+03:00</published><updated>2010-02-08T20:01:09.848+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Tanzania IDs'/><title type='text'>Tanzania now to issue nationa IDs</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3BDTBxakCI/AAAAAAAAAE8/Ppo20xEePJA/s1600-h/kikwete.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 317px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3BDTBxakCI/AAAAAAAAAE8/Ppo20xEePJA/s320/kikwete.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435918744408461346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;THE first batch of national identity cards will be issued to Tanzanians before the end of this year, National Identification Authority (NIDA) Director General Dickson Mwaimu told editors in Dar es Salaam yesterday. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He said the main consultant for the job has already been picked while five foreign firms have been short-listed for the contractor's job. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Our target is to release the first batch of national ID cards later this year because the contractor will be picked up soon. We hope to start with people who are already organized such as employees," Mr Mwaimu said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He said Gotham International who have been involved in the whole process of coming up with a system of national identification have been picked as main consultants while core work will be done by a foreign firm to be picked from the five short-listed firms. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mr Mwaimu said the identity of the five short-listed firms will be known once the bidders are informed and ultimately the winning bidder is picked in line with Public Procurement Act of 2004. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania has had no national IDs and the process of putting in place a system to identify and issue the cards since 1964 has been bogged down in controversy and bureaucracy. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The latest bid to implement the giant 200bn/- project has seen establishment of the NIDA by President Jakaya Kikwete last year. Mr Mwaimu who formerly worked with Registration Insolvency and Trusteeship Agency was appointed as first DG in December. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Under the giant project, 14 sub-projects involving opening NIDA district offices, public awareness campaigns, field data collection, database and server installation, registration and finally ID cards issuance, will be implemented. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"It's not simply issuing people with cards, no. It's a whole system of identifying people and their places or origin, their work and where they live before giving them ID cards," Mr Mwaimu said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Last year, the Home Affairs Ministry spokesman, Mr Isaac Nantanga, announced six names of foreign firms which had been short-listed for the project after 54 bidders were evaluated by the ministerial tender board. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A controversy followed which involved allegations of influencing the tender process by Home Affairs Minister, Lawrence Masha. The Minister was later cleared by a probe team formed by the Parliamentary Defence and Security Committee. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The short-listed firms were Unisys of South Africa, Giesecke &amp; Devrient FZE of Dubai, Iris Corporation Berhad of Malaysia, Madras Security Printers of India, Marubeni Corporation in partnership with Zetes and NEC of Japan as well as Tata Consultancy Services in collaboration with Ontrack Innovations Ltd of India. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In 2007, President Kikwete said the government was determined to implement the project at any cost, because it is for the benefit of the country.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Daily News&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-531886596017899085?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/531886596017899085/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=531886596017899085' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/531886596017899085'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/531886596017899085'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/02/tanzania-now-to-issue-nationa-ids.html' title='Tanzania now to issue nationa IDs'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3BDTBxakCI/AAAAAAAAAE8/Ppo20xEePJA/s72-c/kikwete.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5075626969718366910</id><published>2010-02-08T19:48:00.002+03:00</published><updated>2010-02-08T19:53:01.504+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Zadaiwa digree feki'/><title type='text'>Mawaziri watajwa kuwa na digree feki</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3BBYbdxhhI/AAAAAAAAAE0/SDc-BPzA4nU/s1600-h/maptanzania.gif"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 312px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3BBYbdxhhI/AAAAAAAAAE0/SDc-BPzA4nU/s320/maptanzania.gif" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435916638181492242" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;MWANAHARAKATI na msomi wa taaluma ya sheria, Kainerugaba Msemakweli, anatarajia kuweka majina ya viongozi walioghushi vyeti vya elimu ya juu katika mabango ya matangazo yatakayowekwa barabara kuu za Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Mwanaharakati huyo ambaye amezindua kitabu - toleo la kwanza - chenye picha na majina ya mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge ambao anadai kuwa wameghushi vyeti vyao vya elimu ya juu.&lt;br /&gt;Kauli hiyo aliitoa jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari wakati akizindua kitabu chake kinachoitwa Orodha ya Mafisadi wa Elimu ambacho amekisambaza nchi nzima.&lt;br /&gt;Msemakweli alisema kuwa ameamua kufanya hivyo ili kuhakikisha anapambana na viongozi na watu wengine mashuhuri ambao wamekuwa na tabia ya kughushi vyeti ili kuonekana machoni pa jamii kuwa ni wasomi wakati siyo kweli.&lt;br /&gt;Alisema katika kuhakikisha tabia ya watu kughushi vyeti inakwisha hapa nchini, atahakikisha anatumia kila mbinu kutokomeza tatizo hilo na kwamba ataendelea kutoa vitabu vyenye majina na picha za viongozi vinara wenye vyeti anavyodai kuwa ni bandia.&lt;br /&gt;Msemakweli aliongeza kuwa mbali na kitabu hicho, pia atahakikisha anaweka majina katika mabango makubwa ya matangazo na kwamba zoezi hilo litaanza rasmi Februari 20 mwaka huu ambapo ataweka matangazo hayo katika barabara mbalimbali zikiwemo za Ali Hassan Mwinyi, eneo la Salender, makuatano ya Kawawa na Nyerere, eneo la Jangwani pamoja na Barabara ya Kilwa, eneo la Darajani.&lt;br /&gt;“Siyo kwamba nitaweka mabango hayo hapa Dar es Salaam, tu hata katika majimbo yao nitakwenda kuweka na ndio maana kitabu hiki nakiuza ili niweze kupata fedha za kufanyia shughuli hii ikiwa ni pamoja na kuendelea kufanya utafiti wa kujua viongozi na vigogo ambao wanaghushi vyeti vyao,” alisema Msemakweli.&lt;br /&gt;Mwanaharakati huyo alisema hataogopa mtu katika kutaja majina ya wote ambao ‘wamejibebesha’ elimu ambazo hawajaweza kuzipata na kwamba ambaye ataona hajamtendea haki akashitaki sehemu yoyote.&lt;br /&gt;“Sina hakika kama Serikali inaweza kuwashughulikia hawa mafisadi wa elimu kwa sababu watu hawa wapo karibu na Rais Kikwete hivyo siyo rahisi na ndio maana tangu mwaka jana, Oktoba nilipeleka taarifa hii kwa Spika wa Bunge na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, lakini mpaka sasa hawajaweza kufanyia kazi.&lt;br /&gt;“Nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu ili kujua suala hilo limefikia wapi, lakini kila napokwenda napewa majibu ambayo hayaniridhishi na kujibiwa kuwa suala hilo bado wanalifanyia kazi ilihali watu hao bado wako madarakani,” alisema.&lt;br /&gt;Awali katika mkutano huo, alilaani kitendo cha tume ya vyuo vikuu kukanusha madai yake aliyoyatoa Oktoba mwaka jana juu ya viongozi ambao hawana sifa za kuwa na vyeti wanavyojinadi navyo kuwa ni wasomi wa shahada na shahada za juu kutoka katika vyuo mbalimbali duniani.&lt;br /&gt;Mwanaharakati huyo alidai ushahidi wa kupewa taarifa na tume hiyo anao kutokana na kuandikiwa barua nane alizojibiwa na tume hiyo wakati akifanya uchunguzi wake wa kutaka kujua elimu za viongozi hao.&lt;br /&gt;Katika kitabu hicho ambacho katika jalada la mbele kimepambwa na picha za viongozi kumi ambao anadai kuwa wamegushi vyeti.&lt;br /&gt;Viongozi hao ni pamoja na Waziri wa Jumuia ya Afrika Mashariki, Dk. Diodorus Kamala, Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk. Mary Nagu, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Vijana na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga.&lt;br /&gt;Wengine ni Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Emmanuel Nchimbi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Mbunge wa Ismani, William Lukuvi, Victor Mwambalaswa, Mbunge wa Lupa (CCM), Omar Kwaang’w Mbunge wa Babati Mashariki, pamoja na Mbunge wa Mwanza, Anthony Diallo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5075626969718366910?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5075626969718366910/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5075626969718366910' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5075626969718366910'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5075626969718366910'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/02/mawaziri-watajwa-kuwa-na-digree-feki.html' title='Mawaziri watajwa kuwa na digree feki'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S3BBYbdxhhI/AAAAAAAAAE0/SDc-BPzA4nU/s72-c/maptanzania.gif' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-6743402809732488695</id><published>2010-02-05T20:13:00.001+03:00</published><updated>2010-02-05T20:15:03.772+03:00</updated><title type='text'>Tanzanian student murdered in India laid to rest</title><content type='html'>A STUDENT who was brutally murdered in Bangalore, India recently was finally laid to rest in Moshi, Kilimanjaro Region today minus the chopped off head. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The bereaved family has appealed to the government to make a thorough inquiry on the matter surrounding the death of Imran Mtui. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The family's spokesperson, ambassador Abubakari Ibrahim told the 'Daily News' that the family was not pleased with the result of Indian police's post-mortem which said that the death was train accident. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;''We refuse to believe that the findings are true because under normal circumstances accident could not chop off head and leave all other parts of the body intact. Our own sources told us that he was slaughtered,'' he said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ambassador Ibrahim wondered as to why police failed to find even the devastated head of their son, the fact that make them believe that the body was dumped near a railway to justify the accident. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;''We have taken still pictures of the body for future use because we will not rest until the truth is told,'' he said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He said that what makes the family more suspicious is the fact that in the past three months, three Tanzanian students have died in controversial circumstances. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;''We want the government to take the incidents seriously to save the life of other students who are also in the same boat.We want the government to question the Indian government on this series of killings,'' he said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sources from India had it that yesterday other two African students were killed, one from Ivory Coast and another one from Liberia also in notorious causes linked to murder. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The body of the late Imran who had recently completed his Bachelors Degree in Business Management was received at Julius Nyerere International Airport (JNIA) yesterday and later transported to Moshi where it was laid to rest today. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He was reportedly dead on January 31, this year and his body was found near the railway station in Bangalore. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Earlier, police in Bangalore informed the family members that the deceased had a broken neck and that his arm was slit open. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;However, the Minister for Foreign Affairs and International Corporation, Mr Bernard Membe said that he was in touch with the Tanzanian High Commissioner in India who was working closely with the government into the matter. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mr Membe said he was saddened by the news of the death of the Tanzanian student who completed his studies and was about to return home and promised that thorough investigations will be carried out to determine the cause of the death.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Daily News&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-6743402809732488695?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/6743402809732488695/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=6743402809732488695' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/6743402809732488695'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/6743402809732488695'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/02/tanzanian-student-murdered-in-india.html' title='Tanzanian student murdered in India laid to rest'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5814372820901086859</id><published>2010-02-05T20:10:00.000+03:00</published><updated>2010-02-05T20:11:44.128+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='peace'/><title type='text'>Tanzania still shines in peace</title><content type='html'>POLITICAL stability, good governance and competent leadership have been cited as key reasons that prompted Turkey to open an embassy in Tanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"President Jakaya Kikwete demonstrated the political will and commitment that had clearly shown the country's commitment to establish diplomatic relations with our country." &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;This was said here today by the Director General for Bilateral Political Affairs in the Turkish Ministry of Foreign Affairs, Ambassador Hassan Servet Oktem. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He further said that Turkey had earlier sent a number of requests to many African capitals seeking to open embassies but there was no response or rather received replies belatedly. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Dr Kikwete demonstrated good governance by immediately responding to the Turkish government's request to open a full embassy in Dar es Salaam," he said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The Director General praised Tanzania for the role she was playing in the region and the continent at large. He pointed out that Tanzania was a force to reckon with. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He added that Tanzania was not only a strong country in East Africa that has been able to maintain peace and stability but also continues to be taking the lead in this connection in Africa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The Ambassador said that Tanzania was a model of peace in Africa which ought to be emulated by countries that sought to promote peace and stability. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Meanwhile the ministry's Head of Department for Africa, Mr Kemalettin Eruygur, said that the Turkey-African Union strategic partnership was geared towards social, political and economic cooperation. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He added that this strategic partnership will be followed by an official meeting by senior officials in this year. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He also said that the official meeting was meant to make a follow-up on what was agreed upon in the 2008 Turkish-Africa cooperation summit. He further mentioned that another Turkish-Africa summit will be convened in 2013. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The official said that Turkey has already opened five embassies in Africa and was planning to open ten more missions in the near future. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The embassies already in operations are in Abijan, Accra, Mali and Tanzania. However, others will be opened soon in Angola, Uganda and Madagascar.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5814372820901086859?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5814372820901086859/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5814372820901086859' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5814372820901086859'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5814372820901086859'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/02/tanzania-still-shines-in-peace.html' title='Tanzania still shines in peace'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-7813174024296080088</id><published>2010-02-05T20:02:00.000+03:00</published><updated>2010-02-05T20:07:56.316+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='soldier killer'/><title type='text'>Soldier killer suspects being interrogated</title><content type='html'>SEVEEN suspects are helping police investigation following a grisly murder incident of a soldier with the Tanzania Peoples' Defence Forces (TPDF). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kagera Regional Police Commander (RPC) Henry Salewi told reporters today that on January 28, this year, police at Muhutwe police station, in Muleba district were told of an unidentified person who had committed suicide. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Police detectives were dispatched to Bugasha village, in Mayondwe Ward, where they found a body of a male person hanging from a tree. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He said a post mortem was conducted and the body was buried at the scene of accident. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Meanwhile, the RPC Salewi said relatives of MT 75655 Private Bwire Jackson Nyambileka (36) became worried after Bwire went missing for several days and reported the matter to police in Muleba district. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;According to RPC Salewi, Private Nyambileka, had arrived a few days ago from Biharamulo Twiga camp where he was transferred several months. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He said the late Nyambileka had come back to Kaboya camp to collect his family and belongings. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He said after getting the report about the missing soldier, police went to the court and obtained an order to exhume the body. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;''The relatives and his close friends identified the decomposed body as that of the Nyambileka. We have so far arrested seven suspects and further investigation was still in progress,'' he said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;RPC Salewi said the late Nyambileka's body had several parts missing including his private organ and both eyes had been pierced with a sharp object. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;However, RPC Salewi could not establish whether the incident was related to witchcraft beliefs. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He said the suspects will be arraigned before the court upon completion of the investigation.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-7813174024296080088?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/7813174024296080088/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=7813174024296080088' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/7813174024296080088'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/7813174024296080088'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/02/soldier-killer-suspects-being.html' title='Soldier killer suspects being interrogated'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-1400919181424487142</id><published>2010-01-21T20:10:00.003+03:00</published><updated>2010-01-21T20:20:31.966+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Kilimo Kwanza'/><title type='text'>Agricultural revolution, a politicized campaign in Tanzania</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S1iMlLPcjFI/AAAAAAAAAEs/ufC45PSPqFw/s1600-h/Most+of+farm+works+in+Tanzania+are+done+by+women.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S1iMlLPcjFI/AAAAAAAAAEs/ufC45PSPqFw/s320/Most+of+farm+works+in+Tanzania+are+done+by+women.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5429243921095756882" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Agricultural revolution, a politicized campaign in Tanzania&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;By Simon Mkina&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SITUATED on the Eastern Coast of Africa, Tanzania is one of Africa’s politically stable countries. The country is categorized as a least developed and low-income food-deficit country, with almost 80 percent of its total population dependent on mainly subsistence agriculture for their livelihood. Poverty remains widespread and recent statistics indicate that over 58 percent of the population lives on less than $1 per day. The population is estimated at 38 million.&lt;br /&gt;More than 40 percent of the population lives in chronic food-deficit regions where irregular rainfall causes recurring food shortages. With an estimated 1.4 million people already living with HIV/AIDS, this epidemic is exacerbating the country’s poverty level and has reduced agricultural productivity and the availability of farm labour in several districts. The epidemic is seriously undermining the capacity of poor households to sustain their livelihoods and remain food secure.&lt;br /&gt;As a result of these debilitating forces, many households are highly susceptible to repeated climatic and economic shocks, which make them vulnerable to food insecurity. According to the 2004/05 Tanzania Demographic and Health Survey, 38 percent of children under five in the country are chronically malnourished (i.e. stunted height for their age) while over 30 percent of all regions in the country have stunting rates of over 50 percent.&lt;br /&gt;In order to curb food shortage and impede foreign dependence in importing food, last June the Government launched a serious campaign called KILIMO KWANZA (literally – Agriculture First)  as a move to transform its agriculture into a modern and commercial sector.&lt;br /&gt;The Government also said the campaign which President Jakaya Kikwete is himself a pioneer, is aiming to integrate agriculture into its machinery to ensure its successful implementation and to mobilize increased quantum of resources towards the realization of the campaign.&lt;br /&gt;Critics of the campaign are describing it as another old wine in a new bottle for Tanzania has had many such initiatives that had sought to make the country not only food self-sufficient and secure, but also an exporter of agricultural produce and products but ended in disgrace.&lt;br /&gt;Columnist Karl Lyimo says that the likes of the campaign are Kilimo ni Uti wa Uchumi Wetu (Agriculture is the Backbone of the Economy), Siasa ni Kilimo (Politics is Agriculture), Siasa na Kilimo (Politics and Agriculture), and Kilimo cha Kufa na Kupona (Agriculture is a Matter of Life and Death) ended being verbal magic wands that never delivered.&lt;br /&gt;Dr Damian Gabagambi of Sokoine University of Agriculture in Morogoro Region likens Kilimo Kwanza to them saying it does not address the real issues that have stunted agricultural development such as lack of a focused strategy for specific crops and farmers.&lt;br /&gt;The chairman of the Agriculture Non-State Actors Forum, Mr James Davey, points at spontaneous and inadequate investments for the shoddy performance of the sector.&lt;br /&gt;The eastern and central Africa director of the International Institute of Tropical Agriculture, Dr Victor Manyong, said Tanzania has made a positive move in the right direction by realising the importance of investing in agriculture through the Kilimo Kwanza initiative.&lt;br /&gt;"It is very possible to achieve food security if African governments invest fully in the agricultural sector to improve productivity, diversifying food systems, and intensify regional trade for wealth generation.&lt;br /&gt;These include investing in agricultural research and facilitating farmers' access to inputs such as fertilizers, good seeds and pesticides, and also looking into the question of markets," he said.&lt;br /&gt;Tanzania, which increased the agriculture budget last year by 30 per cent compared to the allocation in fiscal year 2008/09, is not one of them.&lt;br /&gt;When tabling the budget last June, Finance and Economic Affairs Minister Mustafa Mkulo said during 2009/10 the government will put emphasis on improving agriculture and those areas supporting it in order to mitigate the impact of the recession.&lt;br /&gt;The sector was hence allocated Sh666.9 billion of the Sh9.5 trillion budget compared to Sh513 billion given to it from the Sh7.2 trillion budget during 2008/09.&lt;br /&gt;"In that regard, the Motto of the 2009/10 budget is 'Agriculture First'. Measures will be taken to ensure agriculture is allocated more resources, including agro-inputs and farm implements," Mr Mkulo told Parliament in Dodoma.&lt;br /&gt;He said priorities in implementing the budget will include ensuring timely availability of improved seeds, fertilizers, agro-chemicals and veterinary medicines. The government promised farmers that the Agricultural Input Fund would be sufficiently funded to meet that goal.&lt;br /&gt;The government would also support agricultural training institutions in order to produce more extension farmers and improve storage facilities.&lt;br /&gt;Despite being haunted by a host of obstacles - such as a lack of irrigation, inadequate roads and limited access to capital, agriculture grew moderately during 2001 - 2007. The sector, which employs about 80 per cent of Tanzanians, grew by 5.8 per cent in 2004 and then by5.1 per cent and four per cent respectively in 2005 and 2007 before slowing to 3.3 per cent last year.&lt;br /&gt;The sector, which once contributed 40-50 per cent of the wealth generated annually in the economy, is expected to grow by 2.4 per cent this year due to effects of the global recession.&lt;br /&gt;Mr Mkulo said the Government is, however, confident that the growth will pick up in the medium term (2009/10 - 2011/120) the basis of improved irrigation infrastructure, continued implementation of the $2.1 billion Agricultural Sector Development Programme, rehabilitation of rural roads, and improvements in extension services.&lt;br /&gt;While the contribution of other sectors, such as manufacturing; wholesale and retail trade, hotels and restaurants (including tourism); mining and infrastructures continues to rise, reflecting a remarkable change in the structure of the economy, that of farming has been declining.&lt;br /&gt;Tanzania has more than 44 million hectares of arable land, most of which is still virgin, and a wide variety of ecological zones, climates and water resources.&lt;br /&gt;The country could feed most of the East, Central and Southern African countries with food deficits in broader terms; agriculture remains hugely neglected and unexploited. Exports are lower now than in 1960s and 1970s, and productivity has plummeted to unprecedented levels.&lt;br /&gt;Currently a Tanzanian farmer produces food for two people (a farmer from EU produces enough food for 130 people) and as a result there is food shortage in the country and government spends its meager foreign exchange to import food.&lt;br /&gt;Agricultural Council of Tanzania (ACT) says that after over 40 years of alienation and sidelining, the sector will now play its due role in national growth and development.&lt;br /&gt;However, ACT chairman Juma Shamte cautioned that their hopes and expectations as well as the anticipated results of the initiative will come true with adequate funding of agricultural activities.&lt;br /&gt;However Chadema Secretary General, Dr Wilbroad Slaa, the fiery opposition politician criticised the 'Kilimo Kwanza' initiative, dismissing it as a "mere slogan by the ruling party, CCM government to hoodwink voters." &lt;br /&gt;"Tanzania peasants need fertilisers, seeds, infrastructure, education, markets for their produce and products and we cannot keep on singing Kilimo Kwanza,” he noted.&lt;br /&gt;Tanzania Roman Cardinal Polycalp Pengo criticised the approach in the 'Kilimo Kwanza' initiative, saying it would not bring about the desired success quickly.&lt;br /&gt;He said there was a need to focus on farmers themselves instead of concentrating on farming.&lt;br /&gt;Cardinal Pengo said the initiative should have been called 'Wakulima Kwanza' (Farmers First), and geared at providing farmers with appropriate knowledge and equipment to enable them to transform their lives.&lt;br /&gt;He warned that 'Kilimo Kwanza' would attract many foreign investors to the country, and sideline the locals.&lt;br /&gt;"It should have been called 'Wakulima Kwanza' because it would put more emphasis on educating farmers than emphasising on farming itself," he said.&lt;br /&gt;Cardinal Pengo said the government should have started with 'Wakulima Kwanza' and 'Kilimo Kwanza' would have followed automatically because people would have been empowered to modernise agriculture.&lt;br /&gt;"How can we say 'Kilimo Kwanza' when farmers don't have proper education on farming? The initiative will not work because it has not paid much attention to educating the farmers on how to change their way of farming."&lt;br /&gt;The Bukoba Diocese Auxiliary Bishop, Dr Methodius Kilaini urged the Government to set up clear strategies to help jobless youth in rural areas so that they may have clear visions and participate effectively in national development, especially under the 'Kilimo Kwanza' initiative. &lt;br /&gt;"All of us, religious institutions, politicians and the citizenry in general, must play a part to ensure agriculture becomes truly the economic backbone so that our youth can stay in rural areas and do productive," said Bishop Kilaini. &lt;br /&gt;The NCCR-Mageuzi General Secretary, Mr Samuel Ruhuza, concurred with Dr Slaa that the 'Kilimo Kwanza' initiative was impractical because of the poor agricultural investment environment in the country.&lt;br /&gt;Speaking on the government initiative campaign, The Ngara District Commissioner, Mr Salum Nyankonji said Kilimo Kwanza will fail should subsidies on farm implements and fertilizers would be distributed in a discriminative aspects.&lt;br /&gt;He said right now the government in implementing the campaign has directed only two districts in Kagera Region to benefit from the subsidies while the whole country need that help in order to make the campaign a reality.&lt;br /&gt;Apart from those critics, the writer of this article in a quick survey he did in Tanga and Dodoma Regions, most of the Village and District Agricultural Extensions Officers are not aware of the campaign saying they were not involves apart from hearing it from the media.&lt;br /&gt;“The campaign may sound good, but we are not involved in any way, so how are we going to tell farmers about the initiative and how they can participate to implement it,” said one officer who preferred anonymity.&lt;br /&gt;Putting extensions officer apart, some people do also not understand what the initiative is all about apart from seeing politicians attending meeting and seminars on Kilimo Kwanza.&lt;br /&gt;One Khamis Omari of Kibaha in Coast Region comments that half of the money set for implementation of the campaign will end up in politicians pockets Tanzania Minister for Agriculture Stephen Wasira said those who are criticizing the move are doing so by looking into past history as well as thinking the campaign is a political course in the coming general election.&lt;br /&gt;“Kilimo Kwanza is a reality and they will come to appreciate it before the end of this year as the government is in a position to prove that it can be done, they will come to know that all six regions earmarked for the start has greater impact after the campaign,” he said.&lt;br /&gt;Mr Wasira said it is not true that extension officers are not aware of the campaign saying Kilimo Kwanza has started to yield some fruits as all the ground work are going well including having exemplary farms.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-1400919181424487142?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/1400919181424487142/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=1400919181424487142' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/1400919181424487142'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/1400919181424487142'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/01/agricultural-revolution-politicized.html' title='Agricultural revolution, a politicized campaign in Tanzania'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/S1iMlLPcjFI/AAAAAAAAAEs/ufC45PSPqFw/s72-c/Most+of+farm+works+in+Tanzania+are+done+by+women.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5651051215004264260</id><published>2010-01-13T13:16:00.001+03:00</published><updated>2010-01-13T13:17:06.678+03:00</updated><title type='text'>Happy New Year</title><content type='html'>&lt;strong&gt;HAPPY NEW YEAR ALL MY READERS, CONTRIBUTORS AND FRIENDS.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5651051215004264260?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5651051215004264260/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5651051215004264260' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5651051215004264260'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5651051215004264260'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2010/01/happy-new-year.html' title='Happy New Year'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-9071913671120418770</id><published>2009-12-21T15:40:00.007+03:00</published><updated>2010-08-18T17:19:14.066+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Kambona'/><title type='text'>Kambona: a man hypocrites don't want to hear</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sy90PP2u0xI/AAAAAAAAAEk/IDmiXei8LnA/s1600-h/kambona.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 220px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sy90PP2u0xI/AAAAAAAAAEk/IDmiXei8LnA/s320/kambona.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5417676682052948754" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;NB: I published this article on November 30, 2007 during the comemoration of Kambona's death. I have decided to put it here to share with you about our forgoten history. This article received more than 14, 000 comments when published in JamiiForums. It was first publihsed by ThisDay newspaper&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;THIS is no ordinary day. It is the 10th anniversary of the passing of Oscar Selathiel Kambona, a true Tanzanian who contributed immensely to the making of our true history. &lt;br /&gt;Kambona was more than just a towering figure in politics. His life, his history from humble beginnings, and his love and passion for his country and faith, provide guiding principles to truly Tanzanians like me across the globe. &lt;br /&gt;He is more than just an ideal; he is somebody we need to enshrine and use to cast a light of nationalism on ourselves as a society and learn all that we have done wrong. &lt;br /&gt;It is said that when Kambona went into exile, he grew to become an icon who was respected by his wit. The thought of that humility, that respect, and the realization of the real success in this world and hereafter, brings tears to my eyes. &lt;br /&gt;Mr. Kambona was born on the shores of Lake Nyasa in a small village called Kwambe near Mbamba Bay in the district of Mbinga, Songea Region in 1925. He was the son of the Reverend David Kambona and Mrs Miriam Kambona. Reverend David Kambona belonged to the first group of African priests to be ordained into the Anglican Church of Tanganyika. &lt;br /&gt;When Oscar Kambona was a child, his father would tell him about his dream for independence of his country and Kambona grew up with a burning desire to be of service to his country. Kambona received his primary education at home under the mango tree, (which is still standing today) in his village by both his parents and uncle, all of whom were teachers. &lt;br /&gt;He was then sent to St Barnabas Middle School in Liuli and then Alliance Secondary School in Dodoma. His school fees were paid for by the European Anglican Bishop because his father couldn’t afford the school fees of 30 Pounds a year. Kambona told of how he convinced the Anglican Bishop to pay for his school fees by reciting the ’Lords Prayer’ in English. &lt;br /&gt;He was then selected to attend Tabora Boys’ Senior Government School where he first met Nyerere, who was already teaching at a Catholic School. On completing his secondary education, Kambona returned to his former Alliance Secondary School to become a teacher and was finally appointed the Schoolmaster. &lt;br /&gt;It was at a National Teachers’ Conference in 1954 when the two, Kambona and Nyerere met again. Kambona offered his services to the newly formed TANU movement. Nyerere replied that TANU could not employ him as it had no funds. Kambona answered that TANU had no funds because it didn’t have an Organizing Secretary and offered to give up his teaching post to work (without pay) to build up the party as its Organizing Secretary, living only off his saved up teaching salary for 6 months. During this time, Kambona traveled the country visiting chiefs and elders in a recruitment drive. At the end of 6 months, Kambona had successfully recruited 10,000 members. By the end of one year, TANU had over 100,000 fully paid up members. With the subscriptions Kambona opened the first bank account of TANU. He returned to Butiama to convince Nyerere to take up full leadership. &lt;br /&gt;After three years, Kambona decided to take up the Governor’s scholarship to study Law at the Middle Temple in the UK in 1957. While in London, Kambona also became Head of the Tanganyika Student’s Association, Chairman of the London Branch of TANU and met for the first time his mentor, the great Pan Africanist and thinker, George Padmore. George Padmore persuaded Kambona to attend the 1958 first All Africa’s People’s Conference in newly Independent Ghana. There, Kambona met his other great hero Kwame Nkrumah. While studying in UK, Kambona also became the first person to broadcast the news on the BBC Kiswahili Service. &lt;br /&gt;Back home in 1959, TANU had demanded ’Internal Self Government,’ otherwise they were to proceed with ’Positive Action’ as in the case of the Kenyan Mau Mau movement. While in London seeking approval for Internal Self Government, Nyerere discussed with Kambona possible outcomes to avert the serious situation. &lt;br /&gt;In his address to the Press in London in 1991 Kambona recalls some of the events: &lt;br /&gt;’’Mr. Nyerere was staying with me in my cramped student accommodation. We discussed how he could avoid returning to Tanganyika to face his supporters empty handed. I managed to persuade him to state at a press conference at the East Africa House in Marble Arch that: ’The white settlers in Tanganyika were the most reasonable in East Africa.’’ He agreed to do this on condition that I would suspend my law studies in London and return to Tanganyika to give him support before the National Executive Committee of TANU when he defended the ’most reasonable statement’. &lt;br /&gt;Following the first elections under universal, TANU won every seat but one. TANU formed the first government under Self Rule, with Julius Nyerere as the chief minister. It was also during the preparations that Kambona married Flora Moriyo from Kilimanjaro, during a trip to London in November 1960 to finalize the details of independence with the British Government. The ceremony was held at St Paul’s Cathedral, London and Julius Nyerere led the young bride to the alter. &lt;br /&gt;Kambona was appointed the Minister for Education. He later held posts as the minister for home affairs, minister for external relations and defence, the first Chairman of the OAU Liberation Committee and Chairman of the Drafting Charter of the OAU and finally minister for regional administration. &lt;br /&gt;In 1964 Kambona played a crucial role in the unification of Zanzibar and Tanganyika along side President Nyerere, President Karume and Chief Minister Hanga after the Zanzibar Revolution. He was also the main negotiator between the government and the rebellious army leaders in 1964, when soldiers from the Colito Barracks staged a mutiny. Nyerere and Kawawa were both led into hiding in Kigamboni. &lt;br /&gt;After three days of negotiations, Kambona consented to speed up the process of ’Africanisation’ within the army. In an interview with London�s Daily Telegraph, Kambona said: ’’after I had calmed down the soldiers, I went to fetch the other leaders in my Land Rover to bring them back to the city.’’ The British army eventually put down the mutiny and Nyerere praised Kambona for his bravery and loyalty. &lt;br /&gt;After the mutiny, differences between Kambona and Nyerere began to appear. Nyerere wanted to introduce a one party system into Tanzania to strengthen state security. Kambona argued against the move claiming that it would inhibit people’s freedom and progress towards democracy. However, Kambona was defeated in parliament. He refused to sign the bill. &lt;br /&gt;In 1967 after a trip to China in 1965, Nyerere impressed with Mao’s style of communism, wanted to adopt the same system under the guise of Ujamaa. The main doctrine behind Ujamaa was the relocation of peasants into village communes and the nationalization of all industries and property. Kambona did not agree with the policies, arguing that they would rather increase poverty and state control over the people. He resigned from the Government and the party and later with his family fled to neighbouring Kenya and then UK were he was granted political asylum. &lt;br /&gt;Immediately thereafter, Kambona’s properties were confiscated. His two brothers Mattiya and Ottini Kambona were detained without trial and put in prison for over ten years. Other family members were harassed and detained. Some were falsely accused of plotting to overthrow the Tanzanian Government and were tried and imprisoned by the Government. Most famous of these were Bibi Titi who fought alongside Nyerere in the independence movement and was head of the woman’s wing and also Michael Kamaliza, the former trade unionist and TANU member and government Minister. Other family members included Gray Mattaka, John and Elia Chipaka and Prisca Chiombola. Kambona was also accused of being the ring leader of the plotters while in London and was tried in absentia. The accused finally appealed to the East African High Court and were acquitted. Though they were later rounded up by the Tanzanian government and thrown into jail again. &lt;br /&gt;Kambona was also accused of stealing millions of public funds, which he rejected out rightly in a press statement issued on 6th September in London, 1967. The allegations claimed, ’’Kambona was found with a lot money when searched at Nairobi Airport’’. However in his press statement, Kambona challenged the Tanzanian government to request the Kenyan authorities to ’substantiate the allegations’’ which they never did. &lt;br /&gt;In London Kambona led a tough life in exile under considerable financial constraints. However in 1982, his two brothers Mattiya and Otini Kambona were eventually released from detention after the intervention of New Zealand Prime Minister Robert Muldoon. &lt;br /&gt;In 1990 anticipating changes in Tanzania, Oscar Kambona formed the Tanzania Democratic Alliance, an umbrella organization bringing together the various pro democracy parties. When a multi party system was introduced in 1992 Kambona requested to return to Tanzania. The Tanzanian government refused claiming that he was not a citizen. Kambona appealed to the British Government to give him a travel document to enter Tanzania. The Tanzanian authorities claimed that they would arrest him immediately upon entry. Nevertheless, on 5th September 1992, Kambona made the courageous journey back to Tanzania and triumphantly entered Tanzanian soil. No authorities were present to arrest him, though he was given only three months to sort out his nationality question. &lt;br /&gt;On returning to Tanzania Kambona found that the progress towards democracy was disappointingly slow. After experiencing several strokes Oscar Kambona died in London in 1997 where he was receiving medical attention. In a twist of fate his younger brother Ottini Kambona also died at the same time from heart failure. &lt;br /&gt;Kambona is survived by his wife and two children. His eldest son Mosi Kambona was murdered in London in unexplained circumstances. &lt;br /&gt;The memorial service will be held at St Nicholas Cathedral in Ilala today at 15.00hrs.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-9071913671120418770?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/9071913671120418770/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=9071913671120418770' title='40 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/9071913671120418770'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/9071913671120418770'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2009/12/blog-post.html' title='Kambona: a man hypocrites don&apos;t want to hear'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sy90PP2u0xI/AAAAAAAAAEk/IDmiXei8LnA/s72-c/kambona.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>40</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-7008554570949011257</id><published>2009-12-21T15:27:00.002+03:00</published><updated>2009-12-21T15:38:22.691+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Mkoma अचुकुआ jiko'/><title type='text'>Mkoma  anameremeta</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sy9ra_dAAPI/AAAAAAAAAEc/73KjqvNsvbM/s1600-h/mkoma"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sy9ra_dAAPI/AAAAAAAAAEc/73KjqvNsvbM/s320/mkoma" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5417666988203835634" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;George Josephat Mkoma, mfanyakazi wa Shirika la CARE International, Dar es Salaam akimshika mkono mkewe, Violet Shija Watosha wa Dar es Salaam ambaye ni mwanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dar es Salaam. Harusi yao ilifungwa Desemba 4 mwaka huu katika Kanisa la Azania Front Lutheran , Dar es Salaam na kufuatiwa na sherehe ya kukatwa na shoka ilifanyika ukumbi wa City Garden Restaurant, Dar es Salaam.  Blog hii inawatakia kila jema katika ndoa yenu na mbarikiwe kuwa  na familia yenye furaha iliyojazwa watoto pia.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-7008554570949011257?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/7008554570949011257/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=7008554570949011257' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/7008554570949011257'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/7008554570949011257'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2009/12/mkoma-anameremeta.html' title='Mkoma  anameremeta'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sy9ra_dAAPI/AAAAAAAAAEc/73KjqvNsvbM/s72-c/mkoma' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-4950316294706702108</id><published>2009-11-27T14:58:00.002+03:00</published><updated>2009-11-27T15:03:40.713+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='cheating.marriage'/><title type='text'>Cheating in marriages</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_ABbvG3_I/AAAAAAAAADM/Ht-RNVbhR6A/s1600/cheating.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5408752808352997362" style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; WIDTH: 240px; CURSOR: hand; HEIGHT: 320px" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_ABbvG3_I/AAAAAAAAADM/Ht-RNVbhR6A/s320/cheating.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Most men still have the 'cave' attititude! That women should stay at home and be taken care of, fine but live has changed so much that MOST men cannot meet the demand of their women, so women have gone out to look for something to add to the family or relationship. &lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Most Men dont like it!! Those men feel challenged. insecure and not able to expand their muscles when a woman is trying to support and care for the family/ relationship. Those men, most of them feel out of place when the provider is a woman. &lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;A woman will treat a man with respect and love, that man who shows respect and love in return. Love is two ways. you will get as much love as u give in return. &lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Why do women have to forgive their men who cheat and find it hard to forgive a woman who cheat?? Women ar kinder, loving and forgiving.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-4950316294706702108?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/4950316294706702108/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=4950316294706702108' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4950316294706702108'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4950316294706702108'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2009/11/cheating-in-marriages.html' title='Cheating in marriages'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_ABbvG3_I/AAAAAAAAADM/Ht-RNVbhR6A/s72-c/cheating.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-9156650131204908915</id><published>2009-07-30T13:15:00.002+03:00</published><updated>2009-07-30T13:19:51.480+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='rejea'/><title type='text'>Nimerejea</title><content type='html'>Ndugu zangu nawasalimu kwa upendo na baraka tele kutoka huku niliko&lt;br /&gt;Ni muda mrefu nimepotea kwenye anga hizi, sababu kubwa ikiwa ni kubanwa na majukumu ya kitaifa zaidi, hasa yanayohusu kuipigania mama Tanzania na watu wake. Kurejea kwangu hakuna maana kwamba majukumu hayo yakemwisha la hasha! Nimegundua kuwa sitafanikiwa ikiwa nitatumia njia moja tu au mbili, lazima niwe na njia kadhaa ili kufanikisha malengo, angalau kwa muda mfupi.&lt;br /&gt;Nasema nimerejea na tuko pamoja sasa.&lt;br /&gt;Aksanteni na poleni sana kwa kunikosa kwenye viunga hivi&lt;br /&gt;Mbarikiwe&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-9156650131204908915?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/9156650131204908915/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=9156650131204908915' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/9156650131204908915'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/9156650131204908915'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2009/07/nimerejea.html' title='Nimerejea'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-2184273322545925466</id><published>2008-08-20T19:24:00.000+03:00</published><updated>2008-08-20T19:29:36.161+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Tanzania sasa yayumba'/><title type='text'>Nchi inayumba, Kikwete vaa sura ya Kagame</title><content type='html'>Shikamoo,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;LEO nimeamua kuandika waraka huu kwako Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka inayokaribia mitatu sasa tangu ushinde na kuapishwa mwaka 2005 baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Napenda kutumia fursa hii kukupa pole kwa kazi ngumu ya kuongoza kundi la watu wengi wenye njaa ya tumbo, njaa ya ubongo na njaa ya tiba bora.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakika njaa zinazowakabili Watanzania ni nyingi na hazina ukomo, hasa zikiainishwa kwa nafasi binafsi, kaya, kata, kijiji, miji, majiji na taifa kwa ujumla wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni mnafiki pekee anayeweza kukudanganya, au wewe mwenyewe kudanganyika (ingawa hili najua siyo rahisi kwako kwa kuwa umeyaishi maisha ya wengi wetu), kwamba mambo ni shwari kila mahala. Kwamba HAKUNA MATATA.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka vyema, na bahati nzuri bado ninaendelea kuirejea hotuba yako ya mara ya kwanza Bungeni Dodoma ambayo ilisheheni ahadi na namna nzuri ya kumpunguzia Mtanzania ufukara (unaojumuisha njaa zote alizonazo).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila Mtanzania aliyekusikia siku ile ukiwa umetulia na kuisoma vyema, atakubaliana nami kwamba hotuba ile ndiyo ilikuwa dira yenye mwanga wenye miali ya kuchoma na kuunguza kero nyingi za watu wako waliokuchagua, hata wale wasiokipenda chama chako – CCM, kwa kura za kishindo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni hotuba ile iliyohuisha hatma ya maisha yao iliyokuwa imefikia mahali pa kuonyesha kukata tamaa, hata kama waliokutangulia walikuwa wakitamba kwa hadithi za kukua na kuimarika kwa uchumi mkuu, ilhali maisha ya watu yakiendelea kudhoofika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadri miaka ilivyokuwa ikisonga, hasa ule mwaka wa kwanza, matumaini ya watu wako yaliendelea kukupa muda kwamba neema ya kweli yaja. Hakuna aliyeonekana kuwa na haraka ya hiyo neema iliyoonekana katika hotuba yako na hata dhamira yako iliyojionyesha kuchukizwa na umaskini wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, ikiwa miaka mitatu inakaribia kukatika, asilimia kubwa ya matumaini waliyokuwa nayo watu wako wengi, kwamba wewe ndiye mkombozi aliyepo, inapungua kwa kasi ya kutisha, hata kama wasaidizi wako, hasa wale wanafiki na wanaojipendekeza watakueleza vinginevyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uhakika ni kwamba hata wewe unalitambua hilo kupitia kwa watu wako wengine wa karibu, wale wanaoitwa –mawaziri wa jikoni wa rais-hasa wanafamilia uliowapa jukumu la kukusanya ‘maneno’ ya watu wako huku kwetu mitaani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kasi ya kupungua kwa asilimia kubwa ya matumaini ya watu wako yanajiegemeza katika matukio mabaya yaliyoikumba nchi yetu, yakiwa yanafanywa ama na wasaidizi wako, uliowachagua kwa imani kubwa, au wafanyabiashara wenye kuhusiana nao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hilo halina kificho na wala hakuna haja ya kukueleza vinginevyo, kwani hata wao wenyewe walitambua na sina uhakika kama walijutia kuhusika kwao na dhambi za kuongeza ufukara kwa Watanzania, lakini angalau waliamua kuachia ngazi kwenye madaraka uliyowapa na wengine kuikimbia nchi, wakijificha huko walikotanguliza ‘vijisenti’ walivyowaibia watu wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufisadi. Ufisadi. Ufisadi. Hii ni dhambi ambayo imekuwa ikilaaniwa na wapenda nchi yao, ikiwa inabeba na dhambi nyingine nyingi, ambazo zimekuwa, siyo kero tu, bali mzigo mzito wa gharama za maisha kwa watu wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni ufisadi huo ambao umeongeza bei ya umeme, bei ya vyakula, ada kwa watoto wetu, nauli kupanda na hakika umegusa kila sehemu ya maisha ya wananchi wa Tanzania, kiasi kwamba serikali nzima unayoiongoza ikaonekana inachusha kwa kila mtu, isipokuwa mafisadi wenyewe, wake zao, watoto wao na hata vimada wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa leo wakati utakapokuwa ukilihutubia Bunge, mjini Dodoma, watu wako wenye kukata tamaa, wanataka uongee. Wanataka uzungumzie masuala yanayowakera kila uchao kwa sasa. Hawataki siasa ambazo tumezizoea zinazotolewa na viongozi wetu wanasiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi wanataka kusikia namna unavyochukia ufisadi kwa dhati ya moyo wako. Wanataka kukusikia na kukuona ukikunja ndita kuwalaani na kutoa amri kuu ya kuwachukulia hatua kali mafisadi wote wanaofifisha juhudi binafsi ulizoanza kuzionyesha mwanzo wa uongozi wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi, msema kweli mpenzi wa Mungu, nikushangae kidogo kwa kushindwa hadi sasa kuwakemea wakuu wafuatao; Mwanasheria Mkuu, Mkuu wa Jeshi la Polisi na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) kwa kushindwa hadi sasa kuwakamata watu walioandikwa katika ripoti uliyokabidhiwa majuzi juu ya uchunguzi wa Akaunti ya Malipo ya Madeni ya je (EPA).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwamba kwanini hadi sasa hawajawaadabisha mafisadi wake wakati timu yao imekamilisha kazi? N’nachojua mimi ni kwamba wao kwa kazi zao wangekuwa wamewakamata watu hao kwanza na ndipo baadaye wakupe ripoti hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Polisi wanatakiwa kuwakamata wahalifu hao, baada ya Mwanasheria Mkuu na Mkurugenzi wa Takukuru kuthibitisha kuwa walihusika na wizi huo, sasa wanasubiri nini au mpaka uwaeleze wawakamate watu hao? Wao wanafanya kazi gani, yaani kukupa ripoti basi? Wanasubiri nini? Au nao tuseme wako pamoja nao kama tulivyoshuhudia baadhi yao wakitetea wizi ambao bado unasumbua kupatikana kwa neema ya Tanzania?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama hawajawakamata tuseme hawajawatambua hadi sasa. Ikiwa ripoti hiyo imejaa maneno matupu kama ya ukasuku wa wanasisa, tafadhali achana nayo kabisa na usiisome kwani itakuondolea zaidi asilimia za imani kwa wananchi wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Idadi kubwa huku mitaani tunakopita na kuzungumza na wapiga kura wako, wengi wanaonekana kushangaa timu hiyo uliyoiunda, kwamba inasubiri nini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na hilo, wananchi wanatarajia kuwa utazungumzia na kutoa msimamo juu ya ‘mgogoro’ wa Muungano, hatma ya maslahi kwa wafanyakazi na zaidi sana suala zima la neema kwa kila Mtanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete, vitabu vitakatifu, ambavyo naamini unavithamini na ndiyo mwongozo wako, kabla ya Katiba, vinasema kuwa ukiona maovu yanatendeka, basi yazuie hata kwa upanga ili yasiendelee, ukishindwa yakemee hata kwa ulimi na ukishindwa kabisa, basi onyesha kuchukizwa na kuchukua hatua, hata kwa kupitia wengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua za namna hii, zimetumiwa zaidi na Rais wa Rwanda Paul Kagame na hatimaye sasa nchi hiyo iliyokuwa imegubikwa na vita, inapanda kwa kasi katika chati yake ya kuwaletea neema wananchi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utakapofaya hivyo, hakika utakuwa umemtendea haki Mungu Mkuu na waja wake Watanzania na thawabu zitarundikana katika fungu lako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakutakia kila jema uwapo Dodoma na unapojiandaa kwa safari yako ya Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wasalaam&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Simon Martha Mkina&lt;br /&gt;Simu: 0754 020880&lt;br /&gt;Email: &lt;a href="mailto:smkina@gmail.com"&gt;smkina@gmail.com&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Blog; &lt;a href="http://www.mkina.bloghspot.com/"&gt;http://www.mkina.bloghspot.com/&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-2184273322545925466?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/2184273322545925466/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=2184273322545925466' title='16 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/2184273322545925466'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/2184273322545925466'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2008/08/nchi-inayumba-kikwete-vaa-sura-ya.html' title='Nchi inayumba, Kikwete vaa sura ya Kagame'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>16</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-4085045183948190748</id><published>2008-07-08T22:25:00.000+03:00</published><updated>2008-07-08T22:33:46.450+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='ff'/><title type='text'>sss</title><content type='html'>&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-2c05ee038616457b" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v21.nonxt5.googlevideo.com/videoplayback?id%3D2c05ee038616457b%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331211390%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D46CC36235D102149413070D936D03A090ABB6D24.269456866AA6DE9FE19225AF216268BBDA6248F6%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D2c05ee038616457b%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DK7-2cDOroO_BDaEkWTkkoaNXPcw&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v21.nonxt5.googlevideo.com/videoplayback?id%3D2c05ee038616457b%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331211390%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D46CC36235D102149413070D936D03A090ABB6D24.269456866AA6DE9FE19225AF216268BBDA6248F6%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D2c05ee038616457b%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DK7-2cDOroO_BDaEkWTkkoaNXPcw&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-4085045183948190748?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='enclosure' type='video/mp4' href='http://www.blogger.com/video-play.mp4?contentId=2c05ee038616457b&amp;type=video%2Fmp4' length='0'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/4085045183948190748/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=4085045183948190748' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4085045183948190748'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4085045183948190748'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2008/07/sss.html' title='sss'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5999586739281462145</id><published>2008-07-01T13:24:00.000+03:00</published><updated>2008-07-01T13:31:46.527+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Tanzania Jurnos in US'/><title type='text'>Tanzanian journalists in US trip speaks</title><content type='html'>Get to know what our colleagues, journalists who are touring Maine University and other international  newsrooms are saying about their work environments back home. Please visit:   &lt;a href="http://www.wlbz2.com/video/default.aspx?aid=38834"&gt;wlbz2 television&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5999586739281462145?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5999586739281462145/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5999586739281462145' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5999586739281462145'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5999586739281462145'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2008/07/tanzanian-journalists-in-us-trip-speaks.html' title='Tanzanian journalists in US trip speaks'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5412916966461244523</id><published>2008-06-30T03:39:00.002+03:00</published><updated>2008-12-09T05:04:34.632+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='US judge praises Tanzania'/><title type='text'>US Judge praises Tanzania</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/SGgxo6XkzRI/AAAAAAAAACQ/0S7SZ5sZecY/s1600-h/woodcock.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://2.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/SGgxo6XkzRI/AAAAAAAAACQ/0S7SZ5sZecY/s320/woodcock.jpg" border="0" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5217474747241385234" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;District Judge of Maine in United States, John Woodcock has said Tanzania is a real model in Africa concerning peace and development.&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;div&gt;Judge Woodcock (pictured) expressed this when he was speaking to six Tanzanian Journalists who are visiting Maine University in Orono city mid this week.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;div&gt;"We know that Tanzania is almost the only country in Africa that has been experiencing smooth transition election and shifting of power, this is very nice," he said in one of district chambers.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;div&gt;The most respected judge in the US said African countries needs to pick a leaf from Tanzania should they want to have tangible development and peace.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;div&gt;He praised Tanzanians for keeping peace as their first priority in building their nation and asked them to keep it secure.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;div&gt;Speaking on corruption in The US, Judge Woodcock said for five consecutive years he had not received any case brought to him over corruption.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;div&gt;"For more than five years now, I have never come across any case on corruption, but this doesnt mean that there is no corruption in the US, it might be there in a small scale," he added.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt; This is contrary to Tanzania judicial circles whereby corruption cases are the order of the day, including grand corruption based on government funds embezzlement.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Tanzanian journalists are in the US for ix weeks training course sponsored by USAID. Te trip will take them to New York and Washington where they will visit some international class newsrooms and organisations.    &lt;/div&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;div&gt;    &lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5412916966461244523?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5412916966461244523/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5412916966461244523' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5412916966461244523'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5412916966461244523'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2008/06/us-judge-praises-tanzania.html' title='US Judge praises Tanzania'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/SGgxo6XkzRI/AAAAAAAAACQ/0S7SZ5sZecY/s72-c/woodcock.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-661831429095480607</id><published>2008-06-29T12:23:00.002+03:00</published><updated>2008-06-29T15:23:18.005+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='USA'/><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='University of Maine'/><title type='text'>In the USA</title><content type='html'>&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;Hi my buddies,&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Not see you long time men, you know what I was busy with my almost flopped trip as one of you were praying on my failure to come :)- No worry anyway.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Right now am giving &lt;a href="http://www.blogger.com/www.barackobama.com"&gt;Barack Obama&lt;/a&gt; a hand on his road to the White House next year.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;To  be straight am in Maine State, at &lt;a href="http://www.blogger.com/www.umaine.edu"&gt;Maine University&lt;/a&gt; for my short course in International journalism. It is a nice state university with state-of-the- art equipments and well trained tutors (professors, mind you).&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Our training is superb, based much in first hand experience with a minimum bookish-old- fashioned teaching.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;As I arrived a little bit late, am catching up what my buddies, we are six Tanzanian journalists, were  taught in the class and outside.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;We have visited some tv stations and print newsrooms around so far, expecting to travel again to Washington and New York where we will be visiting some international class newsrooms and meeting with UN big fishes, without going places to see what New Yorkers and Washingtoners enjoy their life. &lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Also, depending on financial muscles, will do a little shopping, Gods will, for our extended families at home.  &lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;I will keep you posted&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Love you and remain blessed&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-661831429095480607?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/661831429095480607/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=661831429095480607' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/661831429095480607'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/661831429095480607'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2008/06/in-usa.html' title='In the USA'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-6780920606278062542</id><published>2008-03-03T08:37:00.000+03:00</published><updated>2008-12-09T05:04:34.782+03:00</updated><title type='text'>why aren't black Tanzanians running the economy?</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/R8uP5eTu6bI/AAAAAAAAABg/B5D0ujihWR4/s1600-h/nyerere2.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5173386814516292018" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/R8uP5eTu6bI/AAAAAAAAABg/B5D0ujihWR4/s320/nyerere2.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;THIS world is not fair at all, especially The African and Black World. Go every corner in their world you find that black natives are the ones who don’t benefit much from what our Creator has give them. This is contrary to the world govern by our fellow Whites.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In Japan, the Japanese run the economy, in Germany, the Germans hold and run the entire economy to own benefits. In America, the Americans, especially those with light skinned are the ones who chew freely the economy while the original natives- the Red Indians are segregated.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In India, the economy is for Indians and for the Indians themselves. They can give out some assistance to other countries, but there should be more Indians. Like they portraying in Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;All those nationals they are benefiting the diamonds, golds, oil, uranium, waters, lands and all sort of God-given natural resources.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In Africa, it’s very contrary to that. The economy, natural resources; golds, diamonds, lands, waters and the like are managed and benefiting light skinned comers.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Why aren't the Africans, Tanzanians to be precisely running the economy? This is the biggest challenge I faced the other day from an American friend who paid a visit to my office. He kept on asking questions. Why you people are so poor? Are you mean? Don’t you have committed leaderships?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He said, he would expect to see Tanzanians leading very nice life as they have all precious lands, weather, natural resources and the like.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Why are you so poor? I told him I don’t know just as President Jakaya Kikwete does. He don’t know either why are we so poor to the extent that people are not aware of their next meal when they get one.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In Tanzania, white people; includes Indians, Americans, Germans are made up about 4% of the population but controlled most of the economy. In Tanzania the populations nears 40 milion.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;They control 25% of the land, 92% of the banking, all manufacturing, all tourism, 74 % of gold, diamond and Tanzanits reserves. Hivi sisi tumerogwa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;For leaving all those big percentage in hands of foreigners, no matter they have bought citizenships, black Tanzanias are going backwards, even though we occupy 90 % of the population."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;We need economic consciousness and to mobilise one another's spirit. We need economic leadership for ownership and control and we must work at owning our own intellectual property. Tanzanians needed economic solidarity.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;We need black economic solidarity so that we can support each other. Black people don't have solidarity like the white people do. Ni ubinafsi tu kwa kila mmoja. I wonder.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-6780920606278062542?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/6780920606278062542/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=6780920606278062542' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/6780920606278062542'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/6780920606278062542'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2008/03/why-arent-black-tanzanians-running.html' title='why aren&apos;t black Tanzanians running the economy?'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/R8uP5eTu6bI/AAAAAAAAABg/B5D0ujihWR4/s72-c/nyerere2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-4116459976634710841</id><published>2008-02-27T17:23:00.000+03:00</published><updated>2008-12-09T05:04:34.939+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Nyerere'/><title type='text'>Kikwete soma haya. Nyerere anakuasa</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/R8VzPkcvkrI/AAAAAAAAABY/1Ou3CNU7Tok/s1600-h/nyerere1.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5171666458424349362" style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; CURSOR: hand" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/R8VzPkcvkrI/AAAAAAAAABY/1Ou3CNU7Tok/s320/nyerere1.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Nilishituka katika usingizi na kujisikia mzito kupita kiasi na ghafla nikajikuta niko katika katika nyumba moja ya kawaida kabisa mahali ambako nikaaminishwa kwamba ndipo makazi halisi ya Baba wa Taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa kazi yangu ni kutafuta habari, nilihitaji sana maoni ya Baba wa Taifa, mtu ambaye anaujua kwa dhati uchungu wa Tanzania, watu wake na rasilimali zake na mara moja nikamkabili mzee huyo ambaye alikuwa anaonekana kuwa mwenye mawazo mengi na hudhuni iliyomfanya kuwa na uso uliochoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilisita kumuuliza kuhusu kilichokua kikinikera kwani alianza kulia aliponiona hali iliyonifanya nami nishindwe kujizuia kububujikwa na machozi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilianza kulia naye alinikumbatia na kuniambia, “nalilia Tanzania yangu, najutia yaliyotokea. Sikujua kwamba niliyemuamini amefanya yale niliyoyapinga kwa nguvu zangu zote.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipata ujasiri na kutoa kijitabu changu cha kuchukua dondoo za habari ili nianze kunukuu maneno yake. Kwa bahati mbaya nilikuta kijitabu hicho kimejaa, hakina nafasi kubwa ya kuandika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikaokota vipande vya karatasi jirani na tulipokuwa tumekaa na kuanza kuandika maneno hayo. Katika mazungumzo yetu nilijiona mpumbavu kwa kutokuwa na kaseti ndogo ya kurekodi, baada ya kuona mazungumzo yananoga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilitaka kujua undani wa maneno yake, na kwa kweli hakuwa na mengi ya kuzungumza na mahojiano yalikuwa mafupi mno, kasi cha kunifanya nipate maneno machache kutoka kwake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kusema analilia Tanzania yake, Mwalimu alisema, “zimwi la ajabu lenye mapembe ya rushwa, kulindana na matumizi mabaya ya madaraka, limeimeza Tanzania yangu. Msikate tama, pambaneni. Mwambie Jakaya (Rais Jakaya Kikwete) aangalie.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya maneno hayo nilipoteza ujasiri maana nilipoteza mwelekeo na sikuweza kuendelea na mahojiano yake kwa kina. Katika hali ya kawaida, mimi sio mtu wa kushindwa kufanya mahojiano na mtu yeyote, hasa nikipata nafasi lakini kwa Mwalimu nilikwama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla sijaondoka aliniomba nimsindikize akapumzike kwa kuwa alikuwa amechoka. Nilimshika mkono na kumepeleka hadi chumbani kwake, ambako kulikuwa na vitanda vitatu na kabla hajalala akasema, “Nilimzuia Jakaya mwaka 1995 nikijua mwenzetu amekomaa na ni msafi kumbe amekuja kuniaibisha kabisa.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo ni maneno machache na pengine kutokana na kuguswa nayo, ndiyo niliyoweza kuyanukuu nilipozinduka huku uso wangu ukiwa umetapakaa machozi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimejiuliza na kuwauliza watu wa karibu nami kuhusiana na ndoto hiyo, lakini nimepata majibu mchanganyiko ndio sababu hasa nimeamua kuwapa nafasi Watanzania wa Mwalimu Nyerere nao wapate maneno hayo. Sio lazima wayaamini, lakini wapate ujumbe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara baada ya Mwalimu kufariki, nilipata kuota ndoto ambayo alinieleza huku akitembea kwamba niwaambie ‘jamaa zangu’ kwamba hajapendezwa kabisa na kuuzwa ama kubinafsishwa kwa iliyokuwa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), jambo ambalo nakumbuka aliwahi kuliweka wazi wakati wa uhai wake tulipokuwa mjini Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku hiyo ilikuwa ni ziara ndefu ya kuanzia Dar es Salaam, Iringa mjini na hatimaye vijijini na baadaye Arusha, safari ambayo nilibaini ukakamavu wa Mwalimu katika umri wa utu uzima na hiyo ilikuwa miezi michache kabla ya kwenda nchini Uingereza kwa matibabu, safari iliyokuwa ya moja kwa moja. Hakurejea tena akiwa hai. Alipoteza maisha yake akiwa huko baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya damu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini, hadi sasa sifahamu kinachonisukuma kuwa na hisia kali na Mwalimu Nyerere, kwani kabla hata ya kutangazwa kuugua kwake, nilipata kuwaeleza wakubwa wangu wa kazi wakati ule, Salva Rweyemamu, aliyekuwa Mhariri Mtendaji wangu ambaye tulikubaliana kuwa na subira kabla ya kuandika habari hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilikuwa ni gazeti moja litolewalo kwa wiki kwa lugha ya Kiingereza ndilo lililotusukuma kuanza kuandika habari za ugonjwa wa Mwalimu, kwani liliandika habari ikielezea kwamba Mwalimu amezidiwa na amesafirishwa kwenda nje ya nchi, jambo ambalo halikuwa sahihi wakati huo. Tukaandika ukweli kwamba anaumwa, lakini yupo nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuliendelea kufuatilia habari zake hadi siku ambayo alikuwa akiondoka nchini kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Uswisi (Swiss Air), siku ambayo ni waandishi watatu tu ndio walikuwapo uwanja wa ndege, Absalom Kibanda, ambaye sasa ni Mhariri wa Tanzania Daima na mpiga picha Emmanuel Herman, ambaye amerejea tena Habari Corporation.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku hiyo nakumbuka, uwanjani hapo kulikuwa na kundi la waandishi wa habari waliofika kupokea wanamichezo waliofika Dar es Salaam kwa ndege ya Swiss Air iliyomchukua Mwalimu, lakini baada ya kuwapokea wanamichezo waliondoka bila kujua Baba wa Taifa anaondoka kwa mara ya mwisho kwenda Uingereza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka baada ya makosa kadhaa ya kitaaluma kutokea, nilimwambia Kibanda kwamba Mwalimu hatorudi. Sikuwa na sababu zozote za kusema maneno hayo na hakuna aliyezingatia maneno hayo na ndio maana hata mpiga picha wetu Herman hakupiga picha za kutosha katika tukio hilo. Niliumia sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka hata waliomsindikiza hawakuwa watu wazito kwani alikuwapo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, John Chiligati na upande wa Polisi, alikuwapo aliyekuwa Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Dar es Salaam, Salum Mkwama, na pia ofisa mmoja wa Wizara ya Mambo ya Nje, ambaye alikuwa pale kusimamia itifaki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Andrew Chenge, alikutana na Mwalimu pale VIP akiwa katika safari zake na hakuwa katika orodha ya waliofika kumsindikiza Mwalimu na mkewe Maria, huku familia ikiwakilishwa na mabinti wawili ambao walionekana wakiipungia mkono ndege ikiwa angani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hisia hizo zinanipeleka siku ya kifo chake, nilipojikuta nikianguka mara baada ya kuona sura ya Baba wa Taifa pale nyumbani kwake Msasani na haikuishia hapo kwani nilitoka nyumbani kwenda kusindikiza mwili Uwanja wa Ndege kwenda Butiama, lakini nilijikita nikidandia ndege ya jeshi la Afrika Kusini kwenda Musoma na hatimaye Butiama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haikuwa jambo la kawaida, kwani sikuwa na chochote zaidi ya nguo nilizokuwa nimevaa hata niliponyeshewa na mvua tukiwa katika msafara wa mwili wa marehemu sikuwa na nguo za kubadili na huko nilimkuta muongoza kwaya, Ansbert Ngurumo, ambaye naye “alizamia” kufika Butiama; hakuwa ameaga ofisini. Tulivutwa na mzimu wa Nyerere.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata Benjamin Mkapa, akiwa Rais aliyekuwa madarakani, alisema mbele ya kaburi la Mwalimu kwamba watakaofanya mambo kinyume na wosia wa Baba wa Taifa, “jinamizi lake litawashukia,” na kwa hakika inaelekea sasa “jinamizi” linaelekea kumshukia yeye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna ubishi kwamba mambo mengi ambayo Mwalimu aliyapinga kwa nguvu zake zote hadi anakata roho, Mkapa ameyakiuka ikiwa ni pamoja na sio tu kushindwa kabisa kupambana na rushwa, bali pia yeye binafsi kujihusisha na rushwa na ufisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu alipinga kabisa Ikulu kutumika kujinufaisha, lakini mara tu alipoaga dunia, Mkapa alianzisha kampuni akitumia rasilimali za umma, ikiwa ni pamoja na majengo, magari, wataalamu na hata kuamua kabisa bila aibu kushirikiana na waziri wake, Daniel Yona kufanya biashara wote wakiwa madarakani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kufahamu wazi kwamba Baba wa Taifa alipinga kabisa kuuzwa kwa NBC, Mkapa alijenga uhusiano wenye utata mkubwa na wamiliki wa benki hiyo, uhusiano ambao ulimuwezesha kuendelea kujineemesha yeye na familia yake na kujitanua kwa kujipatia nyumba nyingine jirani na ile aliyokuwa akiishi pale Sea View, Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni Mkapa huyo huyo ambaye sasa tunaambiwa kwamba kwa baraka zake, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imefanya ‘madudu’ ya ajabu ambayo kwa hakika ndiyo yaliyofanya Baba wa Taifa, aniijie katika ndoto baada ya kubaini kwamba nimekuwa nikiumia sana kwa jinsi Tanzania yetu ilivyotumbukizwa katika “janga la kujitakia”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna asiyefahamu kwamba Mkapa alitetewa kwa nguvu zote na Baba wa Taifa, wakati huo akionekana kama mtu pekee msafi katika kundi kubwa la wanasiasa walioomba kuwania urais mwaka 1995, mwalimu huko aliko sasa anajuta, lakini anamwambia Jakaya aangalie.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu analia Jakaya angalia, Tanzania na Watanzania kwanza mambo mengine baadaye, tuko nyuma yako ukiamua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuamua kwa Kikwete kutatokana na utashi wake binafsi na sio wa mashabiki wala watu waojikomba kwake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kuamua ndiko kutampa sifa na baraka tele kutoka kwa Mungu Mkuu baada ya kutovaa sura ya aibu kwa watu ambao wanamkwamisha kutekeleza azma yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Azma kubwa ya Kikwete ni maisha bora kwa kila Mtanzania, lakini sasa anaonekana kushindwa na wengi tunaamini kuwa anaweza, isipokuwa anaangushwa na hao wapambe wanaomzunguka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapambe wake ni wengi wakiwamo marafiki zake, wasaidizi wake wa karibu serikalini ambao kila jambo wao wanaona ni hewala, wakati ukweli ni kwamba Watanzania wanateketea na kutomuamini rais wao waliyemchangua kwa kura nyingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vyema, sasa Kikwete akaamua kabla muda haujawa mwingi, akawatosa wote wanaomuangusha na kumfanya kukosa thawabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka Simba wa Vita, Waziri Mkuu mstaafu, Rashidi Mfaume Kawawa aliwahi kukieleza kikao kimoja cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, kwamba ni vyema mtu anayetoboa jahazi akatoswa mapema, kwani kulelewa na kushangilia huku akiendelea na hujuma zake, mwisho wake ni abiria wote, pamoja na nahodha kuzama na kupoteza maisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikwete, wakati wa kuwatosa wote wanaokuangusha ni sasa na usijali urafiki, uswahiba au undugu na watu wa aina hiyo na hapo utakuwa umeokoka na kulitendea haki taifa la Watanzania. &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-4116459976634710841?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/4116459976634710841/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=4116459976634710841' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4116459976634710841'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4116459976634710841'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2008/02/kikwete-soma-haya-nyerere-anakuasa.html' title='Kikwete soma haya. Nyerere anakuasa'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/R8VzPkcvkrI/AAAAAAAAABY/1Ou3CNU7Tok/s72-c/nyerere1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-4525759524424623602</id><published>2008-02-27T17:09:00.001+03:00</published><updated>2009-09-04T15:19:43.583+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Lowassa'/><title type='text'>Wabaya wa Lowassa wamkamata</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/R8Vx7kcvkqI/AAAAAAAAABQ/FHjCjPqPOHQ/s1600-h/lowassa-important.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5171665015315337890" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/R8Vx7kcvkqI/AAAAAAAAABQ/FHjCjPqPOHQ/s320/lowassa-important.JPG" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Baada ya kusakamwa sana na kukabwa koo na wabaya wake, akidai kuwa wanachogombea ni uwaziri mkuu, Edo Lowassa, ameamua kuachia ngazi na sasa anabaki kuwa mbunge. Pamoja na kukosa ulaji huo, naamini atapata muda wa kuangalia ng'ombe wake na fursa ya kunywa maziwa na nyama kadri atakavyo akiwa anajichanganya na ndugu na jamaa zake.&lt;/div&gt;&lt;div&gt; &lt;/div&gt;&lt;div&gt;Kila heri Edo katika maisha mapya, tambua kuwa wakati ukivuta pumzi, kuna kesho usiyoijua.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-4525759524424623602?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/4525759524424623602/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=4525759524424623602' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4525759524424623602'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4525759524424623602'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2008/02/lowassa-sasa-aanza-kutapatapa.html' title='Wabaya wa Lowassa wamkamata'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/R8Vx7kcvkqI/AAAAAAAAABQ/FHjCjPqPOHQ/s72-c/lowassa-important.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5677614527840329662</id><published>2007-08-26T11:16:00.000+03:00</published><updated>2007-08-26T11:26:08.735+03:00</updated><title type='text'>Uchumi unakua na Lowassa wetu</title><content type='html'>NImemsikia Waziri Mkuu Edo Lowassa akisema kuwa uchumi unakua kwa kasi.&lt;br /&gt;Wengi wamezungumzia kauli hiyo ya mtendaji mkuu wa shughuli za serikali Bungeni mjini Dodoma aliyoitoa wakati akiahirisha Bunge la wale wakubwa wanaojiita wawakilishi wa wananchi, ilhali ukweli unaonekana kuwa kidogo katika hilo.&lt;br /&gt;Edo alisema wachumi wanathibitisha kuwa uchumi unakua na kwamba wanaokejeli kauli yake ni watu wasiokuwa na utambuzi wa namna uchumi ulivyo.&lt;br /&gt;Nami kama walivyo Watanzania wengi, sina ugomvi na kalu hiyo, ingawa napata shaka mno kulinganisha ukuaji huo na hali halisi yauchumi wa mwananchi mmoja mmoja.Hata aee namna gani, Lowassa hawezi kueleweka kwa wananchi wa kawaida ambao bado wanakula mara moja kwa siku, tena ikiwa ni kipande cha muhogo na kusukumia kwa maji, mabayo siyo safi wala salama.&lt;br /&gt;Hali hiyo inaonyesha ugumu wa maisha ulivyo sasa, kuliko hata kipindi kirefu kilichopita ukiondoa tu kile kipindi cha nyuma ambacho watu walilazimishwa kula dona la Yanga. Nilikuwepo wakati huo na nilishuhudia namna marehemu baba yetu alivyokuwa akitudamsha kuwahi nafasi katika foleni kweye maduka ya ushirika ili tupate kilo mbili tatu na kipande cha sababu.&lt;br /&gt;Ni vyema, Lowassa na wanene wenzie wakaona nana njema ya kueleza wananchi ukuaji wa uchumi ambao unaendana na hali zao za maisha, vinginevyo wananchi hawataelewa ana maana gani anapowaambia ukuaji wa uchumi ilhali maisha yao yanakuwa magumu kila uchao.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5677614527840329662?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5677614527840329662/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5677614527840329662' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5677614527840329662'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5677614527840329662'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/08/uchumi-unakua-na-lowassa-wetu.html' title='Uchumi unakua na Lowassa wetu'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-765068206346811583</id><published>2007-07-31T11:28:00.000+03:00</published><updated>2007-07-31T11:29:50.039+03:00</updated><title type='text'>Wakitushindwa, tuwabane watupe elimu ya neema</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;WAPO viongozi wa kada mbalimbali; mawaziri, manaibu wao, makatibu wakuu. Wapo pia wabunge na wawakilishi na wakuu wa taasisi kadhaa za serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimewaona wakurugenzi wa idara muhimu za serikali, nimewagusa wakusanya kodi wa nchi hii ambao wanatajwa kutumia ‘akili’ nyingi kuikumbatia ‘neema’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nao waandishi wa habari, madaktari, wauguzi, wataalamu wa maeneo kadhaa ya kusimamia rasilimali za nchi hii, ambazo kimsingi zinapaswa kuwafaidisha wananchi wote bila kujali rangi, kabila, uwezo wa kifedha wala wa kiakili na zaidi maeneo wanakotoka au wanakoishi, lakini zinaishia mifukoni na kwenye matumbo ya hao wachache na wale wanaowategemea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Idadi kubwa ya Watanzania ambao nimewataja na hata ambao hawajaguswa hapa, ni wepesi kutumia ‘akili’ zao kujineemesha binafsi badala ya kuangalia umma mpana wa Watanzania, unaohitaji zaidi kujituma kwao, uaminifu wao na uzalendo wao katika ujenzi wa nchi hii kwa faida ya taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, hakuna anayeonekana kufanya hivyo, kila mtu alipo anajitahidi kuchukua anachojidanganya kuwa ni mali yake binafsi au eti ni bahati yake kwa kuwa tu ana nafasi ya kuomba, kutoa rushwa na kufanya ufisadi mwingine unaohujumu uchumi na rasilimali za Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inashangaza watu hao waliopewa dhamana na taifa, au kukabidhiwa na ndugu zao au marafiki zao wenye ukuu katika maeneo kadhaa wakitumbua kila chembe ya neema ya Watanzania wote na kujidai kuwa ni kundi lisilohusika na kilio cha umasikini unaobeba magonjwa, ujinga na madhila mengine makubwa ya Watanzania wengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Eti wao ni watu wanaojiona kuwa na dunia yao ndani ya ardhi ya Tanzania. Hawana chembe ya utu kwamba mali wanazohujumu moja kwa moja au kwa kushirikiana na wale tunaowatambua kuwa ni wachimbaji na wachukuaji wa rasilimali zetu kwa manufaa yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hao wachukuaji wa rasilimali zetu, kwa kutuona siye ‘hamnazo’ wanatudanganya kwa pipi na peremende na wakati mwingine wakituletea shanga, ili wake zetu wavae au tutengenezee viatu na mapambo,  huku wakifaidi neema isiyooza tuliyoshushiwa na Mungu kwa ustawi wetu, lakini sasa ni kinyume chake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunawakumbatia, tena wakati mwingine kwa kukenua hadi magego kuonekana kwa kicheko, pale shule za watoto wetu zinapopewa eti msaada wa kujengewa matundu ya vyoo, kuchimbiwa visima na hata kununuliwa mipira miwili - mitatu eti kutoa mwanya kwa vijana wetu kujiburudisha. Tumekwisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaochekelea namna wanavyowanyonya Watanzania wenzao kwa kuruhusu rushwa kutembea, dawa za kulevya kusambaa na kutumiwa na vijana wetu, na kuona tukiibiwa rasilimali zetu huku wao wakisimamia, kamwe hawatadumu na furaha waliyonayo sasa kwa kuwa historia, itawahukumu hata kama wamekufa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi inawezekana namna gani Mtanzania tunayemfahamu kwa miaka mingi akiwa mtumishi wa serikali, akilipwa mshahara tunaoutambua akawa na mahekalu, magari ya kifahari, akisomesha watoto wake nje ya nchi kwa gharama za kupaa na zaidi akifanya manunuzi bidhaa za matumizi ya familia yake nje ya nchi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana vipi kiongozi ambaye tunayefahamu mshahara wake akamiliki nyumba ya milioni 200, wakati mshahara wake ni sh. 900,000 kwa mwezi. Huyu hata kama atadai amekopa pesa benki hawezi kuwa na hekalu lenye thamani ya namna hiyo. Atakuwa ametuibia tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtanzania wa aina gani atakubali kuwa mkurugenzi wa shirika lisilokuwa la serikali linalojinadi kuwahudumia wagonjwa wa ukimwi au kupigania ubora wa elimu akiwa na majumba na biashara kubwa Ulaya na Marekani kwamba mshahara au posho zake zinamuwezesha kuwa na mali nyingi kiasi hicho? Hakuna, lazima atakuwa ametumia migongo ya wanaotaabika kwa ugonjwa au ujinga kujineemesha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haiingii akilini, hata kwa kijana aliyemaliza darasa la saba akaamini kuwa mkusanya kodi akawa na meli na huku akitumia ndege ya kukodi kumsafirisha mkewe na watoto kusalimia wazazi wake mikoani, kwamba ni ujira wake ndiyo unaomtosha kufanya kufuru ya namna hiyo. Huu ni unyang’anyi wa silaha zaidi ya SMG.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majizi na mahujumu ya uchumi yanatofauti gani na majambazi au majangili ambayo kila uchao tunayatangazia vita, huku tukiyasahau  manyambizi yanayohujumu na kudumisha madhara kwa vizazi na vizazi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Tanzania ya leo, kila mmoja anapopata nafasi ya kuhudumia jamii kwa kusimia shughuli kwa niaba yetu sote, anaona amepewa upenyo wa kujineemesha kwa rushwa na kuhujumu uchumi kwa kadri ya uwezo wake wote. Tabia hii ya dhambi ya kutisha sijui imetoka wapi, nani kaileta na amejificha wapi miaka yote hii bila kutiwa nguvuni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi usalama wa taifa unaofanyika sasa ni kuhakikisha tu wakubwa wanaishi raha mstarehe bila hofu? Au majukumu yao siku hizi yametofautishwa na kulinda mambo kama hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jukumu la kunusanusa hao wanaoharibu taswira ya mbeleni ya nchi hii ambayo, bila kushtuka sasa itakuwa na kiza kitupu kwa watoto wetu wa sasa na hata wale wajao, limetolewa mikononi mwao?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hao wanaohujumu uchumi wetu, wanapaswa kujulikana na kuchukuliwa hatua zinazostahili, ili kwamba Tanzania yenye neema iwezekane kwa wote na siyo hao wanaobahatika kupata dhamana za kusimamia huduma na rasilimali zetu sote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama tunadhani wanaojitajirisha wana akili za ziada za kutafuta neema, basi usalama wa taifa uwakusanye na kuwalazimisha kuelimisha jamii pana namna akili walizonazo zinavyofanya kazi kwa kila mmoja ili Watanzania wote waishi kama wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana kuwa na Tanzania yenye ustawi kwa wengi ikiwa kila wenye dhamana watajitoa na kuweka uzalendo mbele na kuacha ubinafsi, tabia na mwenendo wa maisha ya chura wenye taswira ya; yangu…yangu…&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-765068206346811583?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/765068206346811583/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=765068206346811583' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/765068206346811583'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/765068206346811583'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/07/wakitushindwa-tuwabane-watupe-elimu-ya.html' title='Wakitushindwa, tuwabane watupe elimu ya neema'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-5528573427764444930</id><published>2007-07-07T13:49:00.000+03:00</published><updated>2008-12-09T05:04:35.279+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Amina Chifupa'/><title type='text'>Enzi za Uhai wa Amina Chifupa</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Ro9wX6vfY-I/AAAAAAAAAA8/mqEYN2Sz6yg/s1600-h/amina.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5084406060532327394" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Ro9wX6vfY-I/AAAAAAAAAA8/mqEYN2Sz6yg/s320/amina.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Hii ndiyo sura ya Mbunge wa Viti Maalum (Vijana) CCM, Amina Chifupa. Picha hii ilipigwa muda mchache baada ya kuukwaa uwakilishi wa vijana.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-5528573427764444930?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/5528573427764444930/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=5528573427764444930' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5528573427764444930'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/5528573427764444930'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/07/enzi-za-uhai-wa-amina-chifupa.html' title='Enzi za Uhai wa Amina Chifupa'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Ro9wX6vfY-I/AAAAAAAAAA8/mqEYN2Sz6yg/s72-c/amina.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-7024044020299535125</id><published>2007-06-22T17:11:00.000+03:00</published><updated>2008-12-09T05:04:35.445+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Wabunge wetu'/><title type='text'>Ni mpambano wa Bajeti na wananchi, washindi wabunge</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RnvechhxxcI/AAAAAAAAAA0/A0Q_5h4GKr8/s1600-h/17.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5078897586408113602" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RnvechhxxcI/AAAAAAAAAA0/A0Q_5h4GKr8/s320/17.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Jamani,&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;NIMESHANGAA sana leo, eti wabunge wetu, ambao kazi yao kubwa ni kupitisha au kutishia kutopitishwa kwa geresha, hatimeye wamepitisha kwa kauli moja Bajeti ya Serikali ya mwaka 2007-2008.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Kimsingi, bajeti hii iliongoza kwa kupingwa na wananchi na wengi wakiamini wabunge, bila kujali U-CCM wao au hata vyama vingine, wangekuwa pamoja na wapiga kura wao. Lakini wapi, mambo yanayosomwa na waheshimiwa sana mawaziri, ndiyo kinachopita, bila kujali nini na wapi nani anapinga nini.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Imeshapita hivyo, basi tuendelee kuwa pamoja wananchi kwa kuumia na machungu ya bajeti hiyo itakayoanza kuuma Julai Mosi.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Haijalishi wewe una gari, unatumia barabara, unatumia mafuta ya taa au hata maji kufika ofisini kwako na kurejea nyumbani, lakima umekamuliwa kiasi ambacho huwezi kupumua. Tuombe Mungu Mkuu atatunusuru.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Wabunge waliotarajiwa na wananchi, wameshindwa kufanya lolote kuondoa angalau senti kadhaa kwenye bajeti, achana na shilingi.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Nawaapia kwa jina lolote, isipokuwa la Mungu Mkuu, kwamba usiku huu Waziri Mkuu, Mawaziri, wabunge wote, na hata waandisi waliokuwa wakiandika kuonyesha namna bajeti itakavyoua mtazamo wa serikali wa kuhakikisha kila Mtanzania anakuwa na maisha bora, watakavyokuwa wakitafuna vyuku, kunywa mibia na mvinyo, kusheherekea kupita kwa bajeti hiyo. &lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Hata wewe msomaji unakaribishwa ukiwa Dodoma, kusogea eneo la tukio na angalau kufaidi harufu ya vyakula vinono.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Ninasema vita vya bajeti na wananchi, washindi wamekuwa wabunge. &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="color:#cc0000;"&gt;Pichani anaonekana Mkurugenzi Mtendaji wa The Foundation for Civil Society, John Ulanga akimuuliza swali Waziri Zakhia Meghji. Huenda angekutana naye jana angemuuliza; Waziri hiv kweli bajeti hii itanasua umasikini kwa watu wetu? Jibu analo?&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-7024044020299535125?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/7024044020299535125/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=7024044020299535125' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/7024044020299535125'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/7024044020299535125'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/06/ni-mpambano-wa-bajeti-na-wananchi.html' title='Ni mpambano wa Bajeti na wananchi, washindi wabunge'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RnvechhxxcI/AAAAAAAAAA0/A0Q_5h4GKr8/s72-c/17.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-6575012986112484811</id><published>2007-06-16T09:42:00.000+03:00</published><updated>2007-06-16T10:04:55.363+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Naombeni Kura Zenu'/><title type='text'>NAOMBENI KURA NDUGU ZANGU</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;Aslaam Aleykhum,&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Mambo,&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Nimeamua kutumia salamu zote hizo kwa wanablogu wenzangu ili niwe pamoja nao, najua jumuwata ina wanachama wa kila imani na wengi hupenda kupata salamu inayowagusa, inawezekana wapo hawataguswa na mojawapo ya hizo, lakini nawahakikishia kuwa tupo pamoja na tutaendelea hivyo.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Ninajitokeza kwa mara ya kwanza kuomba kupewa ridhaa ya kuongoza jumuia yetu kwa nafasi ya uenyekiti.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Ninafanya hivyo kwa kuwa nimepata taarifa za ruhusa kuanza kampeni. Ninafanya hivyo kwa moyo mkunjufu kuwaomba ridhaa zenu ili tuhsirikiane kukuza jumuia yetu ambayo ni changa, lakini yenye mwelekeo wa kuwa kubwa na kukomaa kwa muda mfupi endapo itakuwa na viongozi makini, wenye kushirikisha wanachama wote.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Ninazo sifa za kuongoza. NAOMBENI KURA ZENU.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Aksanteni &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-6575012986112484811?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/6575012986112484811/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=6575012986112484811' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/6575012986112484811'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/6575012986112484811'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/06/naombeni-kura-ndugu-zangu.html' title='NAOMBENI KURA NDUGU ZANGU'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-8076157206534400747</id><published>2007-05-31T09:55:00.000+03:00</published><updated>2008-12-09T05:04:35.574+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='ukimbizi'/><title type='text'>Maisha magumu ya ukimbizi</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Rl5ylCS7W-I/AAAAAAAAAAs/mBuImjrcDXA/s1600-h/maisha.magumu.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5070616211062741986" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Rl5ylCS7W-I/AAAAAAAAAAs/mBuImjrcDXA/s320/maisha.magumu.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Jamani,&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Nimeipata picha hii kutoka kwa rafiki yangu mmoja ambaye anadai lazima kila mtu apinge, kwa nguvu zake zote, kuwepo kwa vita na machafuko katika nchi za Afrika.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Anasema vita ni vibaya mno, havina macho na huua na kuvuruga familia na pia kusababisha kuwepo kwa wakimbizi kama anavyoonekana mama huyu akiwa na mtoto wake wakionekana kuhisi njaa baada ya kupakiwa katika gari la kile chombo kinachoitwa UNHCR ili kurejeshwa kwao.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Mama huyu na mtoto wake walisombwa na mkumbo wa kuikimbia nchi yao ya &lt;a href="http://burundiwar.com"&gt;Burundi&lt;/a&gt; wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe na sasa anarejeshwa nyumbani ambako anaonekana hana hakika endapo amani inayoelezwa kuwepo ipo.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Tukemee vita na machafuko yote popote pale ili kuepusha adha na mhangaiko mingine inayoweza kuepukika.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Tutumie blogu zetu kutangaza na kuhimiza amani na upendo huku tukimtaka kila mmoja kuchangia nguvu na mawazo yake katika kukuza maendeleo.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-8076157206534400747?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/8076157206534400747/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=8076157206534400747' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/8076157206534400747'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/8076157206534400747'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/05/maisha-magumu-ya-ukimbizi.html' title='Maisha magumu ya ukimbizi'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Rl5ylCS7W-I/AAAAAAAAAAs/mBuImjrcDXA/s72-c/maisha.magumu.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-4533573517571643658</id><published>2007-05-29T15:48:00.000+03:00</published><updated>2008-12-09T05:04:35.747+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='umeme'/><title type='text'>Joto linapozidi Dar!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RlwiurS0dXI/AAAAAAAAAAk/kwAfdKAWtDg/s1600-h/1.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5069965465803322738" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RlwiurS0dXI/AAAAAAAAAAk/kwAfdKAWtDg/s320/1.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Dar es Salaam pamoja na zile zinazoelezwa kuwa raha zake, bado kuna tatizo moja kubwa; joto. Hali hii imechangiwa mno na mgawo wa kisirisiri wa umeme unaoendeshwa na shirila linalojidai kuwa la wananchi la kusambaa umeme la Tanesco.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Ona sasa matajiri wameamua kuwanunulia wanyama wao wapendwa vijifeni vya kuwapoza na adha hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamani Tanesco, acheni kutukandamiza kwa kutunyima umeme, ilihali mabwaya yote yamejaa, mwingine ukiwa unazalishwa na dada yake Richmond na huku ule unaoongezwa kwa malipo makubwa na mjomba wao IPTL ukiwa umejaa tele pia. Haya... &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-4533573517571643658?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/4533573517571643658/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=4533573517571643658' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4533573517571643658'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/4533573517571643658'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/05/joto-linapozidi-dar.html' title='Joto linapozidi Dar!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RlwiurS0dXI/AAAAAAAAAAk/kwAfdKAWtDg/s72-c/1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-3049021563640442739</id><published>2007-05-29T15:35:00.000+03:00</published><updated>2008-12-09T05:04:35.841+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='ukimwi'/><title type='text'>Ukimwi na wanablogu</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RlwfQ7S0dWI/AAAAAAAAAAc/IPQ63vDjico/s1600-h/Aids.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5069961656167331170" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RlwfQ7S0dWI/AAAAAAAAAAc/IPQ63vDjico/s320/Aids.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;jamani wenzangu,&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Nimejitokeza kuomba ridhaa ya wanablogu wote na wasiokuwa wanachama, kupata ridhaa ya kuwa mwenyekiti, lakini nimekumbuka kitu kimoja kikubwa, kwamba nasi tuko katika mapambano makubwa ya kuutoomeza ugonjwa wa ukimwi. Nimekuwa nikieleza na kushauri namna ya kuuepuka ugonjwa huo kupitia machapisho na hata katika ukurasa wangu huu wa blogu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mara nyingine tena, naomba wanablogu wote tuwe mstari wa mbele kupinga kuwepo kwa ukimwi na tukiweza kuwasaidia walioathirika na kuathiriwa na ugonjwa huo unaoweza kumpata yeyoye bila kujali midevu yake, umri wake, uwezo wake wa fedha wala akili na busara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuko pamoja kuutokomeza&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-3049021563640442739?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/3049021563640442739/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=3049021563640442739' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/3049021563640442739'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/3049021563640442739'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/05/ukimwi-na-wanablogu.html' title='Ukimwi na wanablogu'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RlwfQ7S0dWI/AAAAAAAAAAc/IPQ63vDjico/s72-c/Aids.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-8551490781921580525</id><published>2007-05-29T15:26:00.000+03:00</published><updated>2007-05-29T15:35:21.781+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Uenyekiti'/><title type='text'>Ninagombea uenyekiti</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="color:#006600;"&gt;Jamani wenzangu katika mawasilinao ya kisasa yasiyohitaji ukiritimba wa wale viongozi wa habari wanaojiita waharirir, nimerejea.&lt;br /&gt;Kupotea kwangu kwa muda katika ulimwengu wa blogu kuna sababu kubwa. nayo ni kuwepo maeneo ya porini kwa muda mrefu. Huko hakuna umeme, hivyo kuninyima muda na fursa inayoambatana na haki yangu ya kuandika na kusoma mambo mengi ya mtandaoni ikiwemo blogu.&lt;br /&gt;Nimekasirika mno kutambua wananchi wengi, hasa wa vijijini wanakosa uwezo na nafasi ya kuchangia fikra zao kwa uhuru mkubwa na hatimaye kusikika kutokana na kuosekana kwa nguvu ya nishati inayozalisha umeme, licha ya nchi yetu kuwa na madevu yenye mvi kwa kuwa na umri wa miaka 46.&lt;br /&gt;Nikiwa mwenyekiti, kwa maana ya kuongoza kwa msaada mkubwa wa wanachama wote na wasiokuwa wanchama wa blogu Tanzania, tutahakikisha maeneo mengi yanakuwa na umeme kwa kuoiga kelele kibao kwa serikali ili kuharakishwa kwa usambazaji wa umeme vijijini.&lt;br /&gt;Tushirikiane ili tuwe pamoja katika kushika maendeleo ya kweli na siyo yale yanayosikika masikioni yakitangazwa kwa mbwembwe na wakubwa wetu.&lt;br /&gt;Tutafika kwa kuweka mbele maslahi ya taifa na blogu&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-8551490781921580525?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/8551490781921580525/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=8551490781921580525' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/8551490781921580525'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/8551490781921580525'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/05/ninagombea-uenyekiti.html' title='Ninagombea uenyekiti'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-116921353076902718</id><published>2007-01-19T16:06:00.000+03:00</published><updated>2008-12-09T05:04:36.076+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='We Mroki Mroki uliwaonaje hawa wazee wakitafakari?'/><title type='text'>Wakubwa wakitafakari jamani</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RbDP1YLQXpI/AAAAAAAAAAM/DZFcImxCnMo/s1600-h/totolala.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5021742100447780498" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RbDP1YLQXpI/AAAAAAAAAAM/DZFcImxCnMo/s320/totolala.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Nimeona niwaeleze ukweli kuhusu namna viongozi wenu wanavyowapigania ili muwe na maisha bora, hapa msidhani eti wamelala. Wakubwa hawalali, bali hapa wanatafakari kwa kina namna ya kuwaondoa wananchi wetu katika lindi la umasikini. Tusiwahukumu jamani viongozi wetu. Hapa wanaonekana wakitafakari aliyokuwa akiyazungumza Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Januari 12, 2007 wakati alipokuwa akiwahutubia wananchi jinsi serikali na viongozi unaowaona na wengine wasiokuwepo namna wanavyopambana usiku kucha, hawalali wakihangaikia matumbo ya wananchi wa Tanzania.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-116921353076902718?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/116921353076902718/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=116921353076902718' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116921353076902718'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116921353076902718'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2007/01/wakubwa-wakitafakari-jamani.html' title='Wakubwa wakitafakari jamani'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/RbDP1YLQXpI/AAAAAAAAAAM/DZFcImxCnMo/s72-c/totolala.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-116583160270839455</id><published>2006-12-11T12:52:00.000+03:00</published><updated>2006-12-11T13:06:43.463+03:00</updated><title type='text'>Simon Mkina aombwa kuingia jengo hili</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/x/blogger/4997/598/1600/459580/simon%20Martha%20Mkina.jpg"&gt;&lt;img style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://photos1.blogger.com/x/blogger/4997/598/320/5612/simon%20Martha%20Mkina.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Leo nimepata mgeni katika ubongo wangu. Sikumtarajia kabisa muda huu kuwasili, tena katika kipindi hiki ambacho hata machungu ya wengine aliowatembelea wakaudhika, bado hayajawatoka.&lt;br /&gt;Sikuwa nimelala, bali mchana kweupe, nikiwa natafakari namna ya kupata habari nzuri za kuuza gazeti langu jipya la serikali. Sikumkaribisha, bali alijikaribisha mwenyewe katika kichwa changu. Sijui anatafuta nini!&lt;br /&gt;Laki siyo vibaya nikiwaeleza mgeni hyo kwamba anaitwa Mawazo. Alipokuja alinieleza anaomba kuishi katika kichwa changu kwa muda mfupi na kunieleza nia ya ugeni wake; eti anataka nikagombee ubunge ili iweze kuingia katika jengo linaloonekana nyuma ya kichwa hapa katika picha hii niliyopigwa na Mroki Mroki wakati nikiwa Dodoma kuandika habari za waheshimiwa sana wabunge wetu.&lt;br /&gt;Sijajua iwapo niendelee kumkaribisha au kumtimua, maana naona kama amewahi sana na muda huu siyo muafaka, asije akanikosanisha na wakubwa wangu, kaka zangu na jamaa zangu wengine ambao wako madarakani kabisa au wapambe wao.&lt;br /&gt;Nipeni mawazo yenu jamani, nimfanye nini mgeni huyu au nimtimue kwa sasa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-116583160270839455?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/116583160270839455/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=116583160270839455' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116583160270839455'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116583160270839455'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/12/simon-mkina-aombwa-kuingia-jengo-hili.html' title='Simon Mkina aombwa kuingia jengo hili'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-116541322084675166</id><published>2006-12-06T16:51:00.000+03:00</published><updated>2006-12-06T16:53:41.223+03:00</updated><title type='text'>Tanesco haooooo! wameumbuka!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/x/blogger/4997/598/1600/541665/twiga.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: right; MARGIN: 0px 0px 10px 10px; CURSOR: hand" alt="" src="http://photos1.blogger.com/x/blogger/4997/598/320/133058/twiga.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Tanesco, kwa wasiojua ni shirika la kuzalisha, kusambaza na kuuza umeme kwa Watanzania.&lt;br /&gt;Ni shirika ambalo linabeba nembo nzuri yenye kuonyesha twiga, mnyama mrefu, mpole na mwenye ufahamu wa maadui zake kwa kasi zaidi. Lakini, Tanesco wenyewe wanaonekana kutowajali zaidi wateja wao, hivyo sielewi kwao mteja ni nani; mfalme au pagazi tu wa kule Comoro.&lt;br /&gt;Yaani utashangaa kuona namna wanavyohudumia wateja wao. Ni viibaya mno hata kama unawapelekea pesa, na ikiwa unakwenda na tatizo la kuomba kuunganishiwa nishati hiyo ya kuzalisha mwanga, ndiyo utakoma. Ngoja niwaache kwanza kwa sasa, ingawa jambo kubwa linaloudhi ni namna wanavyohangaika kuongeza gharama za umeme wa wananchi wa kwananchi.&lt;br /&gt;Eti walikuwa wakipigania kuongeza bei ili wananchi wa Kikwete na Mungu waumie zaidi, yaani wakamuliwe zaidi vijisenti wanavyovipata kwa taabu, tena katika mazingira haya yasiyokuwa na umeme.&lt;br /&gt;Katika 'move' yao hiyo, Kikwete akaona ohhoooo... wananchi wake wataumia mno, na kauli mbiu yake ya 'maziwa na asali' kwa kila Mtanzania itafifia. Ameapiga stop kwamba hakuna kupandisha bei ya umeme wala nini. Kula Tano Kikwete wetu...wembe ni ule ule kwa maji, dawa na tiba, usafiri na hata bia na katika zile hoteli kubwa zinazojipangua madaraja kwamba ni za nyota tano.&lt;br /&gt;Tanesco haooooooooooooooooooooooooooooo, wameumbuka. &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-116541322084675166?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/116541322084675166/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=116541322084675166' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116541322084675166'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116541322084675166'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/12/tanesco-haooooo-wameumbuka.html' title='Tanesco haooooo! wameumbuka!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-116489637295960625</id><published>2006-11-30T17:17:00.000+03:00</published><updated>2006-11-30T17:19:33.633+03:00</updated><title type='text'>Nani kasema milima haikutani</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/x/blogger/4997/598/1600/794156/mkina3.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; CURSOR: hand" alt="" src="http://photos1.blogger.com/x/blogger/4997/598/320/663637/mkina3.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kuna kudanganyana kwingine hakufai kabisa. Mtu anatambua kuwa ni vibaya kutangaza uongo, lakini anaendelea nao miaka nenda rudi na kuwarithisha watoto na ndugu zake wengine, na wao wanasambaza kila mahali, hata katika machapisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa uongo mkubwa ni kwamba milima haikutani! Nani kasema. Jamani mbona kuna milima inayoporomoka ikiwa jirani na kukutana au inaposombwa na maji, kama yale yaliyotokea wakati wa tsunami! Nani hajui kuwa kulikuwepo milima iliyokutana?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukiacha hiyo, ipo milima inayokutana mara kwa mara na mara nyingine zaidi ya mara nne au tano kwa siku. Kama unabisha njoo nikupeleke Namibia kwa masharti ya kunilipia gharama za usafiri na pesa za kujikimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huko nitakuonyesha milima inayokuwepo asubuhi na mchana inapotea. Hiyo inawezekana kabisa ikatoka eneo kama Manzese kwa Mfuga Mbwa na kukutana tena eneo la Magomeni Mapipa. Siyo utani na wala sitanii. Soma kuhusu dunes na utaelewa nasema nini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu ona picha ya milima hiyo inayoweza kuhama na kukutana. Niliipiga nilipokuwa Namibia, jirani na mji wa Swakopmund.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-116489637295960625?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/116489637295960625/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=116489637295960625' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116489637295960625'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116489637295960625'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/11/nani-kasema-milima-haikutani.html' title='Nani kasema milima haikutani'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-116427331027814644</id><published>2006-11-23T11:53:00.000+03:00</published><updated>2006-11-23T12:25:20.010+03:00</updated><title type='text'>Nipo nimejaa tele kama Lowassa</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/x/blogger/4997/598/1600/598200/guebuza.jpg"&gt;&lt;img style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://photos1.blogger.com/x/blogger/4997/598/320/312103/guebuza.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Nilikuwa Bungeni Dodoma wakati mkuu wangu wa kazi Edward Lowassa alipoanza kughani mashairi akimjibu mshairi mmoja aliyekuwa akieleza kwamba wako wapi watu waadilifu na wachapakazi wenye uzalendo mkubwa baada ya Nyerere.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="color:#cc0000;"&gt;Lowassa alisema; Tupo Tumejaa Tele.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mshairi alitoa changamoto na Lowassa akajibu kwa changamoto, sasa changamoto ni kwa wananchi kuibua changamoto zenye kuiongoza nchi katika changamoto kuu za kuwaondolea wananchi wetu changamoto ya umasikini iliyogubikwa na changamoto ya changamoto chanya na hasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nawaachia nyie wasomaji wa Kona Yangu huku picha yangu, nikiwa na &lt;span style="color:#009900;"&gt;&lt;strong&gt;Rais wa Msumbiji Comarade Amilio Guebuza&lt;/strong&gt; &lt;/span&gt;&lt;span style="color:#000000;"&gt;nikiwa nimejaa tele...tele...tele kama tetele-mwitu.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-116427331027814644?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/116427331027814644/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=116427331027814644' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116427331027814644'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116427331027814644'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/11/nipo-nimejaa-tele-kama-lowassa.html' title='Nipo nimejaa tele kama Lowassa'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-116420872311816653</id><published>2006-11-22T18:10:00.000+03:00</published><updated>2006-11-22T18:18:43.226+03:00</updated><title type='text'>Simon on the move</title><content type='html'>Jamani mashabiki wangu natumai hamjambo.&lt;br /&gt;Sikuonekana hapa kwa kipindi cha miezi miwili kutokana na kutingwa na majukumu ya utalii, niliamua kuondoa upofu wa kujua nchi yetu. Niliamua kuzunguka vijiji na mitaa yote ya Tanzania.&lt;br /&gt;safari hii haikufadhiliwa na yeyote, bali iligharimiwa na mifuko yangu binafsi. Niliamua kukata mazoea kwamba watalii ni wazungu pekee wanapotoka kwao.&lt;br /&gt;Uhakika ni kwamba nimefurahi sana kuondoa tongotongo kuhusu maisha ya Watanzania wenzangu wanaoishi vijijini ambako, kwa ukweli wa Biblia, wanaishi chini ya mstari wa umasikini.&lt;br /&gt;Nikiwa huko nimevumbua mashamba, nyika na mapori kama walivyofanya waliokuwa wakiitwa wavumbuzi wa mwanzo, kina carl Peters na Dk. Livinstone. Yapo mengi nitakayoeleza siku chache zijazo.&lt;br /&gt;Baada ya kurejea Bongo, nikaanza safari tena ya jiji la dar es Salaam kutoka majengo ya gazeti la Uhuru hadi kuweka makazi katika gazeti la daily News. Nitawaeleza baadaye mission yangu hapo.&lt;br /&gt;Nisiwachoshe sana, maana jioni imeingia na hakuna umeme, sitaki kuingia nyumbani kwangu nikishika kuta ili kuepuka kujigonga katika meza na samani zingine chache nilizobahatika kununua.&lt;br /&gt;baadaye basi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-116420872311816653?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/116420872311816653/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=116420872311816653' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116420872311816653'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116420872311816653'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/11/simon-on-move.html' title='Simon on the move'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-116420813425812411</id><published>2006-11-22T18:08:00.000+03:00</published><updated>2006-11-22T18:08:55.816+03:00</updated><title type='text'>On the move</title><content type='html'>&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-116420813425812411?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/116420813425812411/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=116420813425812411' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116420813425812411'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/116420813425812411'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/11/on-move.html' title='On the move'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-115881645660768166</id><published>2006-09-21T08:25:00.000+03:00</published><updated>2006-09-21T08:27:36.803+03:00</updated><title type='text'>Wasomi wetu na uwakili wa shetani</title><content type='html'>NINAWAHESHIMU sana wasomi makini wanaotumia bongo na uelewa wao kuchangia maendeleo ya taifa na wananchi wake, lakini ninawadharau na kuwaponda wasomi wasiotumia bongo zao kuleta mabadiliko yenye faida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nchi nyingi makini, zenye kuwajali wananchi wake zinawatumia sana wasomi katika kubuni, kuandaa na kutekeleza mipango yenye mwelekeo wa kusaidia upunguzwaji wa hali duni za maisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika nchi hizo, wasomi mara nyingi wanakuwa wasemaji na watangazaji wa mipango iliyochanganuliwa na wasomi tayari kwa utekelezaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, zipo nchi zenye wasomi wanaopenda kutumia fursa walizojiwezesha wenyewe ama kuwezeshwa na jamii ama serikali kupata elimu kutumia bongo na uelewa wao kukandamiza hao waliowatuma, siyo kufuta ujinga tu, bali kupanua na kukomaza uelewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kundi la wasomi hawa ni wale ninaowadharau kwani wao wanatumia mwanya wa kuwa na vyeti (sema karatasi ukitaka) kutoka vyuoni kurubuni, kutapeli, kudumaza na hata kuua wenzao na taifa kwa manufaa binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi wa wasomi wa aina hiyo ndiyo wale waliojazana katika ofisi wakiwa wasaidizi wa Rais, Waziri Mkuu na viongozi wengine wa juu wa serikali na hata Chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni watu ambao wanaaminiwa mno na viongozi wetu kwa kuchambua na kuchaganua mambo, lakini kumbe ndiyo hao hao wanachagia kuharibu maendeleo yaliyopo au yaliyokusudiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mipango mingi ya maendeleo ya Tanzania ambayo inaonekana kushindwa ilibuniwa na kuadikwa na wasomi tunaowaamini, lakini kumbe nia na madhumuni yao makubwa hayakuwa kuwakomboa Watanzania, bali kuona kujinufaisha wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miradi mikubwa ambayo imegharimu kiasi kikubwa cha fedha zetu, tunaiona ikilegalega na kusababisha matatizo makubwa ya kiuchumi na kijamii. Wakitafutwa walioibuni na kuisimamia ni wasomi tulionao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana kabisa wasomi wakajitetea kwamba wanasiasa ndiyo wanaokwamisha mafanikio ya michanganuo ya miradi wanaoibuni au kuisimamia, lakini ukweli ni kwamba wanaosababisha ongezeko la ugumu wa maisha ni wasomo tunaowategemea kusaidia jamii kwa ujuvi wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kundi hili nilalolitaja la wasomi, waandishi wa habari nao wamo, kwani wanaonekana kushindwa kutumia mwanya walionao kuielimsha jamii na kubaki kushabikia habari zisizokuwa na kichwa wala miguu, eti wakitaka kuuza magazeti yao na kuburudisha basi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara kadhaa Kona Yangu imenusanusa kuhusu namna baadhi ya viongozi wetu wanavyodanganywa na wasomi wetu kwa kuandikiwa michanganuo mirefuuu na yenye michoro ya kisomi ambayo baadhi ya viongozi wetu, kama walivyo wananchi wengi hapendi kusoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ushahidi wa hili uko wazi, tunawaona wawakilishi wetu karibu kila ngazi wakishikwa na kigugumizi kubeba makabrasha yao ili kujisomea kwa ajili ya kujadili mada. Wao wanachofanya ni kuyaacha katika anwani zao ‘yakiozeana’ ama kuyapeleka nyumbani ambako ‘hutupwa’ kwenye kabati ya vitabu. Nani ajisumbue kusoma bwana!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watanzania ni mashahidi kuhusu namna baadhi ya wasomi wetu wanavyotumia fursa walizopata kutapeli na kufanya ubadhirifu wanapokabidhiwa ofisi za umma, hawana uchungu na  maendeleo ya umma wanaoutumikia, bali wanajali zaidi matumbo yao na yale wanayosaidia kuyajaza  asubuhi, mchana na usiku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ni lini wasomi wetu wote watakuwa chachu ya kuleta maendeleo na kuibua chagamoto zenye mwelekeo wa kujenga na kukuza uchumi endelevu ili kila Mtanzania aonje neema ya kuwa na rasilimali kibao? Bado tuna kazi kubwa ya kujenga utaifa kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sina haja ya kutaja miradi ambayo wasomi wetu tunaowaamini wametungiza ‘mkenge’  wanapokwenda kusaini mikataba na kupokea ‘teni pasenti’, huku wakijua dhambi yao hiyo ni kuwaweka wananchi rehani. Hawa hawatufai kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nina imani kwamba wasomi wa sampuli hiyo, wasiokuwa na utaifa hawawezi kamwe kutumika ‘kuiba’ ujuzi kutoka nchi nyingine na kuuleta Tanzania kwa manufaa ya umma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ipo habari ya kweli kuhusu wasomi wa nchi za Asia; hasa China na India ambao wamekuwa wakiitumika sana kuiba ujuzi kutoka nchi nyingine na kuutumia kwa manufaa ya umma. Hivi ndivyo hata wasomi wetu wanavyopaswa kuwa. Hivi sisi tunashindwa nini. Hapa Kona Yangu haiwafundishi wizi, bali inatoa chagamoto kwa wasomi kujifunza mengi kutoka ndani na nje kwa neema ya watu wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wasomi wetu wanaotumia mwanya wa ujuvi wao kutuibia ama kuhujumu uchumi hawana tofauti na mawakili wa shetani ambao muda wote wanafikiri kuwanyonya damu wana wa Adamu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-115881645660768166?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/115881645660768166/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=115881645660768166' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/115881645660768166'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/115881645660768166'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/09/wasomi-wetu-na-uwakili-wa-shetani.html' title='Wasomi wetu na uwakili wa shetani'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-115764258947065992</id><published>2006-09-07T18:21:00.000+03:00</published><updated>2006-09-09T11:09:09.826+03:00</updated><title type='text'>Kutodhibiti fedha hizi, kauli ya Kikwete itakuwa ndoto</title><content type='html'>MIONGONI mwa falsafa ambazo zinanigusa mno nafsi yangu ni msimamo wa Rais Jakaya Kikwete kuhusu suala zima la ukuaji wa uchumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete amekuwa akisisitiza kuwa ukuaji wa uchumi unaoelezwa kwa wananchi na ama wataalamu wa uchumi au viongozi wa siasa, kwamba uchumi umekua huku hali za wananchi zikiwa duni haiwezi kuwasaidia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiongozi huyo wa nchi ambaye nyota yake ya kukubalika inazidi kung’ara kwa rika zote na kwa watu wa kada mbalimbali, ana maana kuwa takwimu zilizoko katika karatasi zikionyesha kukua kwa uchumi ni ‘hesabu’ ambazo hazieleweki kamwe kwa mwenye njaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Idadi kubwa ya Watanzania ni watu masikini ambao hawawezi hata kuhimili idadi ya kawaida ya mlo wao kwa siku moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli ni kwamba Watanzania wengi hawana njia za kuwahakikishia wanapata chakula cha kutosha na chenye ukamili wake kwa ajili ya mahitaji ya mwili. Mwili huhitaji vyakula vya kujenga, kulinda na ‘kuunakshi’ ili uvutie.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokuwepo kwa ‘msosi’ wao wa uhakika kunasababishwa na mambo mengi, makubwa yakiwa ni rushwa, kutotendewa haki, ubadhirifu wa baadhi ya watendaji wa umma na hujuma za kila aina zinazofanywa ili kuwanufaisha wachache katika jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juhudi za Rais Kikwete kuhakikisha kwamba kila Mtanzania anafaidi keki ya rasilimali zetu na uhuru uliopatikana kwa ‘mbinde’ zinaonekana na dhamira yake iko wazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni dhamira hiyo inayowapa moyo zaidi wa kuwepo kwa neema kwa kila mmoja wetu, ingawa bado ipo kazi ambayo inahitaji pia ushirikishwaji wa wananchi wenyewe katika kuupiga vita umasikini, ambao ulionekana kuwa chanda na pete miaka mingi iliyopita baada ya 1986.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, upo mwanya ambao hakuna anauyeuzungumzia kuwa ni kikwazo katika kuwakomboa Watanzania na ‘njaa’ inayowakabili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Njaa ninayoizungumzia hapa ni pamoja ukosefu wa makazi bora, kuzungukwa na magonjwa kibao ya kuambukiza na zaidi sana njaa ya tumbo, ambayo kimsingi ndiyo ufunguo unaozungumzwa na Rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanya huo ni kuwepo kwa ‘njia nyeupe’ kwa baadhi ya wafanyabiashara kupeleka fedha za kigeni nje ya mipaka ya nchi yetu bila kuulizwa na yeyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi sasa kila mfanyabiashara wa fedha; awe Mtanzania wa kuzaliwa, kuomba au hata kudanganya, anao uwezo wa kusafirisha kiasi chochote cha fedha bila kupitia Benki Kuu au katika taasisi zinazoshughulika na masuala ya uchumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haihitaji kuwa na karatasi kutoka chuo chochote kutambua kuwepo hilo na kuthibitishwa na jinsi dola ya Marekani, paundi ya Uingereza inavyopanda kila uchao dhidi ya fedha yetu, ambayo baadhi ya watu wasiokuwa na utaifa wanaziita za madafu. Sina uhakika wanayaangua wapi hayo madafu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuondoka kwa kiasi kikubwa cha fedha ndiko kunasababisha mfumuko wa bei kwa kiasi kikubwa huku wahusika wakifaidi na ‘walalahoi’ ambao ndiyo wanunuzi wakubwa wakikamuliwa hadi tone la mwisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi sasa dola moja ya Marekani ni sawa na sh. 1,335 na kwamba kesho au Jumamosi kiasi hicho kitakuwa kimeongezeka kwa asilimia 10 au zaidi. Inatisha sana hali hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nguvu ya soko la dunia mara zote imekuwa ikipimwa kwa kuzingatia fedha ya Marekani, hivyo shilingi yetu zinapokuwa nyingi zaidi kwa dola moja, uchumi wetu unashuka kwa njia moja hata kama itaelezwa kinyume chake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zipo nchi ambapo kupata dola moja ya Marekani lazima muhusika atembee kweli kweli kutoka Benki Kuu hadi taasisi zinazohusika, ambako atapatiwa karatasi lukuki kumuhalalisha kuwa anapaswa kupata na kutumia fedha hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hapa kwetu kila kitu ni bwerere…na ruksa. Ukitaka dola za Marekani nenda tu mtaa wowote, hata kama ni dampo kule Tabata, utapata tu. Hakuna haja ya kuuliza benki ziko wapi. Kwa nini ujisumbue bwana! Ya nini! Ndivyo tulivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inaweza kabisa kuelezwa kwamba KONA YANGU inahitaji kuwepo kwa urasimu uliokuwepo miaka mingi iliyopita. Hapana hiyo siyo nia yangu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini ieleweke kuwa bila udhibiti wa fedha hizo za kigeni tutakuwa tukitwanga maji kwenye kinu, na kwamba kauli za viongozi wetu zinaweza kuwa zile zile zilizozoeleka masikioni mwetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna maendeleo bila udhibiti wa mambo kadha wa kadha ikiwemo rushwa na dhambi nyingine, ambazo nimekuwa nikizipigia kelele kila ninapopata nafasi ndogo katika ukurasa huu kueleza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vyema sasa serikali yetu ikabuni mbinu za kudhibiti usafirishwaji wa fedha za kigeni zinazopatikana hapa nchini, ili kulinda nguvu ya shilingi yetu, hivyo kuimarisha uchumi ambao utatuhakikishia maisha bora kwa kila Mtanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-115764258947065992?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/115764258947065992/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=115764258947065992' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/115764258947065992'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/115764258947065992'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/09/kutodhibiti-fedha-hizi-kauli-ya.html' title='Kutodhibiti fedha hizi, kauli ya Kikwete itakuwa ndoto'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-115756156817511735</id><published>2006-09-06T19:50:00.000+03:00</published><updated>2006-09-09T11:11:27.926+03:00</updated><title type='text'>Salamu kibao kutoka Namibia</title><content type='html'>KAMA nakumbuka vyema, sijawahi kuishi katika mazingira yenye baridi kali tangu kuzaliwa kwangu, lakini hiyo haina maana kwamba siwezi kuishi mazingira ya namna hiyo. Naweza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hilo nimelithibitisha karibuni baada ya kuishi katika miji mitatu yenye baridi kali nchini Namibia ambako nilidumu kwa miezi miwili na ushei.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niliishi Windhoek, mji mkuu wa nchi hiyo na baadaye kwenda kutoa tongotongo kwenye mji wa kitalii, kama wanavyoita wao wa Swakopmund.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kana kwamba haitoshi, uroho wa macho yangu tena ukashawishika kupata shibe ya mji mwingine wa Walvis Bay, ambao ni maarufu sana kwa uvuvi na usindikaji wa samaki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika miji hiyo sikwenda kutalii tu kama ambavyo wengi wanaweza kudhani, bali nilikwenda ‘kupiga’ kitabu kutoka upande mwingine wa bara letu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huko bwana kuna baridi siyo mchezo. Muda wote ilikuwa ni mimi na makoti, kofia na soksi za vidole vya mkononi. Hakukuwa na ubishi wa kuvaa vifaa hivyo. Ilikuwa ni lazima ili kwenda na usawa wa huko, viginevyo ningeweza kurejeshwa mapema kwa ubishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miezi miwili kumbe mingi. Nilizoea mno kuwa na watu wa huko. Nikajifunza baadhi ya tabia zao njema na nilizoziona mbaya zikusumbuka nazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikajifunza maneno mawili matatu; kubwa na la awali likiwa ni Eewa- hili ni neno lenye maana karibu sawa na Safi. Ni neno ambalo hutolewa baada ya mwenyeji kutoa salamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipokuwa nikisema –eewaa, wenyeji wote, bila kujali kama ni Waherero, Wanama au  Wadamara, waliniona kuwa ni mwenzao, pamoja na kwamba sikuwa nikienelea lolote baada ya hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na kujifunza neno hilo, nimejifunza tabia nyingi nzuri kutoka kwa Wanamibia ambazo nimeamua kuzitoa kwa wasomaji wangu ikiwa ni salamu nilizobeba kutoka maeneo hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Salamu zingine ni usafi. Napenda kuwashirikisha wasomaji wangu kwa salamu hii ili iwe chachu ya kuhimizana kujali mazingira ya usafi kuanzia mwili, majmbani kwetu, barabarani na hata katika vyombo vya usafiri tunavyotumia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamaa wa huko bwana ni wasafi. Wamefundwa kuwa wasafi. Ukiwa katika miji ya Namibia, mijini na vijijini huwezi kuona karatasi ikizagaa hovyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huwezi kukuta ‘jitu’ likikojoa hovyo. Hakuna anayeonekaa akitema mate hovyo na hakuna anayeonekana akitupa taka hata kama ni ndogo kiasi gani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kwamba kuna sheria kali za mtu anayepatikana akitupa taka, lakini kitu kikubwa ambacho nimejifunza ni kwamba watu wa huko wamefundwa kuchukia uchafu. Kufundwa huko kunaanzia utotoni nyumbani, baadaye shuleni na kuendelea hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa kwetu hali ni tofauti kabisa, ipo ‘mibaba’  inayoamua tu kutupa taka hovyo majumbani kwao. Inatupa vichungi vya sigara mezani, sakafuni chumbani na hata kwenye  vyombo vya usafiri. Haina haibu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kana kwamba hiyo haitoshi, kukojoa hadharani ni jambo ambalo linaonekana kuwa tabia miongoni mwetu. Mtu anaamua kujisaidia haja ndogo bila kujali kwamba anachafua mazingira. Zaidi ya hapo anaweza kuamua kuweka ile kubwa kabisa bila aibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unashindwa kuelewa inakuwaje mtu na akili zake anafanya vitendo vya namna hivyo ambavyo hata baadhi ya hayawani hawawezi kuvifanya? Je ni nani wa kulaumiwa katika hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Iwapo Wanamibia wanaweza kuwa wasafi na wenye kujali mazingira yao, nini kinashindikana kwa Watanzania kuwa wasafi kuanzia makwao na hata barabarani? Iweje mtu ashindwe kutupa taka panapohusika? Tujirekebishe jamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimewalaumu sana watu kwa kushindwa kuwa wasafi, lakini pia uongozi wa jiji la Dar es Salaam nao naulaumu kwa kushindwa kuweka vifaa vya kutosha vya kutupia taka au kuwa na vyoo vya umma maeneo mengi yanayopitiwa na watu. Hii inaweza kuwa sababu nyingine inayofanya uchafu kuzagaa kila mahali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Salamu nyingine nzuri ambayo nimeipokea huko ni unywaji wetu wa pombe, au bia kama ambavyo baadhi ya watu hupenda kuiita. Idadi kubwa ya watu wa Namibia, hasa wafanyakazi hupenda kunywa bia zao kuanzia saa 11 jioni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kwamba wapo ‘wanaokamata’ kinywaji chao tangu mapema, lakini ni wachache ikilinganishwa na wengi wenye ustaarabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zaidi ya hapo, siku za kazi wanywaji wanakuwa wachache mno, huku idadi kubwa ikijitokeza kila Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kunywa bia kama ‘samaki’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila Ijumaa baa zote zinajaa, huku sauti za juu zikitawala kutoka kila sehemu inayouza kimiminika chenye rangi ya dhahabu ambacho kinaonekana kufurahiwa na zaidi ya asilimia 80 ya Wanamibia kama ilivyo kwa Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watanzania wanachoweza kujifunza kutokana na salamu hii ni kuachana na ulevi wa muda wote, hasa wakati wa kazi na muda ambao wanapaswa kuwa nyumbani na familia zao wakisaidia ulezi wa watoto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Idadi kubwa ya Watanzania, hasa wa mijini hivi sasa wanapenda mno ‘kusalimia’ baa kila wanapotoka kazini kwa kisngizio cha kusubiri msongamano wa magari barabarani kupugua. Hii siyo tabia nzuri hata kidogo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vyema tukajifunza kunywa kinywaji chenye kileo kila Ijumaa, Jumamosi na siku zingine kujiweka tayari kwa kazi za ujenzi wa taifa siku inayofuata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimeona vyema kuanza na salamu hizi huku zingine zikiendelea kuchapishwa katika safu hii kama nilivyozipokea kutoka Namibia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuko pamoja sasa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-115756156817511735?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/115756156817511735/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=115756156817511735' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/115756156817511735'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/115756156817511735'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/09/salamu-kibao-kutoka-namibia.html' title='Salamu kibao kutoka Namibia'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-114968295693660931</id><published>2006-06-07T15:18:00.000+03:00</published><updated>2006-06-07T15:22:37.246+03:00</updated><title type='text'>Unafiki, kujichekesha hakuwezi kuleta neema TZ</title><content type='html'>Nani ataweza kuwavusha wana wa Tanzania hadi kufika nchi ya Kaanani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hilo ni swali ambalo limekuwa likisikika kutoka kwa wananchi ambao wana uchungu mkubwa na ustawi wa maisha yao na ya wengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siyo juzi, siyo mwaka jana,  wala mwaka huu, swali limekuwa likiendelea kuulizwa na idadi kubwa ya Watanzania na kukosa jibu lenye mwelekeo sahihi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo waliosema jibu sahihi ni kupatikana kwa kiongozi mzuri, anayependwa na wananchi, anayechapa kazi vyema, anayejituma, mwenye uchungu na maendeleo ya nchi na watu wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi swali hilo liliulizwa wakati wa uongozi wa Mwalimu Nyerere, likaulizwa wakati wa Alhaj Ali Hassan Mwinyi, likahojiwa wakati wa uongozi wa Benjamin Mkapa na sasa linaendelea kuulizwa wakati huu wa uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wote wanaohoji hivyo wanategemea mazingira ya wakati husika, huku wakijenga matumaini kila uongozi unapokaribia kufika mwisho kwa mujibu wa katiba ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni matumaini hayo yamekuwa yakitoa nafasi ya subira na kujenga ukuta mgumu wenye mtazamo chanya kwa kila uongozi mpya unapoingia madarakani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni uvumilivu huo huo umekuwa sura ya Watanzania kiasi cha kupewa sifa ya subira na majirani zetu au wageni wanaopata fursa ya kutembelea ardhi ya nchi yetu au kusoma historia na habari zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuingia madarakani kwa Rais Kikwete kulidhihirisha imani kubwa ya wananchi kwake, huku idadi kubwa ya watu, bila kujali itikadi ya siasa na hali ya maisha, wakimpa ushirikiano katika kuendeleza Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imani ya Watanzania kwa Rais Kikwete inajikita katika msingi wa maisha yake ya shule na uongozi ndani ya Chama na serikali tangu akiwa kijana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kumpa kura Rais Kikwete, idadi kubwa ya Watanzania waliompa kura na wale walioamua kuwapa wagombea wengine kwa maana ya kukuza demokrasia, wameendelea kumuunga mkono katika utekelezaji wa kazi zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi wanaamini kwamba kiongozi aliyekuwa akisubiriwa Tanzania sasa amepatikana na hali hiyo imekuwa wazi kila anapopata fursa ya kuonekana kwao; iwe moja kwa moja au kupitia vyombo vya habari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, pamoja na kuwepo mazingira mazuri sasa ya uchumi unaokua, bado imani pekee haitoshi ikiwa wananchi hao hao watabweteka na kukaa bila kujituma katika kufanya kazi zao kwa lengo la kuimarisha uchumi wa familia na nchi kwa jumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumsifia tu Rais Kikwete kwa kila analofanya bila kujituma kufanya kazi hakusaidii jitihada zake za kuona kwamba kila Mtanzania, angalau anawekewa mazingira mazuri ya kumfanya aweze kula milo miwili au mitatu kwa siku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wito huo wa kujituma hauwaangukii tu wananchi wa kawaida, bali ni mnyororo unaotakiwa pia kuwafunga viongozi wanaomsaidia rais kuhakikisha malengo ya kuinusuru Tanzania na umasikini yanafikiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viongozi hao, kuanzia ngazi za chini, wanapaswa kuvua ngozi ya unafiki na kujichekesha kila wanapomuona Rais Kikwete, Makamu wa Rais Dk. Ali Mohammed Sheni na Waziri Mkuu Edward Lowassa na kuwatumikia wananchi kwani lengo la kuwepo kwao ni kusaidiana nao kuondoa kero au kzimaliza kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiongozi yeyote mnafiki hujitanabaisha kwa matendo yake na wananchi wanamjua hata kama atajichekesha na kuosha mikono yake mbele ya viongozi wakuu wa nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali ya namna hiyo ilijitokeza mno wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka jana ambapo wananchi walionyesha kuanza kuwachoka viongozi wa namna hiyo kwa kuwaumbua mbele ya Rais Kikwete baada ya kuwazomea kila waliposimama kuomba kura.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyovyote iwavyo, Kona Yangu inaamini kwamba zomeazomea ya namna hiyo ilidhihirisha jinsi wananchi wanavyochukia unafiki, uroho na uchafu mwingine unaofanywa na viongozi; wawe madarakani au wamestaafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viongozi wanafiki, hata kama wamejificha wamo katika kada mbalimbali za uongozi ikiwemo wasaidizi wa karibu wa viongozi wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viongozi hao wanapaswa kujirekebisha sasa na kutoa mchango wao kwa viongozi wanaowachagua kushika nafasi mbalimbali ili kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu ambalo kwa sasa bado liko nyuma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa kiongozi anayejijua atauvua unafiki wake na kutumika ipasavyo kwa wananchi, hakika ni kwamba maendeleo yanayotarajiwa yatafikiwa na atakuwa amemsaidia mno Rais Kikwete badala ya kuwa mchekaji na mpiga kofi kwa kila kinachoelezwa na viongozi wa juu wa serikali au Chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dalili za kiongozi mnafiki ziko wazi; kubwa ikiwa ni kutotimiza anachoahidi, kutoamini anachokizungumza, dharau, kuwa msiri kwa vitu vya wazi na kuogopa kuelezwa ukweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viongozi wa namna hiyo wamo kila mahali hata katika serikali za kichungaji, kipapa na hata kifalme na walikuwepo wakati wa utawala wa Yesu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni wakati muafaka sasa kiongozi wa namna hiyo kujiondoa ikiwa atashindwa kujishuku na kujirekebisha mwenyewe. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Endapo atashindwa kujirekebisha mwenyewe na kusoma alama za nyakati ni vyema akaondolewa kuliko kuendelea kumlea na kuhalalisha maendeleo duni huku akiwachelewesha kufaidi neema na matunda ya Uhuru wa Tanzania.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-114968295693660931?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/114968295693660931/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=114968295693660931' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114968295693660931'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114968295693660931'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/06/unafiki-kujichekesha-hakuwezi-kuleta.html' title='Unafiki, kujichekesha hakuwezi kuleta neema TZ'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-114742691952487756</id><published>2006-05-12T12:36:00.000+03:00</published><updated>2006-05-12T12:41:59.856+03:00</updated><title type='text'>Wachezji wavuje jasho, wafaidi viongozi!!!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:100%;"&gt;KAWAIDA ni kwamba Watanzania kama walivyo waanchi kutoka mataifa mengine ni wapenzi wakubwa wa michezo mbalimbali, huku kila mmoja akiwa mpenzi wa mchezo anapenda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miaka mingi, hata kabla ya kuingia kwa wakoloni, Tanganyika (wakati huo kabla ya kuungana na Zanzibar) ilikuwa na michezo yake lukuki. Kimsingi, watu walijumuika katika michezo hiyo na kuifurahia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa michezo hiyo ni pamoja na bao, mpira wa miguu, mchezo wa ng’ombe na aina nyingine ya michezo ambayo ilikuwepo wakati huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kuhakikisha kwamba michezo hiyo inaendelea na kuwepo kwa heshima, zilitengenezwa taratibu za kufuata ili kumpata mshndi halali na pengine utaratibu wa kutolewa kwa zawadi kwa washindi na kuwapa moyo wanaoshindwa ili baadaye wawe washindani wa kweli na hata kupata ushindi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni katika kuwepo kwa taratibu hizo, jamii ilikubaliana kuwepo kwa viongozi ambao wanasimamia taratibu na kanuni za michezo hiyo ili iwe endelevu zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi, zamani michezo ilikuwa na lengo moja tu; kwamba ni sehemu ya burudani ya kuliwaza akili na kujenga mwili na mara nyingi ilifanyika wakati wa jioni, hasa baada ya kazi na baada ya mavuno.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, hali sasa imebadilika mno na michezo siyo tu kwamba ni burudani na kuupa mwili mazoezi, bali ni eneo muhimu mno la kukuza ajira, hasa kwa vijana wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama ilivyokuwa zamani, michezo hiyo inaendeshwa kwa taratibu na kanuni mbalimbali ambazo zinaifanya kuwa endelevu zaidi na kwamba michezo mingi, hata iliyokuwepo zamani imeboreshwa kwa maana ya kuweka ‘usasa’ zaidi katika kuiendesha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa usasa huo ni pamoja na kuwepo kwa taratibu za kiofisi zaidi katika kuisimamia michezo hiyo. Mpira wa miguu una chama chake kinachosimamia taratibu za kupatikana kwa mshindi. Mpira wa meza unazo taratibu zake na mpira wa kikapu unazo taratibu na kanuni zake. Uhakika ni kwamba kila mchezo sasa uliopo unazo taratibu zake za kiofisi katika kuongoza na kusimamia taratibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nia na lengo la kuanzisha taratibu za kiofisi kusimamia michezo hiyo ni kuhakikisha kwamba taratibu na shughuli za michezo husika zinasimamia na kufuatwa na wahusika bila kuwepo kwa uvunjaji wa sheria na kanuni zilizopo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, inavyoonekana sasa watu wanaopewa kusimamia taratibu na kanuni za michezo wamegeuka kuwa wanyonyaji wakubwa wa wahusika wakuu ambao ni wachezaji wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndiyo. Ni wanyonyaji wakubwa wa wachezaji kwa kuwa wamejenga wigo mpana wa ubinafsi ambao unawahakikishia wao mapat makubwa ambayo yanatumika kujaza matumbo yao na kuwaneemesha waaowategemea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hao ninaowazungumzia hapa ni viongozi wa juu na wasimamizi wa timu ambao, bila aibu wanadiriki hata kuua vipaji vya vijana wetu ili wao na watoto wao wafaidi jasho la watu wengine wanaoingia uwanjani kuumia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vijana wetu wanaumia sana uwanjani wanapokuwa wakicheza, lakini wanafaidi kidogo mno jasho lao, huku wanaojiita mameneja wa timu, viongozi wa timu, makomandoo, marafiki wa kila aina wakifaidi peke yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na hao viongozi na wa timu, vyama vya michezo navyo badala ya kuwepo kutetea maslahi ya wachezaji na timu zao, vimegeuka kuwa wanyonyaji wakubwa wa nguvu za vijana wanaoingia uwanjani kuumiza misuli yao.&lt;br /&gt; &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-114742691952487756?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/114742691952487756/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=114742691952487756' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114742691952487756'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114742691952487756'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/05/wachezji-wavuje-jasho-wafaidi-viongozi.html' title='Wachezji wavuje jasho, wafaidi viongozi!!!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-114647567230783269</id><published>2006-05-01T12:23:00.000+03:00</published><updated>2006-05-01T12:27:56.106+03:00</updated><title type='text'>Hivi nani mfanyakazi  bora</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;Jamani, nimekuwa nikiwaza na kuwazua; Ni nani mfanyakazi bora katika ofisi zetu Tanzania?&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Nauliza hivi kwa kuwa kila ifikapo tarehe kama ya leo kila mwaka, ofisi huwa zinahaha kutangaza wafanyakazi bora. Sijui wanatumia vigezo vipi.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Muda wote wachapakazi ndo wanakosa nafasi hizo na wanaopata ni wale wanaopendwa na wanaowateua; iwe manajimenti, ofisa  mtendaji mkuu na wote wanaofanana na hao.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Sasa  mimi nasema hakuna cha mfanyakazi bora wala nini. Wote n i watumishi tu na mtindo huo wa kuwepo wafanyakazi bora unadumaza utendaji wa kazi wa watu wengine na  ndiyo maana nchi zetu haziendelei.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Nimemaliza&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-114647567230783269?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/114647567230783269/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=114647567230783269' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114647567230783269'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114647567230783269'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/05/hivi-nani-mfanyakazi-bora.html' title='Hivi nani mfanyakazi  bora'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-114596766355564729</id><published>2006-04-25T15:12:00.000+03:00</published><updated>2006-04-25T15:21:23.633+03:00</updated><title type='text'>Fimbo ya kila mtu kwa Nche Nkampa</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;Kumbe hatukuwa tukijua kwamba asiyekuwepo na lake halipo.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Sasa nimeamini.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Jamani hebu tufike mahali tuone kwamba mambo sasa yako hadharani baada ya kuwa yamefichwa kwa muda mrefu sana.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Nimeamini kuwa Watanzania tu waoga mno wa kueleza ukweli na waoga wa wakubwa, hasa wanapokuwa madarakani.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Ni kwamba wengi wetu hatuwezi kueleza kuwa mfalme yuko uchi hata kama hana hata chupi ya kufunika tupu zake zote.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Iweje leo ndio kunaibuka kila kitu kinachoelezwa kuwa kibaya cha Mzee Mkapa wakati hayuko madarakani.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Weweee acha tu! Kila mtu sasa eti anamuona Mkapa kama mtu aliyekuwa akisaidia mnoi kukuza umasikini wa Mtanzania.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Jamani hivi tulikuwa wapi wakati yeye akiwa madarakani. Je tulikuwa tukumuogopa kwamba nidikteta au namna gani.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Iweje leo hayupo kwenye kiti  kikuu na kwenye nyumba yenye vinono inayovuja maziwa na asali ndiyo kuibuke tuhuma kibao dhidi yake. jamani tulikuwa wapi.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Leo ndiyo kila mtu anaibuka kuwa almasi zetu zote zilikuwa zikipelekwanje na hazikutusaidia kabisa wananchi wa kawaida.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Kwa hali  hiyo naanza kuogopa sifa tunazowapa viongozi wetu wanapokuwa madarakani...huenda nyingi ni za mgongo wa chuipa.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Tubadilike sasa, kila awe mkweli kwa nafsi yake, kama kiongozi amekosea na yuko uchi tumweleze na tuache kujipendekeza wala kuwa wanafiki.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Tungekuwa wema kabisa, hata kama ingegharimu damu yetu, kama kila mmoja angekuwa anamnyooshea kidole Nche Mkapa kwa yake yanayodaiwa kuwa mabaya yake badala ya kusubiri atoke madarakani ndiyo kila mtu ashike kiboko kumchapa.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Muda ndiye mwamuzi bora.&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Tusubiri...labda tutaujua ukweli&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-114596766355564729?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/114596766355564729/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=114596766355564729' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114596766355564729'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114596766355564729'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/04/fimbo-ya-kila-mtu-kwa-nche-nkampa.html' title='Fimbo ya kila mtu kwa Nche Nkampa'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-114476202170301228</id><published>2006-04-11T16:26:00.000+03:00</published><updated>2006-04-11T16:27:02.296+03:00</updated><title type='text'>Nilikuwepo Azimio la Dom</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Jamani,&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Yaani bila aibu mnaonekana kunitenga. Ni kwei sikuwepo kwa muda, lakini isiwe sababu ya kunitosa kiasi hicho.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kwanza naomba mkumbuke kwamba niliunga mkono azimio la Dodoma kwa nguvu zote na miongoni mwa washiriki nilikuwepo.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Tatizo ni kwamba picha haikuweza kupata taswira yangu kutokana na kwamba sikuonekana kiwiliwili hapo kweye mkutano huo uliojaa Coca na Fanta.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Jamani nilikuwepo tele, nafsi yangu ilijaa tele hapo. Mbona wengine wanakuwepo kinafsi na mnawakubali, iweje mimi mnione kuwa ni dhalili kwa hili.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nakubaliana nanyi jamani mia kwa mia.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Tuko pamoja na leo nawatakia maulid njema. Nitakuwa Movenpick nikifurahia sikukuu hiyo mahsuss kwetu waungwana.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Tuko pamoja&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-114476202170301228?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/114476202170301228/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=114476202170301228' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114476202170301228'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114476202170301228'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/04/nilikuwepo-azimio-la-dom.html' title='Nilikuwepo Azimio la Dom'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-114468008615825062</id><published>2006-04-10T17:39:00.000+03:00</published><updated>2006-04-10T17:41:34.463+03:00</updated><title type='text'>Fursa zijulikane sasa kwa wote</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;HAKIKA ni kwamba Watanzania wengi bado wanaogelea katika dimbwi la ufukara, huku matatizo makubwa yenye msingi wa umasikini yakiendelea kuwakabili kila kukicha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu za maisha ya Watanzania kung’ang’aniwa na ufukara ni nyingi na kila moja inaweza kuelezwa na kufafanuliwa kwa mapana na marefu yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kutokana na ufukara wa wananchi wetu, maisha yao yamekuwa ya kubahatisha mno, kuanzia kutokuwepo kwa uhakika wa tumbo kujazwa chakula na uhakika wa mwili kutoshambuliwa na magonjwa, au hata tiba ya uhakika wanapokuwa wameugua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika vita dhidi ya ujinga, kwa kiasi fulani, ushindi unaonekana kuwa upande wetu kutokana na kuwepo kwa silaha na dhamira madhubuti kuamua ushindi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awamu zote tatu za uongozi wa nchi yetu, kuanzia kwa Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa zimejitahidi mno kuwaondolea ufukara na umasikini wananchi; kila awamu kwa nafasi ya mafanikio ambayo inaonekana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati akiwa madarakani, Mwalimu Nyerere (sasa marehemu) alifanikisha mno kujenga umoja wa kitaifa, ambapo aliimarisha uhusiano wa wananchi bila kujali kabila wala maeneo wanakotoka. Imani ya Mwalimu Nyerere ilikuwa kwamba hakuna maendeleo na wala hakuna ushindi dhidi ya umasikini endapo hakuna umoja. Kwa hilo alifanikiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uongozi wa Mzee Mwinyi ulifungua milango ya kuwepo kwa demokrasia, mfumo ambao leo unaendelea kujenga misingi ya maendeleo makubwa ya kiuchumi yanayoonekana sasa. Mzee Mwinyi aliamini kwamba bila kukua kwa demokrasia, hata kama uchumi utakua, bado utakuwa na shaka ya kudumu kutokana na kutokuwepo kwa uhuru wa kisiasa. Na pia Mzee Mwinyi aliiondoa serikali katika mifumo wa biashara na kujikita zaidi katika kushughulikia kero za wananchi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mzee Mkapa alikuja kuimarisha zaidi uchumi kwa maana ya kujenga utamaduni wa wananchi kulipa kodi zaidi ili iwe rahisi kuimarisha na hata kuwa na miundombinu imara. Kiongozi huyo anaamini kwamba kuwepo kwa miundombinu imara ni kuchonga barabara ya kufikia mafanikio ya kiuchumi kwa haraka zaidi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uongozi wa sasa chini ya Rais Jakaya Kikwete (JK), ingawa bado ni mchanga katika kuwatumikia wananchi, ishara zinaonyesha kwamba imetanua mno ‘mbawa’ zake kuyashughulikia na hatimaye kutoa ufumbuzi wa sehemu ya ufukara na umasikini kwa Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete katika kuhakikisha kwamba analitumikia vyema taifa, kwa maana ya kushirikiana na wananchi kupunguza umasikini, amekuwa na imani kwamba Tanzania yenye neema inawezekana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imani hiyo ya Rais Kikwete ndiyo msimamo wa Watanzania wote. Kila mmoja anaamini kuwa Tanzania yenye neema inawezekana kabisa bila kusubiri mjomba ama shangazi kutoka ughaibuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama walivyo wananchi, Kona Yangu inaamini kwamba neema hiyo kwa kila mmoja wetu inawezekana kabisa, isipokuwa wananchi wanatakiwa kuelezwa na kuzifahamu fursa zilizopo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania ni miongoni mwa nchi chache mno zilizopewa fursa na Mwenyezi Mungu ambazo zinaweza kutatua ufukara wao, ikiwa watatambua kuwepo kwake, huku wakipewa msukumo na viongozi wanaokuwa madarakani kwa wakati husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana kabisa kwamba sasa wakati husika kwa Watanzania kuzitambua fursa hizo umefika, na kinachopaswa kufanywa na viongozi ni kuziweka wazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fursa hizo ni nyingi, lakini endapo hazitatambulishwa kwa wananchi, wasiwasi wa Kona Yangu ni kwamba zitaendelea kuwanufaisha wachache, huku wananchi wengi wakiendelea kuteseka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ieleweke kwamba kumekuwepo na mipango  mingi ya kuwapigania Watanzania ili waondokane na umasikini, lakini bado haijaweza kutoa msukumo wa dhati wa kuondoa ufukara kwa Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama zilivyo sababu za kuwepo kwa ufukara huo, sababu za kushindwa kwa mipango na mikakati ya kuwaepusha wananchi na umasikini, zimejikita mno katika dhana ya ubinafsi wa wananchi wachache wanaobahatika kuwa waongozaji. Hawa badala ya kuwaonyesha wenzao wengi njia za kuondokana na umasikini, wao wanajionyesha wenyewe na wake na watoto wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndiyo maana basi, wapo Watanzania wachahe wenye utajiri wa kutisha, huku wenzao wakiendelea kusumbuliwa na mlo wa siku moja na hata kushindwa kutibu watoto wao kwa magonjwa yanayotibika; msingi wa shida zote hizo ni umasikini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakika ni kwamba hao wenye utajiri mkubwa ndio wenye kutambua na kuielewa mikakati ya kupambana na umasikini na kutumia fursa hizo wenyewe bila kuwaeleza wengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vyema basi, serikali ya sasa ikaweka msukumo mkubwa katika kuwapatia wananchi elimu ya namna ya kutumia fursa zilizopo za mikakati na mipango kamambe ya kupambana na ufukara (sema umasikini ukitaka).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa hilo litafanyika, maisha ya kila Mtanzania yataweza kabisa kuwa bora na kuifanya neema kusambaa kwa kila mmoja.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-114468008615825062?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/114468008615825062/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=114468008615825062' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114468008615825062'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114468008615825062'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/04/fursa-zijulikane-sasa-kwa-wote.html' title='Fursa zijulikane sasa kwa wote'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-114465797828164843</id><published>2006-04-10T11:22:00.000+03:00</published><updated>2006-04-10T11:32:59.316+03:00</updated><title type='text'>Siku 100 za Kikwete Ikulu</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;MIAKA mingi iliyopita, watendaji wa serikali katika nafasi mbalimbali walionekana kujisahau mno katika suala zima la kuwatumikia wananchi.&lt;br /&gt;Watendaji hao walichojua ni kwenda ofisini kusaini vitabu kwamba wamefika na kutokomea kwenda kwenye shughuli zao zingine kinyume na utaratibu ambao unawataka kufanya kazi kwa saa nane.&lt;br /&gt;Mazoea haya siyo kwamba yalikuwa maeneo ya vijijini pekee, bali yalishamiri mno maeneo ya mijini na kuwa sehemu ya maisha ya wafanyakazi, hasa wa serikali.&lt;br /&gt;Wapo baadhi ya wafanyakazi waliokuwa wakionekana ofisini wakati wa kupokea ujira wao wa mwezi au madai mengine na siyo vinginevyo.&lt;br /&gt;Tabia hii ilichangia mno kudumaza ukuaji wa uchumi na kujenga ustawi wa jamii bora, kwani kila eneo la kupata huduma halikuwa na watendaji kwa muda muafaka.&lt;br /&gt;Zaidi ya hapo, wafanyakazi wengi wa serikali walijenga tabia ya kuwa waongo wanapotoa taarifa zao za maendeleo kwa viongozi wanaotokea kutembelea maeneo yao.&lt;br /&gt;Uongo huo ulizidi mno walipokuwa wakitoa taarifa hizo kwa wananchi. Kutoa taarifa za uongo kulisababishwa na tabia yao ya kuwa wazembe wa kazi.&lt;br /&gt;Hata hivyo, hali hiyo sasa inaonekana kupotea kwa kasi ya kutisha. Kwa muda wa siku 100 tu za Rais Jakaya Kikwete madarakani, sasa hali imebadilika mno.&lt;br /&gt;Kila mfanyakazi wa serikali katika eneo lake anajitahidi kuwahi kazini, kufanya kazi kwa kujituma na kutoa huduma kwa wananchi wahitaji.&lt;br /&gt;Ule utaratibu wa kuwaona wananchi kuwa ni dhalili wanapofika katika ofisi za serikali kuhitaji huduma, sasa umepotea kama umande jua linapochomoza.&lt;br /&gt;Ama hakika wananchi wengi, ukiondoa wenye vyeo na fedha, walionekana kutokuwa na haki ya kupata huduma kutoka kwa watendaji wa serikali.&lt;br /&gt;Sasa hali inabadilika, watendaji wa serikali, hasa wale wanaotoa huduma za moja kwa moja kwa wananchi wanaonekana kujali kazi zao na wanaachana na mazoea.&lt;br /&gt;Hali hiyo imewezekana kutokana na ukweli kwamba serikali ya sasa haitaki kudanganywa na kwamba haina mchezo kwa watendaji wabovu wala wababaishaji ambao hawatimizi wajibu wao kwa wananchi.&lt;br /&gt;Sasa ni kwamba kila mtumishi wa serikali anakuwa msimamizi wa mwezake na kuwa waongo wanajirekebisha, kwani walioko madarakani hawataki kudanganywa na hawako radhi kuona wanaongopewa kutokana na ufuatiliaji wa karibu.&lt;br /&gt;Kiongozi yeyote ambaye anafanya kazi na karatasi ofisini tu, ni rahisi mno kuongopewa na watendaji wa chini yake kwani wanakuwa na uhakika kwamba hakuna ‘follow-up’.Utendaji wa sasa wa Rais Kikwete ndiyo unaotoa msukumo wa kila mmoja mkubwa kwa mdogo katika ofisi kusikia mwangwi wa sauti ya Rais Kikwete kila anapotoroka eneo lake la kazi.&lt;br /&gt;Ni mwangwi huo unaomwambia kila anayetoroka kazini kurejea na kuwatumikia wananchi kwa neema ya Tanzania na watu wake ambao bado wana safari ndefu ya ushindi dhidi ya ufukara.&lt;br /&gt;Hongera Rais Kikwete kwa utendaji wako unaoonekana wazi kwamba umejengeka katika dhamira ya kuwatumikia wananchi, hasa wale wenye hali duni.&lt;br /&gt;Kila Mtanzania anakutegemea na kukuombea kwa Mungu Mkuu ili upate siha njema na uwezo maradufu wa kupigania haki, maendeleo na kudumisha amani na utulivu wa Tanzania.&lt;br /&gt;Inawezekana.&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-114465797828164843?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/114465797828164843/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=114465797828164843' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114465797828164843'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114465797828164843'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/04/siku-100-za-kikwete-ikulu.html' title='Siku 100 za Kikwete Ikulu'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-114430152995365585</id><published>2006-04-06T08:21:00.000+03:00</published><updated>2006-04-06T08:32:10.233+03:00</updated><title type='text'>Nilitekwa tena na magaidi</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Wapenzi waungwana wangu,&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kwanza niwaombe samahani sana kutokana na kukosa mawasiliano nawe na hivyo kuwanyima mlichokuwa mkikipenda katika gazeti langu tando.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ni kweli nimepokea malalamiko mengi kutoka kwenu; wapo walioniandikia barua pepe, wapo waliopiga simu na wapo, walioweza, kunifuata ofisini kueleza masikitiko yangu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Jamani wapenzi, kilichokea ni kwamba nilitekwa kwa muda wa miezi minne na miezi miwili baadaye nliamua kupoumzika ili kutibu machungu ya suluba za kutekwa huko.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Aliyeniteka naweza kabisa kumuita gaidi, ingawa alikuwa na uungwana kidogo wa kunipa ktu kidogo kwa ajili ya neema ya watoto na mke wangu huko nyumbani.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ninachoweza kueleza ni kwamba, mimi na nyinyo wote tumsamehe tu kwani hakujua alitendalo kwa uhakika.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Sasa najiagiza kwamba, nitakuwa nikiandika kila mara ili tuendelee kupata mawasiliano na kubadilishana mawazo kuhusu nchi yetu na dunia kwa jumla.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nasema; Yaliyopita si ndwele tungange yajayo.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Pamoja na hayo, nachukua nafasi hii kuwapongeza waandishi wapya wa gazeti tando ambao wameamua kujitosa na kuwa katika familia kubwa na inayoendelea kukua kwa kasi. Jamani nasema karibuni sana.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nawatakia kile jema na tuwe pamoja sasa na hata milele&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nawapenda&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-114430152995365585?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/114430152995365585/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=114430152995365585' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114430152995365585'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/114430152995365585'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2006/04/nilitekwa-tena-na-magaidi.html' title='Nilitekwa tena na magaidi'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112905548030754369</id><published>2005-10-11T21:27:00.000+03:00</published><updated>2005-10-11T21:31:20.310+03:00</updated><title type='text'>Wagombea wangu masikini!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Uchaguzi wa mwaka huu Tanzania kweli umejaa mambo magumu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Sasa wagombea wameanza kudhihirisha kwamba kampeni siyo lelemama, zinahitaji muda na fedha.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Wengi wameishiwa na wanalia machozi ya damu kwamba wanaonewa na serikali kwa kunyimwa ruzuku za kuendesha kampeni.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mgombea wa PPT- Maendeleo, mwanamama pekee Anna Senkoro amesema hana kitu hivi sasa na anawaomba wananchi na mashabikiw ake kumchangia petroli awezew kuzunguka angalau maeneo machache ya kuombea kura.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Naye Profesa Shayo akasema uchaguzi huu hauwezi kuwa wa haki maana CCM inazo fedha nyingi za kampeni, lakini wao hawana kitu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Profesa akasema kwamba anachofanya sasa ni kuzunguka kwenye mabaa anakopendelea kunywa kinywaji chake na anaowakuta hapo ndipo anamwaga sera zake, hataki mchezo na zaidi ya hapo anatumia gari lake analoendesha mwenyewe kuzunguka mitaa ya Dar es Salaa tu na kutangaza sera zake kuwaomba wananchi ridhaa. Huyu hataki mchezo kabisa.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Jamani tusubiri tuone, najua kwa kuw amazingira ya namna hii ya kulalamika yameanza, lazima kuna utayari wa kukataa matokeo kwamba hayatakuwa halali.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Tusubiri tuone&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112905548030754369?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112905548030754369/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112905548030754369' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112905548030754369'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112905548030754369'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/10/wagombea-wangu-masikini.html' title='Wagombea wangu masikini!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112905517943387856</id><published>2005-10-11T21:18:00.000+03:00</published><updated>2005-10-11T21:26:19.440+03:00</updated><title type='text'>Mrema ashinda tuzo ya usanii!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nimecheka..nikacheka na nikafurahi kweli kweli.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Bwana kutokana na kucheka huko, na pia kuungwa mkono na jamaa wengine niliokutana nao wakisoma gazeti, nimeamua kumtunukia Mrema shahada na tuzo ya juu ya usanii bora nchini.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Huyo bwana anayewania kuingia Ikulu, majuzi aliniacha hoi. Aliamua kuwapa ukweli wapiga kura wake jamani. Huyu ndiye mtu anayesema ukweli tupu na wengi bado wanamuamini na kumpenda.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mrema aliamua kubakiza dakika 15 anazopaswa kumaliza hotuba yake kwa wananchi kunadi sera zake ili ashiriki na wapiga kura wake kucheza muziki wa Bongo Fleva.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mgombea huyo ambaye ni rafiki yangu alisema ni bora abakize muda huo mfupi li aweze kucheza muziki huo wa Bushoke uitwao Mume bwege kwani hawawezi kupata tena muda wa kucheza naye atakapokuwa Ikulu pale Magogoni.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mrema akawaambia wananchi kwamba wanaobahatika kucheza naye sasa ndiyo wamebahatika na wasiobahatika itakuwa bahati mbaya.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Akashuka jukwaani na kuanza kusakata muziki huo wa kisasa unaopendwa zaidi na vijana.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mrema bwana...weee acha tu. Akacheza, akakata mauno, akanyonga mabeba na pia kusonta vidole kama wanavyofanya vijana wa kisasa.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kitu kimoja tu alisaahau, kushusha suruali yake hadi jirani na magoti na kuonyesha chupi yake kama wanavyofanya vijana na kuita mtindo huo kuwa ni kata..nini sijui ( ahh wanajua wao).&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mrema akacheza na kuwaeleza akiingia Ikulu hahana muda tena na zaidi ya hapo wapo walinzi kibao ambao hawatawaruhusu wananchi kucheza naye.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Ehheee bwana eee..akacheza hadi dakika 15 zikaisha na baada ya hapoia akwaaga akaondoka zake akiwa amelowa jasho, kibaragashia chote kililowa mwanangu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Duuuu Mrema kweli kiboko&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112905517943387856?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112905517943387856/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112905517943387856' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112905517943387856'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112905517943387856'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/10/mrema-ashinda-tuzo-ya-usanii.html' title='Mrema ashinda tuzo ya usanii!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112729988878446127</id><published>2005-09-21T13:45:00.000+03:00</published><updated>2005-09-21T13:51:28.790+03:00</updated><title type='text'>Nimechanganyikiwa</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nimewasikia. Nimewaona na wengine nimewagusa. Hawa ni wanasiasa wanaojipitisha hivi sasa kwangu na kwa waajiri wao wengine wa mijini na vijijini. Eti sasa ndiyo ninawaona kwamba wananithamini sana na kunipenda. Eti wananiona mali kwa sasa.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nawashangaa, hawa walikuwa wapi zamani kuwa na tabia njema namna hii ya kunijali na kuniona mimi wa maana. Hivi nina kitu gani sasa hivi zaidi ya zamani. Au jamani nimeota dhahabu kichwani bila kujua, au nina tananite kwapani au nimeficha almasi kwenye unyayo wangu bila kujua.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Naomba waungwana mnieleze niwasikileze watu hawa au niwakimbie. Kama nina madini ambayo wao wanayaona niwasubiri wayatoe tugawane au nikimbie na nibaki nayo hata kama hayanisaidii sana.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nazungumzia Kura yangu. Nipeni jibu.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112729988878446127?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112729988878446127/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112729988878446127' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112729988878446127'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112729988878446127'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/09/nimechanganyikiwa.html' title='Nimechanganyikiwa'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112541436201218297</id><published>2005-08-30T18:01:00.000+03:00</published><updated>2005-08-30T18:06:02.020+03:00</updated><title type='text'>Maprofesa wauza baa waja juu</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kumbe KONA YANGU imewagusa na kuwapandisha presha baadhi ya maprofesa hao wa kilimo na ufugaji wanaouza bia na ‘mikonyagi’, mmoja kaniandikia akiniita mtu mwenye wivu, kizabinazabina, niliyeshindwa maisha na kwamba niache kuwafuata katika maisha yao.&lt;br /&gt;Anadai kwamba kilimo kimeterekezwa na kila mmoja, tangu viongozi wa vyama na hata walioko serikali, kwamba wanachojua wao ni kuwaeleza wananchi kwmaba kilimo bado ni uti wa mgongo, ilihali ni kinyume cha hivyo.&lt;br /&gt;Bila kujitaja jina anaendelea kufoka, nadhani hata alikuwa akitokwa na povu wakati akitoa yaliyo moyoni mwake, kwamba wao kama wataalamu wameshindwa kupewa umuhimu, hata ushauri wao haufanyiwi kazi.&lt;br /&gt;Anadai kwamba-katika hali ya namna hiyo, wao wafanyeje, kama siyo kutafuta njia mbadala ya kufanya shughuli zingine ambazo wanadhani zinawaingizia kipato kikubwa zaidi, akimaanisha hata kuuza bia.&lt;br /&gt;Sina ugomvi na msomi huyo (sina uhakika kama ni daktari au profesa), hata kama angesema maneno yote ya kejeli, matusi na dharau anayodhani inanifaa kutokana na kuandika nilichoandika. Hakiwezi kufutika na nina furaha kwamba ujumbe umemfikia yeye na wengine wote, siyo wa fani ya kilimo na ufugaji pekee, bali wote wenye dhamana ya kuwa viongozi wetu  katika mapambano ya umasikini, lakini wakienenda kinyume na matarajio ya Watanzania.&lt;br /&gt;Hapa nazungumzia wote wanaoterekeza utoaji wa taaluma zao kwa wengine (kama madaktari wa mifugo, uuguzi, waandishi na hata wapishi) na kuwa ‘wanenguaji’ majukwaani. Twaache wanenguaji wawe wanenguaji na wengine kama wanahitaji kufanya hivyo, wafanye kujifurahisha huku wakiendelea na taaluma zao kwa manufaa ya wananchi.&lt;br /&gt;Hivi kama profesa anauza bia hadi usiku wa manane, ni muda gani anaandaa somo la siku inayofuata, ikiwa atakuwa na kipindi ? Hata  kama itaelezwa kwamba ana  uzoefu wa kutosha, kwamba anaweza kufundisha bila kuhitaji maandalizi kutokana na uzoefu, hivi kweli huyu anaweza kuwa makini ! Sidhani.&lt;br /&gt;Ikiwa hiyo ndiyo tabia yake, je anapata wapi muda wa kusoma na kutafiti mada ama dhana mpya za kisasa katika kuboresha ufundishaji wake na kutoa elimu yenye mazingira ya kisasa ambayo ndiyo inahitajika mno zaidi ya aliyosoma yeye enzi zile za mwaka 47?&lt;br /&gt;Ninachojua ni kwamba msomi mwenye utaifa anapaswa kuwa chachu ya kugundua dhana mpya na kuwapa elimu mpya  aliyopata kwa watu wanaomzunguka kwa faida ya wote.&lt;br /&gt;Inashangaza kusikia profesa akitukana, huku akitoa sababu za kijinga kwamba serikali imeterekeza kilimo. Hata kama ni hivyo, ni wapi serikali inamzuia yeye kwa kutumia ujuzi wake kuwa na mashamba ya mfano na kufuga kisasa na kuuza mazao yake kokote anakopenda!&lt;br /&gt;Mbona hivi sasa yapo mazingira mazuri tu ya kumwezesha yeyote kuuza mazao yake anapopenda hata ikiwa nje ya nchi.&lt;br /&gt;Uhakika ni kwamba kama huyo profesa (sijui…) ameweza kufungua eneo la kisasa la starehe anashindwa nini kuwekeza katika sekta inayomgusa moja kwa moja ya kilimo ambako kuna faida kubwa na kuachana na kelele -pengine za walevi- na kujifunza matusi kutoka kwao hata kutukana wengine!&lt;br /&gt;Inaeleweka kwamba wasomi ni watu wanaopima na kuchambua hoja na kuzijibu kwa nguvu zenye kusukumwa na kutanabaishwa kwa hoja husika, lakini kamwe siyo kurejesha matusi kama alivyofanya msomi huyo kwangu.&lt;br /&gt;Inawezekana pia siyo msomi, bali ni mhuni tu wa kawaida ambaye ubongo wake umechanganywa na ‘mipombe’ anayokunywa hadi usiku wa manane, hata kushindwa kupata muda wa kupambanua lipi jema na lipi la manufaa na kuambulia ‘mitusi’ isiyokuwa na faida kwake.&lt;br /&gt;Huyu ameshindwa kabisa kutambua kwamba KONA YANGU imekuwepo ikielimisha, kukosoa, kuonya na hata kupongeza pale inapoonekana kunafaa kuzungumziwa kwa manufaa ya wananchi.&lt;br /&gt;Wakati umefika sasa kwa wasomi wetu kuwa na utaifa zaidi na kuwa tayari kujifunza zaidi na ikiwezekana kuwa wenye kupigiwa mfano katika shughuli wanazofanya, hasa zinazohusiana moja kwa moja na taaluma walizosomea.&lt;br /&gt;Kila heri wasomi wetu.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112541436201218297?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112541436201218297/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112541436201218297' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112541436201218297'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112541436201218297'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/08/maprofesa-wauza-baa-waja-juu.html' title='Maprofesa wauza baa waja juu'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112479117193366910</id><published>2005-08-23T12:52:00.000+03:00</published><updated>2005-08-24T09:52:22.870+03:00</updated><title type='text'>Maprofesa SUA na baa za mifano!</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Niko Morogoro sasa. Ninafanya kazi zangu za kujipatia riziki, si mwajua jamani maisha popote. Morogoro ni mji unaokua kwa kasi kubwa na karibuni utakuwa na idadi kubwa ya watu kutokana na kuwa na vijishughuli vingi hapa.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Katika pita pita zangu, nimekutana na mabaa mazuri ajabu hapa. Ama hakika ni baa za mfano. Zimepangwa vyema, zina vinywaji vya kila aina na wahusdumu wake siyo hapa, wamiliki au mameneja wao wanajua kweli kuchagua. Nawapongeza.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nilichugundua ni kwamba baa zote hizo zinamilikiwa na maprofesa na madaktari, wataalamu waliobobea katika kilimo na mifigo. Ni wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA).&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Hawa wataalamu kwa kweli nawapa sifa kwa kujua namna ya kuendesha biashara za baa na jinsi wanavyoweza kuwakamata wateja kama 'wanalia' vile. Wanawapata kirahisi kweli.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Hawa mabwana (sina uhakika kama mabibi nao wamo), sina ugomvi nao katika kuanzisha mabaa haya mazuri, lakini kinachonisikitisha zaidi ni kwamba mbona wanashindwa kuwa na mashamba ama bustani za mifano kama wanavyofanya katika mabaa.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mbona hawana mifugo ya mfano ili wakulima waweze kuiga kutoka kwao na wao waweze kufaidi elimu yao.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Ina maana hawa mabwana wao elimu yao ni ya kufundisha tu darasani, nje ya hapo hawana kitu...ni kuuza bia tu - Basi.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Ngoja nikomee hapo kwanza, nawahi hapo baa kuna kinywaji changu nilikiacha ghafla kuja kuandika hii.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Baadaye&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112479117193366910?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112479117193366910/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112479117193366910' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112479117193366910'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112479117193366910'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/08/maprofesa-sua-na-baa-za-mifano.html' title='Maprofesa SUA na baa za mifano!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112479067676243979</id><published>2005-08-23T12:49:00.001+03:00</published><updated>2005-08-23T12:51:16.773+03:00</updated><title type='text'>Vyombo vya habari viwe na utaifa zaidi sasa</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;BAADAYE  mwaka huu, Watanzania watakuwa wakiamua nani anawafaa kuwaongoza kwa kipindi cha miaka mitano katika nafasi mbalimbali za uongozi ambazo ama ziko wazi au zitakuwa wazi siku chache zijazo.&lt;br /&gt;Nafasi ninazozungumza hapa ni za aina tatu ambazo ni Urais, Ubunge na Udiwani. Hawa wote kwa jumla yao ni viongozi ambao wanapaswa kushirikiana na Watanzania wengine kuhakikisha kwamba maadui wa maendeleo na neema ya nchi wanapigwa vita kwa hali, mali na ikiwezekana damu.&lt;br /&gt;Ieleweke kwamba nafasi za ubunge zitakuwa wazi rasmi kuanzia kesho baada ya gazeti la serikali kutangaza hivyo, huku nafasi za udiwani zikiwa tayari wazi baada ya mabaraa kuvunjwa na kwa upande wa nafasi ya Urais hadi baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu, Mwezi Novemba.&lt;br /&gt;Viongozi tunaowatafuta kwa nafasi zote ni wale tu wenye kuonekana dhahiri, kwa kwamba wana lengo la kushirikiana na  wananchi wenzao kutokomeza rushwa, magonjwa, ufisadi na ujinga.&lt;br /&gt;Hawa tunawataka kuwa wenye ukweli katika mioyo yao na matendo yao, kiasi kwamba wakiomba kura kwamba tuwachague, ituridhishe kwamba wanayonena ni kweli na wala siyo unafiki ambao, kwa wengi, umekuwa ndiyo ahadi za wanasiasa.&lt;br /&gt;Pamoja na kwamba wakati wa kampeni, mengi ya kuvutia, kunenepesha ngoma za masikio na mboni za macho yatajitokeza, bado wananchi wanayo karata yao ya kuwakataa wote wenye kutaka nafasi ya uongozi kwa kuwa tu wanataka sifa za kuitwa waheshimiwa au kupata mafao ni kiinua mgongo kinachotota mafuta.&lt;br /&gt;Katika kipindi hiki cha sasa hadi kufikia siku ya kupiga kura, vyombo vingi vya habari vimeibuka kwa wingi na kwa kasi ya kutisha, vingi vikiwa ni sehemu ya kuanza mikakati ya kampeni kwa wagombea wao.&lt;br /&gt;Ni jambo jema mno kuwa na vyombo vingi vya habari ambavyo vinajua vimeanzishwa kwa sababu gani yenye mwelekeo wa kutoa mchango kwa maendeleo ya nchi yetu na wala siyo vinginevyo.&lt;br /&gt;Sisemi kwamba kuna dhambi katika kuwepo kwa wingi wa vyombo vya habri katika kipindi hiki, kwani ninaamini kabisa ndicho kipindi ambacho Watanzania wengi zaidi wanapaswa kupata habari zaidi kuliko kipindi kingine chochote.&lt;br /&gt;Vyombo vya habari,  hasa magazeti yanabeba jukumu kubwa la kuwaelimisha wananchi juu ya kuwa na uamuzi sahihi, kwanza kwa kuwaweka wazi wagombea wenyewe, nia na malengo yao kuomba nafasi wanazozitaka.&lt;br /&gt;Ikiwa  vyombo vya habri hivyo vitasimama katika ukweli na kutangaza yale tu yenye kuhuisha maendeleo yetu, amani na muungano wetu, historia kamwe haitaweza kuwahukumu waandishi husika na hata wamiliki wa vyombo vyenyewe.&lt;br /&gt;Lakini, itakapotokea vinginevyo, kwa maana ya waandishi kutofuata maadili yao yanayobebwa na dira ya ukweli, uwazi, haki na kulinda haki ya binadamu katika kuandika habari zao, basi historia kamwe haitawaacha wao na wamiliki wa vyombo hivyo hivi hivi hata kama itapita miaka mingi ijayo. Lazima hukumu itatolewa hata wakiwa makaburini.&lt;br /&gt;Nina hakika kwamba yapo baadhi ya magazeti yaliyoanzishwa sasa ama kuibuka katika kipindi hiki, yatatumia mwanya uliopo kuandika uongo, chuki, uzushi, fitina na kila aina ya uchafu unaoonekana kufaa kwao kwa malengo yanayojulikana zaidi kwa waandishi wenyewe na wamiliki wa vyombo hivyo.&lt;br /&gt;Ni katika kufanya hivyo, wamiliki na waandishi watakuwa wakipata fedha za ziada- kwa kuuza magazeti ya- ambazo wanadhani zitawanufaisha kwa kujiwekea akiba, kujenga nyumba au kufanya mambo ya hovyo yenye  kuwapa sifa za muda mfupi huku wakiacha madhara makubwa kwa jamii.&lt;br /&gt;Uandishi wa namna hii unapaswa kupigwa vita, siyo na serikali pekee, bali hata wananchi ambao ndio wanunuzi, kwani kuendelea kuulea matokeo yake ni majuto ambayo hayatakuwa rahisi kuyafuta katika kipindi kifupi.&lt;br /&gt;Nguvu ya vyombo vya habari inaeleweka na madhara yake yanaonekana, siyo kwa nchi jirani pekee, hata hapa nchini nguvu hiyo inaonekana hata kama wapo wasiyoiona na kudhani vyombo vya habari vipo vipo tu kwa ajili ya biashara – full stop. Havina lolote linaloweza ‘kupindua’ mtazamo wa wananchi.&lt;br /&gt;Ninaeleza hivi kwa kuwa tayari dalili zipo zenye mwelekeo wa kuchomoza ‘ujenzi’ wa chuki unaoundwa na vyombo hivyo, bila kujali maslahi ya taifa kana kwamba wanaoandika hawahusiki na maendeleo wala amani ya Tanzania.&lt;br /&gt;Vyombo vya habari na hasa magazeti yameanza kutukana, kukejeli na hata kudhalilisha na kuchochea chuki miongoni mwa wananchi iwe katika medani za kidini, kisiasa au kushambulia wenye kuonekana wana nia ya kutaka kuomba ridhaa ya wananchi katika kupata nafasi.&lt;br /&gt;Habari za jumla jumla kwamba kundi Fulani halimtaki mgombea Fulani kwa sababu A-Be-Che zenye kutukana zinapaswa kuepukwa kabisa na vyombo hivyo, hata kama habari yenyewe itampa utajiri mwandishi au mmiliki wa chombo husika. Watambue kwamba; Utajiri siyo kila kitu duniani.&lt;br /&gt;Itamfaidisha nini mwandishi au mwenye chombo cha habari kumiliki majumba makubwa ya kifahari, wanawake wazuri wote Dar es Salaam, magari aghali, tiba aitakayo, ikiwa amani itakuwa imevurugika au kuzungukwa na idadi kubwa ya masikini wenye njaa ya kutisha?&lt;br /&gt;Mfano halisi wa mchango wa vyombo vya habari katika kuvunja amani na kuvuruga maendeleo unaonekana katika nchi ya Rwanda, ambapo waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari walilazimisha kuwepo kwa chuki zilizosababisha ndugu wa jamii mbili- Watutsi na Wahutu kuanza kuchinjana bila woga.&lt;br /&gt;Vyombo hivyo, kama inavyoanza kujitokeza sasa, vilianza kuandika mambo ya hovyo ya uongo, fitina na majungu kuhusu mgombea mmoja mmoja na baadaye kuendelea na kundi kubwa linalomhusu na hatimaye kuleta chuki ya jamii nzima.&lt;br /&gt;Yaliyotokea Rwanda sasa ni historia yenye uchungu usippaswa kurejewa na jamii yoyote ya biandamu. Watu wanaofikia milioni moja walichinjwa na kunyongwa katika kipindi cha siku mia moja tu; kisa-vyombo vya habari vimechochea.&lt;br /&gt;Hatupendi haya yatokee hapa kwetu wala eneo jingine lolote duniani. Na Watanzania wasidhani kwamba ilitokea Rwanda hapa haiwezi kutokea kwa kuwa tu amani iliyopo imezoeleka. Thubutu!&lt;br /&gt;Inapaswa kila mmoja kwa mahali alipo, wakiwemo waandishi, wamiliki wa vyombo vya habari na vyombo vyote vya usalama, kutokuwa na woga wa kuwakemea wenzao wenye mwelekeo wa kutanguliza tamaa ya matumbo yao ya utajiri kupitia  kuandika habari za uongo na chuki.&lt;br /&gt;Kinachopaswa kwa waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari ni kutanguliza utaifa kwanza kila wanapotaka kutangaza ama kuchapisha habari, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.&lt;br /&gt;Fedha za damu, kamwe hazimuachii furaha ya milele mwandishi au mmiliki wa chombo cha habari.&lt;br /&gt;Inawezekana. Utaifa kwanza.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112479067676243979?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112479067676243979/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112479067676243979' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112479067676243979'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112479067676243979'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/08/vyombo-vya-habari-viwe-na-utaifa-zaidi_23.html' title='Vyombo vya habari viwe na utaifa zaidi sasa'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112312963100628405</id><published>2005-08-04T07:24:00.000+03:00</published><updated>2005-08-04T07:27:11.006+03:00</updated><title type='text'>Wenye presha watakufa leo</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Jamani, napenda kuwaeleza kwamba waliokuwa wabunge wakidai kwamba wana hati miliki ya maeneo yao, leo watakufa kwa presha baada ya majina yao kushindwa kurejeshwa na kamati za kuwachuja. Hawa ni wale walioko katika chama tawala.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Inawezekana kabisa wengi wao wakakosa kuamini macho na masikio yao watakapokuwa wamepigwa chini na kulaumu ung'ang'anizi wao kwenye viti vya Bunge.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Sitaki kueleza mengi, tusubiri hadi hiyo kesho nitakapokuwa fiti kuwaletea habari za vifo vya waliokuwa waheshimiwa kwa miaka mitano au zaidi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112312963100628405?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112312963100628405/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112312963100628405' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112312963100628405'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112312963100628405'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/08/wenye-presha-watakufa-leo.html' title='Wenye presha watakufa leo'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112312936393028099</id><published>2005-08-04T07:18:00.000+03:00</published><updated>2005-08-04T07:22:43.940+03:00</updated><title type='text'>Mikono ya waandishi sijae damu</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;BAADAYE  mwaka huu, Watanzania watakuwa wakiamua nani anawafaa kuwaongoza kwa kipindi cha miaka mitano katika nafasi mbalimbali za uongozi ambazo ama ziko wazi au zitakuwa wazi siku chache zijazo.&lt;br /&gt;Nafasi ninazozungumza hapa ni za aina tatu ambazo ni Urais, Ubunge na Udiwani. Hawa wote kwa jumla yao ni viongozi ambao wanapaswa kushirikiana na Watanzania wengine kuhakikisha kwamba maadui wa maendeleo na neema ya nchi wanapigwa vita kwa hali, mali na ikiwezekana damu.&lt;br /&gt;Ieleweke kwamba nafasi za ubunge zitakuwa wazi rasmi kuanzia kesho baada ya gazeti la serikali kutangaza hivyo, huku nafasi za udiwani zikiwa tayari wazi baada ya mabaraa kuvunjwa na kwa upande wa nafasi ya Urais hadi baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu, Mwezi Novemba.&lt;br /&gt;Viongozi tunaowatafuta kwa nafasi zote ni wale tu wenye kuonekana dhahiri, kwa kwamba wana lengo la kushirikiana na  wananchi wenzao kutokomeza rushwa, magonjwa, ufisadi na ujinga.&lt;br /&gt;Hawa tunawataka kuwa wenye ukweli katika mioyo yao na matendo yao, kiasi kwamba wakiomba kura kwamba tuwachague, ituridhishe kwamba wanayonena ni kweli na wala siyo unafiki ambao, kwa wengi, umekuwa ndiyo ahadi za wanasiasa.&lt;br /&gt;Pamoja na kwamba wakati wa kampeni, mengi ya kuvutia, kunenepesha ngoma za masikio na mboni za macho yatajitokeza, bado wananchi wanayo karata yao ya kuwakataa wote wenye kutaka nafasi ya uongozi kwa kuwa tu wanataka sifa za kuitwa waheshimiwa au kupata mafao ni kiinua mgongo kinachotota mafuta.&lt;br /&gt;Katika kipindi hiki cha sasa hadi kufikia siku ya kupiga kura, vyombo vingi vya habari vimeibuka kwa wingi na kwa kasi ya kutisha, vingi vikiwa ni sehemu ya kuanza mikakati ya kampeni kwa wagombea wao.&lt;br /&gt;Ni jambo jema mno kuwa na vyombo vingi vya habari ambavyo vinajua vimeanzishwa kwa sababu gani yenye mwelekeo wa kutoa mchango kwa maendeleo ya nchi yetu na wala siyo vinginevyo.&lt;br /&gt;Sisemi kwamba kuna dhambi katika kuwepo kwa wingi wa vyombo vya habri katika kipindi hiki, kwani ninaamini kabisa ndicho kipindi ambacho Watanzania wengi zaidi wanapaswa kupata habari zaidi kuliko kipindi kingine chochote.&lt;br /&gt;Vyombo vya habari,  hasa magazeti yanabeba jukumu kubwa la kuwaelimisha wananchi juu ya kuwa na uamuzi sahihi, kwanza kwa kuwaweka wazi wagombea wenyewe, nia na malengo yao kuomba nafasi wanazozitaka.&lt;br /&gt;Ikiwa  vyombo vya habri hivyo vitasimama katika ukweli na kutangaza yale tu yenye kuhuisha maendeleo yetu, amani na muungano wetu, historia kamwe haitaweza kuwahukumu waandishi husika na hata wamiliki wa vyombo vyenyewe.&lt;br /&gt;Lakini, itakapotokea vinginevyo, kwa maana ya waandishi kutofuata maadili yao yanayobebwa na dira ya ukweli, uwazi, haki na kulinda haki ya binadamu katika kuandika habari zao, basi historia kamwe haitawaacha wao na wamiliki wa vyombo hivyo hivi hivi hata kama itapita miaka mingi ijayo. Lazima hukumu itatolewa hata wakiwa makaburini.&lt;br /&gt;Nina hakika kwamba yapo baadhi ya magazeti yaliyoanzishwa sasa ama kuibuka katika kipindi hiki, yatatumia mwanya uliopo kuandika uongo, chuki, uzushi, fitina na kila aina ya uchafu unaoonekana kufaa kwao kwa malengo yanayojulikana zaidi kwa waandishi wenyewe na wamiliki wa vyombo hivyo.&lt;br /&gt;Ni katika kufanya hivyo, wamiliki na waandishi watakuwa wakipata fedha za ziada- kwa kuuza magazeti ya- ambazo wanadhani zitawanufaisha kwa kujiwekea akiba, kujenga nyumba au kufanya mambo ya hovyo yenye  kuwapa sifa za muda mfupi huku wakiacha madhara makubwa kwa jamii.&lt;br /&gt;Uandishi wa namna hii unapaswa kupigwa vita, siyo na serikali pekee, bali hata wananchi ambao ndio wanunuzi, kwani kuendelea kuulea matokeo yake ni majuto ambayo hayatakuwa rahisi kuyafuta katika kipindi kifupi.&lt;br /&gt;Nguvu ya vyombo vya habari inaeleweka na madhara yake yanaonekana, siyo kwa nchi jirani pekee, hata hapa nchini nguvu hiyo inaonekana hata kama wapo wasiyoiona na kudhani vyombo vya habari vipo vipo tu kwa ajili ya biashara – full stop. Havina lolote linaloweza ‘kupindua’ mtazamo wa wananchi.&lt;br /&gt;Ninaeleza hivi kwa kuwa tayari dalili zipo zenye mwelekeo wa kuchomoza ‘ujenzi’ wa chuki unaoundwa na vyombo hivyo, bila kujali maslahi ya taifa kana kwamba wanaoandika hawahusiki na maendeleo wala amani ya Tanzania.&lt;br /&gt;Vyombo vya habari na hasa magazeti yameanza kutukana, kukejeli na hata kudhalilisha na kuchochea chuki miongoni mwa wananchi iwe katika medani za kidini, kisiasa au kushambulia wenye kuonekana wana nia ya kutaka kuomba ridhaa ya wananchi katika kupata nafasi.&lt;br /&gt;Habari za jumla jumla kwamba kundi Fulani halimtaki mgombea Fulani kwa sababu A-Be-Che zenye kutukana zinapaswa kuepukwa kabisa na vyombo hivyo, hata kama habari yenyewe itampa utajiri mwandishi au mmiliki wa chombo husika. Watambue kwamba; Utajiri siyo kila kitu duniani.&lt;br /&gt;Itamfaidisha nini mwandishi au mwenye chombo cha habari kumiliki majumba makubwa ya kifahari, wanawake wazuri wote Dar es Salaam, magari aghali, tiba aitakayo, ikiwa amani itakuwa imevurugika au kuzungukwa na idadi kubwa ya masikini wenye njaa ya kutisha?&lt;br /&gt;Mfano halisi wa mchango wa vyombo vya habari katika kuvunja amani na kuvuruga maendeleo unaonekana katika nchi ya Rwanda, ambapo waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari walilazimisha kuwepo kwa chuki zilizosababisha ndugu wa jamii mbili- Watutsi na Wahutu kuanza kuchinjana bila woga.&lt;br /&gt;Vyombo hivyo, kama inavyoanza kujitokeza sasa, vilianza kuandika mambo ya hovyo ya uongo, fitina na majungu kuhusu mgombea mmoja mmoja na baadaye kuendelea na kundi kubwa linalomhusu na hatimaye kuleta chuki ya jamii nzima.&lt;br /&gt;Yaliyotokea Rwanda sasa ni historia yenye uchungu usippaswa kurejewa na jamii yoyote ya biandamu. Watu wanaofikia milioni moja walichinjwa na kunyongwa katika kipindi cha siku mia moja tu; kisa-vyombo vya habari vimechochea.&lt;br /&gt;Hatupendi haya yatokee hapa kwetu wala eneo jingine lolote duniani. Na Watanzania wasidhani kwamba ilitokea Rwanda hapa haiwezi kutokea kwa kuwa tu amani iliyopo imezoeleka. Thubutu!&lt;br /&gt;Inapaswa kila mmoja kwa mahali alipo, wakiwemo waandishi, wamiliki wa vyombo vya habari na vyombo vyote vya usalama, kutokuwa na woga wa kuwakemea wenzao wenye mwelekeo wa kutanguliza tamaa ya matumbo yao ya utajiri kupitia  kuandika habari za uongo na chuki.&lt;br /&gt;Kinachopaswa kwa waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari ni kutanguliza utaifa kwanza kila wanapotaka kutangaza ama kuchapisha habari, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.&lt;br /&gt;Fedha za damu, kamwe hazimuachii furaha ya milele mwandishi au mmiliki wa chombo cha habari.&lt;br /&gt;Inawezekana. Utaifa kwanza.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112312936393028099?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112312936393028099/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112312936393028099' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112312936393028099'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112312936393028099'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/08/mikono-ya-waandishi-sijae-damu.html' title='Mikono ya waandishi sijae damu'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112153121359041437</id><published>2005-07-16T19:14:00.000+03:00</published><updated>2005-07-16T19:26:53.596+03:00</updated><title type='text'>Viongozi wote wezi!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Huyu bwana ni rafiki yangu, ndiyo ameingia kutoka Marekani huko kwao. Amekuwa akiwasiliana nami akieleza sababu za kuja kutembelea nchi yetu. Kwamba anafanya utafiti fulani ambao amenieleza. Kwa leo siusemi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Anadai kwamba alikuja na mtazamo kwamba Tanzania ni masikini mno, kiasi kwamba watu wake wanashindwa hata kula milo mitatu au zaidi kwa siku moja. Hasa akizingatia kuwa idadi kubwa ya watu wetu wanaweza tu kupata kiasi kisichozidi dola moja kwa siku &lt;span style="color:#ff6666;"&gt;(sawa na sh. 1,000).&lt;/span&gt; Kiasi hiki kinamshangaza mno.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Jamaa huyo, ananieleza hata kwamba alikuwa akisita hata kuomba kuishi nami kwenye kijumba cha mbavu za mbwa mambacho alikuwa akikijenga katika akili yake kabla ya kutua Dar es Salaam.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Ananieleza kuwa mtazamo wake kwamba Tanzania ni masikini aliufuta baada ya kutua na kuanza safari ya kuelekea huko mabonde kwinama ninakoficha mwili wangu wakati wa usiku na vyombo vyangu na miili ya wale ninaoishi nao, bila kusahau wadudu tegemezi kama mende, panga na...hapana viroboto hakuna...weweeee!.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Siku mbili tatu za kumtembea huko alikokuwa akienda, hakuwa akiamini jinsi anavyokutana uso kwa uso na magari makubwa ya kifahari ambayo hakusita kunieleza hata kwao ni machache mno kutokana na kuuzwa bei ghali. Du...namweleza mbona hapa hayo ni mambo madogo, asione mie sina basi akadhani tuko sawa...hapana bwana.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kweli ameona mengi na amenieleza mengi kuhusu mtaamo wake, lakini kubwa na hitimisho lake ni kwamba wote wenye magari ya kifahari na kuishi maisha ya utaua hapa duniani ni wezi, hasa kwa nchi kama Tanzania inayotangazwa kila kukicha kwamba inatembeza bakuli  kwao ili kupatiwa msaada.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Anapopata kiasi cha mshahara wa waziri na waziri mkuu, ndiyo anachanganyikiwa kabisa na kusisitiza, hakuna mwenye usafi miongoni mwao, kwamba eti wote wezi wanaibia umma, ndiyo maana hakuna maendeleo, iweje wawe na magari mengi ya kifahari, moja lake, jingine la mtoto wa kwanza wa kiume, mtoto wa kwanza wa kike, mama na baba na pia jingine moja au mawili kwa nyumba ndogo.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Haya amesema, wengine mchangie.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;color:#ff0000;"&gt;Tutafika! Au ndo bakuli litatembezwa kila kukicha kwa wakubwa na kuwasujudia kana kwamba bola wao sisi tusingekuwepo duniani.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="color:#ff0000;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112153121359041437?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112153121359041437/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112153121359041437' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112153121359041437'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112153121359041437'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/viongozi-wote-wezi.html' title='Viongozi wote wezi!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112115785684698493</id><published>2005-07-12T11:35:00.000+03:00</published><updated>2005-07-12T11:44:16.853+03:00</updated><title type='text'>Mrema anafaa kuwa mcheza sinema</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nimecheka weee, mpaka mbavu zangu zinauma.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Huwezi kuamini kwamba nimeona sinema ya vichekesho ambayo naweza kabisa kuipa nafasi ya kwanza kwa kunichekesha vyema mwaka huu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kitu kilichozoeleka ni kwamba sinema nyingi za namna hiyo tunaziona kutoka kwa waigizaji wa nje, lakini huyo wa safari hii ni Mtanzania mwenzetu. Sielewi kwanini anakaa akipigizana kelele na serikali badala ya kuingia kwenye usanii na akala mahela yake kiulaiiini, kwani hawaoni wasanii wa sasa wa Bongo, wimbo mmoja tu (wao wanaita single) ananunua gari   na hata nyumba.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Huyu msanii siyo mwingine, bali ni Augustino Lyatonga Mrema, mzee wa Kiraracha kule Moshi aisee.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Basi bwana, yeye jana wakati ameshachukua fomu kutoka kwa wakubwa wa usimamizi wa uchaguzi, akapanda baiskeli akiwa na mgombea mwenza wake, mwanamama kutoka Zanzibar. Wakazungushwa mji mzima wa Dar es Salaam wakiwa na wafuasi wao huku bendera za chama chao cha TLP zikitawala.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Ilikuwa ni burudani ya aina yake kwa kweli. hakuna aliyenuna baada ya kumuona Mrema akiwa juu ya baiskeli ya miguu mitatu akiwapungia wananchi kwa ishara ya kuwaambia kwamba anaingia kwenye kinyang'anyiro hivyo anaomba kura zao aweze kula tu kama wenzake wanavyofanya. Hakuna tofauti kamwe miongoni mwa hawa wenzetu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Naomba kumpa ushauri wa bure, ikiwa atashindwa (jamba ambalo ninalo uhakika), basi aanze uigizaji katika vituo vya trelevisheni vya hapa kwetu na hata nje, kwani hata kama hajui malugha ya wengine anaweza kabisa kuwa mchekeshaji wa ishara tu kama Roward Atkinson (Mr. Bean). Akifanya hivyo hatakuwa mwenzetu tena, atakuwa ni bilionea mkubwa.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kila heri Mzee mzima Mrema.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112115785684698493?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112115785684698493/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112115785684698493' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112115785684698493'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112115785684698493'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/mrema-anafaa-kuwa-mcheza-sinema.html' title='Mrema anafaa kuwa mcheza sinema'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112107473285796069</id><published>2005-07-11T12:35:00.000+03:00</published><updated>2005-07-11T12:38:52.856+03:00</updated><title type='text'>Fomu za Urais leo</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Wanaotaka kuwaongoza Watanzania leo wanaanza kuchukua fomu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Najua wanachofanya ni sinema tu, wanachukua fomu kuhalalisha ulaji tu, hakuna mwenye uchungu wa kuwatetea Watanzania. Hizo fomu zinahalalisha ulaji wao ambao utawekewa uzito na kura za wananchi hao hao wanaodanganywa kwa peremende na kilo ya sukari na sembe.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Haya, kwa kuwa ni utaratibu uliopo, basi acha wachukue na siku ikifika watangazwe wameshinda ili waendelee kula na kula na kulaaaaaaa.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112107473285796069?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112107473285796069/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112107473285796069' title='75 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112107473285796069'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112107473285796069'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/fomu-za-urais-leo.html' title='Fomu za Urais leo'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>75</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112107446413613414</id><published>2005-07-11T12:25:00.000+03:00</published><updated>2005-07-11T12:34:24.143+03:00</updated><title type='text'>Kumbe nanyi mwajua kama mimi!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nimeona majibu ya ndugu zangu kuhusu  msimamo niliouandika katika blog hii na mengine kukumbana nayo katika mail account yangu. Yote ni mazuri na yanaonyesha jinsi watu wanavyotofautiana kuhusu vitendo vya Marekani (pamoja na Uingereza na washirika wao) na Irak na mataifa mengine.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Wapo wanaodai kuwa Bush anaonea na wengine wakieleza kuwa anastahili na huo ndiyo mshahara wa dhambi anazofanya dhidi ya watu wengine.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Lakini, wapo pia wanaoeleza kusikitishwa kwao na 'uonevu' wa Bush kwa nchi zingine na kwamba wanananchi wake na hata wale wa Blair, wakishambuliwa hakuna mbaya. Ni haki yao.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kila mmoja ana mtazamo wake. Kwangu mimi nilitaka kuibua hoja ambayo imekuwa ikikinzani kila kukicha na kutoka kwa kila mmoja.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Bado mjadala uko wazi, lakini msimamo wangu ni kwamba Bush anakosea na Wanaopiga wananchi wake wanakosea.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Hivyo, MOJA NI MOJA.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Tuko pamoja.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112107446413613414?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112107446413613414/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112107446413613414' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112107446413613414'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112107446413613414'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/kumbe-nanyi-mwajua-kama-mimi.html' title='Kumbe nanyi mwajua kama mimi!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112080550443870999</id><published>2005-07-08T09:46:00.000+03:00</published><updated>2005-07-08T14:08:22.620+03:00</updated><title type='text'>al-Qaeda wahuni, hamna akili</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Hivi shetani wa miguu mingapi amewaingilia katika vichwa vyenu. Mbona mnakuwa wajinga namna hii nyie al-Qaeda?&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Iweje mnaua tu watu hata wasiowahusu wala kuwawekea kauzibe matakwa yenu. Na sina uhakika mnataka nini, je ni haki fulani au hamu ya kuona damu ya binadamu ikimwagika kama kuku wa msaada.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mnashindwa nini kumfuata Blair mwenyewe au Bush na kuwatwanga risasi, badala ya kuendelea kuua hata ndugu zenu wenye imani moja na mnaotoka nao eneo moja. Mnawaonea jamani na mnajiongezea dhambi tu bure. Wafuateni wahusika, mnashindwa nini.? Au nyie ni waoga?&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nipeni jibu. Mmefanya nini sasa kuua watu kibao pale Londoni, kwani hamjui Blair anaishi wapi, kama mtasema kwamba hakuwepo, basi mngempandia huko huko alikokuwa, kwenye mkutano wa matajiri.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Acheni woga jamani, si mnaweza!&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112080550443870999?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112080550443870999/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112080550443870999' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112080550443870999'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112080550443870999'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/al-qaeda-wahuni-hamna-akili.html' title='al-Qaeda wahuni, hamna akili'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112072475244015706</id><published>2005-07-07T11:18:00.000+03:00</published><updated>2005-07-07T11:25:52.443+03:00</updated><title type='text'>Wananchi kaeni mkao wa kula</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Wananchi wangu, mlioko ndani ya Tanzania na hata nje ya mipaka ya nchi yetu nzuri inayovuja maziwa na asali, lakini vimiminika hivyo vitamu vikifaidisha wachache kutokana na uroho wao na ubinafsi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Inaeleweka kwamba wabunge wetu, kila mmoja wao amevuta zaidi ya sh. milioni 30 ikiwa ni kiinua mgongo chake.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Ili angalau na wewe mwananchi ufaidi kiasi kidogo cha fedha hizo, basi usikubali kabisa kuziacha zote zikiishia mifukoni kwa waheshimiwa hao, kaa tayari kuzitafuna ingawa kidogo, kwani kipindi cha kuanza kutumika kwa fedha hizo kwako ndiyo kimewadia.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nani asiyejua kuwa wabunge wamekuwa wakitenga sehemu ya fedha hizo kununua kura yako? Usikubali kabisa sasa kupewa upande wa khanga, sukari robo kilo na chumvi. Zamani imepita.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Akija kwa rushwa, basi nawe kamata...na chagua mtu unayeona anafaa kuongoza na kuleta maendeleo.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Ukweli unabaki pale pale kwamba wabunge wengi wanatumia rushwa kupata nafasi hizo, wao wameibatiza ruswa hiyo kwa jina la takrima kwa maana ya ukarimu wa Waafrika, lakini ukweli ni kwamba ni rushwa tu hiyo.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Rushwa ni mbaya sana, lakini kama imehalalishwa na wenyewe unafanya nini, kula na anza mbele.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nawatakia wananchi wangu rushwa njema.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112072475244015706?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112072475244015706/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112072475244015706' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112072475244015706'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112072475244015706'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/wananchi-kaeni-mkao-wa-kula.html' title='Wananchi kaeni mkao wa kula'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112072423697391191</id><published>2005-07-07T11:13:00.000+03:00</published><updated>2005-07-07T11:17:16.986+03:00</updated><title type='text'>Rushwa tunaitetea, haitaisha</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;WATANZANIA ni watu wa ajabu. Ni watu wasioeleweka. Ni binadamu ambao hawawezi kusema wanachokiamini na badala yake husema wasichokiamini.&lt;br /&gt;Haihitaji shahada ya juu ya elimu ya utambuzi wa tabia za watu kuweza kung'amua hilo pindi unapopata nafasi ya kuongea nao; iwe viongozi wa vyama vya siasa, watendaji wakuu wa serikali, wafanyabiashara na watu wengine wa kada mbalimbali.&lt;br /&gt;Ni kutokana na hali hiyo, maovu mengi katika jamii yetu yameshindwa kutokomeza kwa kuwa unafiki umejaa katika fikra za watu bila kujali vyeo, umri na hata jinsia zao. Kila mmoja anajitahidi kumpiku mwenzake kwa rushwa na aina nyingine ya wizi unaofanana na huo.&lt;br /&gt;Idadi kubwa ya Watanzania watasikika wakipiga vita rushwa, tena wengine wakisimama hata kwenye masinagogi, kwenye mikutano ya hadhara au wakizungumza na waandishi wa habari. Wanapozungumza hayo, mate yanawatoka kama mvua za rasharasha wakitoa maneno makali ya kukemea uonvu huo.&lt;br /&gt;Kumbe ukweli ni kwamba wote hao ni waongo, wanachoamini sicho wanachokieleza mbele ya umati mkubwa wa watu.&lt;br /&gt;Wengi wanashabikia rushwa kwa njia moja au nyingine. Ushahidi wa haya ninayoelaza upo wa kutosha na kwamba ni mtazamo ambao una mwangwi wa Watanznaia wachache waaminifu.&lt;br /&gt;Hao wenye kupayuka wakilaani rushwa na uchafu mwingine unaodumaza haki, usawa na maendeleo, ndiyo wenye kuibuka na maneno yasiyofaa kama- kila mtu hula mezani kwake, chukua chako mapema na mengine yanayotia kichefuchefu.&lt;br /&gt;Bila aibu, msemo wa -'kila mtu anakula mezani kwake'- hauna maana nyingine bali ni kuchochea rushwa. Inaeleweka kwamba kila mfanyakazi hulipwa ujira wake kulingana na makubaliano na mwajiri wake, sasa msemo huo unatoka wapi na una haja gani ya kushabikiwa?&lt;br /&gt;Idadi kubwa ya watu wenye nafasi ya kuwatumikia wananchi katika ofisi za serikali, mashirika, vyama vya siasa, vyama visivyokuwa vya serikali na hata katika sekta binafsi, mawazo yao yamejaa namna ya kula rushwa.&lt;br /&gt;Na msukumo wa mawazo hayo unachochewa na jamii inayowazunguka watumishi hao. Jamii pana hivi sasa imekuwa ya hovyo, ikishabikia wezi, wala rushwa na majangili.&lt;br /&gt;Vijana wanapopata kazi na kuwa waaminifu kazini kwao, jamii huanza kuwajaza ujinga kwamba wanatakiwa kula rushwa ili waendelee na kuwa na maisha mazuri yanayoonekana mema.&lt;br /&gt;Jamii imekuwa ikipiga saluti kwa wezi ambao wanaonekana wakiishi katika nyumba mithili ya mahekalu au wakiendesha magari ya kifahari wanayoyapata kwa rushwa ama uongo mwingine wanaoubatiza kuwa mtakatifu.&lt;br /&gt;Kwa kuwa sasa rushwa ndiyo mtindo katika maeneo mengi, asiyekula rushwa anaonekana mshamba na anayekula 'chakula' hicho anaonekana mtakatifu na mtu mwenye akili.&lt;br /&gt;Enzi zilizokuwa zikiongozwa na Hayati Mwalimu Nyerere waliokuwa wasafi, kwa maana ya kutokula rushwa ndiyo walikuwa wenye sifa kubwa machoni pa jamii na walionekana kufaa kuwatumikia wananchi. Kipindi hicho rushwa iliogopwa na haikutamanika kama ilivyo kinyume chake leo.&lt;br /&gt;Hao waliokuwa watumishi waaminifu wakati huo, leo jamii inawacheka kwamba hawakuwa na akili, kwamba walikuwa wajinga kwa kushindwa kujijenga kwa kutumia nafasi zao.&lt;br /&gt;Katika hali ya sasa, anayehongwa na kujenga nyumba ama kuwa na magari ya kifahari, ndiye anashabikiwa na kila mtu, akionekana ana nguvu za ziada za akili ya kutafuta pesa na anayejua kuzitumia.&lt;br /&gt;Sasa mtu anaposifiwa kwa rushwa, ni lini atathubutu kuacha mchezo huo mchafu? Mla rushwa ni kama mtoto mdogo, akisifiwa, basi ataona fahari kurejea yale anayoyafanya kwa kusifiwa.&lt;br /&gt;Lakini, anapokemewa hawezi kuendelea kutenda ambayo yanawachukiza wazazi wake, walezi au hata jamii inayomzunguka. Mla rushwa naye anapokemewa na jamii inayomzunguka bila kusubiri polisi ama nguvu za serikali pekee, lazima ataona aibu.&lt;br /&gt;Jamii inaweza kumkemea mla rushwa, kwa kuacha kumshabikia kwa ukwasi alionao, huku yenyewe ikiendedelea kulala njaa ama kukumbwa na magonjwa yanayoweza. Jamii inasahau kwamba umasikini uliopo unachangiwa pia na tabia chafu za kula rushwa na kutokuwajibika kwa watumishi.&lt;br /&gt;Kitu cha ajabu zaidi ni kwamba, baada ya kuwa mla rushwa anashabikiwa na jamii, ni jamii hiyo hiyo inayozunguka huko na huku ikilalama kutapakaa kwa rushwa kana kwamba haiwajui wala rushwa.&lt;br /&gt;Kuwashabikia wala rushwa kwa mlango wa mbele na kuwalaani kwa mlango wa nyuma, ndiyo kunawafanya wahusika kuvimba vichwa na kuona kwamba rushwa ni haali yao na wanapaswa kuendelea nayo hadi wanapostaafu ama kukamatwa na vyombo vya serikali.&lt;br /&gt;Ni vyema basi, jamii ikaacha kushabikia wala rushwa, kwa maana ya kuacha kutoa rushwa ili iwe njia rahisi ya kutokomeza wizi huo na tabia za kishetani zinazofanywa na baadhi ya watu.&lt;br /&gt;Inawezekana kabisa kutokomeza rushwa kwa kushirikiana na jukumu hilo lisiachwe mikononi mwa Taasisi ya Kuzuia Rushwa pekee na polisi.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt; &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112072423697391191?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112072423697391191/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112072423697391191' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112072423697391191'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112072423697391191'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/rushwa-tunaitetea-haitaisha.html' title='Rushwa tunaitetea, haitaisha'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112055142213413703</id><published>2005-07-05T11:05:00.000+03:00</published><updated>2005-07-05T11:17:02.143+03:00</updated><title type='text'>Bunge sasa ni mlo tuuuu, mwananchi wa nini?</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nimeamini, kwamba ni kweli.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Huwezi kuamini kwamba sasa wabunge wanajiandaa kumwaga manyanga ya nafasi zao walizozitumikia kwa miaka mitano tu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Wanabwaga manyanga, wakikenua na kutufanya tuone hata maggo yao tusiyahitaji. Kwanza ni machafu, kwa kuwa wengi wao hawana utamaduni wa kusafisha meno yao. Yamejaa mabaki ya nyama choma na hata bia nadhani!&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Tangu jana, wanajazana kwenye madirisha ya kulipana kiinua mgongo chao. Kila mmoja anaondoka na milioni 30.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Du! Ni fedha nyingi mno, ambazo wanazipata bila ya kufanya kazi, nani kasema wana kazi kule, mbona tunawaona wakiwa wamesinzia tu na wengine kuonekana baa tangu asubuhi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kweli ubunge raha, yaani hata kabla ya Bunge kuvunja, tayari wao wamekunja milioni 30, Watanzania wengine wanaostaafu hufariki hata kabla ya kuona senti za mafao yao wanayoweza kuyasumbukia hata kwa miaka sita baada ya kuondoka kazini.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kwa hali hiyo washindwe kunenepa kweli, basi labda wawe wagonjwa, lakini kama ni wazima kunenepa ni lazima na ndiyo maana wanapambana na magonjwa ya unene, mafuta mengi na maisha mazurikama yanavyoweza kutafsiriwa kwa Watanzania yaani kula minyama, kunywa mipombe kibao na kula kula kusikokuwa na mpangilio.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Jamani nani atakataa ubunge kama hali yenyewe ndiyo hiyo.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Wanaokataa ujue wamechuma mno, wamekaa mno na wamekula sana fedha zetu za walipa kodi wanaokufa kwa magonjwa yanaweza kutibika, kufa kwa njaa na wengine kufa kutokana na ujinga unaoendelea kutawala miaka nenda miaka rudi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;rafiki yangu, mlokole baada ya kusikia kwamba wabunge wanafaidi, anaeleza kuwa anaona kwamba wanafanya wizi na nia yae ya kwenda jimboni ameiacha akisema hataki kupata dhambi ya wizi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kweli wabunge wanafaidi, ingawa wanapaswa kuona haya na kurudisha sh. milioni 24, wachukue nne tu. Hapo nitawaelewa.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Iweje wao wapate fedha za kutosha kabisa kujenga shule, hospitali na kununua dawa ambazo zitasaidia idadi kubwa ya Watanzania masikini?&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mie simo, lakini nimeona bora niseme haya ili, labda watakaoona watajipanga upya na wabunge wajao watakataa kuwaibia wenzao kiasi kikubwa cha fedha zao.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nimemaliza.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112055142213413703?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112055142213413703/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112055142213413703' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112055142213413703'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112055142213413703'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/bunge-sasa-ni-mlo-tuuuu-mwananchi-wa.html' title='Bunge sasa ni mlo tuuuu, mwananchi wa nini?'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112045379903514490</id><published>2005-07-04T08:07:00.000+03:00</published><updated>2005-07-05T11:18:41.640+03:00</updated><title type='text'>Wauza akili TZ sasa walipwe vyema</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Waziri wa Fedha Basil Pesambili Mramba alisoma bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2005/2006 mbele ya Wabunge na Watanzania kwa ujumla na kupokea maoni tofauti. Wapo walioipongeza na wengine kuiponda.&lt;br /&gt;Ni matarajio ya Watanzania kwamba bajeti hiyo itakuwa na ahueni kubwa kwa wananchi moja kwa moja, badala ya kuonekana kupendeza zaidi katika makabrasha.&lt;br /&gt;Nasema hivyo kwa kuwa taarifa zinaonyesha kwamba licha ya kuwepo kwa ongezeko kubwa la makusanyo ya kodi na ushuru wa serikali, hali za wananchi wengi zimeendelea kuwa mbaya.&lt;br /&gt;Hali hiyo, ilitokana na ukweli kwamba baadhi ya sekta zilikuwa na kipaumbele zaidi ya nyingine na kwa hivyo, kushindwa kuonekana wazi kwa uzuri wa makusanyo hayo makubwa yanayopatikana kila mwezi.&lt;br /&gt;Hali hiyo imeweza kuthibitishwa na Mramba mwenyewe na Katibu Mkuu wa Hazina, Peniel Lyimo kwamba katika bajeti iliyopita baadhi ya maeneo yalipewa kipaumbele zaidi na mengine kusuasua katika upatikanaji wa fedha zilizokuwa zikihitajika.&lt;br /&gt;Sipendi kueleza kwamba nailaumu Wizara ya Fedha au serikali kwa aina ya ‘ubaguzi’ wa aina hiyo, pengine huenda umesaidia mno kuimarisha sekta hizo ambazo ni miundombinu-hasa barabara na madaraja, elimu, maji (ingawa bado juhudi zinahitajika mno), ukimwi na utawala bora.&lt;br /&gt;Hakuna siri kwamba Tanzania sasa ni nchi ya kupigiwa mfano katika sekta hizo kutokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana katika uongozi wa Rais Benjamin William Mkapa.&lt;br /&gt;Naungana na Lyimo kwamba huenda haikuwa sahihi kuwepo kwa ubaguzi wa aina hiyo, kwa kuwa mikakati ya kutokomeza umasikini haichagui sekta, isipokuwa inatakiwa kuwepo kwa usawa katika vita hivyo kwa kila sekta.&lt;br /&gt;Watanzania wana imani kwamba bajeti ya mwaka ujao wa fedha ambayo itakuwa sh. Bilioni 4.2, itakuwa imefungua milango kwa nuru ya mkakati dhahiri wa kuutokomeza umasikini nchini.&lt;br /&gt;Tunaelezwa kuwa katika fedha hizo, zaidi ya sh. Bilioni 1.5 zitaelekezwa moja kwa moja katika mikakati hiyo ya kuwaondolea wananchi umasikini mkubwa ambao unawakabili kila kukicha licha ya kujituma na hata kujishughulisha katika kazi zao za kila siku.&lt;br /&gt;Ninasema wanashindwa kuondoa umasikini licha ya kujituma katika shughuli zao kutokana na sababu mbalimbali ambazo zikipatiwa ufumbuzi, kwa kusaidiwa kwa kiwango kikubwa na nguvu ya serikali, umasikini unaweza kabisa kuwakimbia wananchi kila unapowaona.&lt;br /&gt;Pamoja na ahueni inayotarajiwa kutokana na bajeti hiyo, haina maana kwamba kila mwananchi, hata asiyefanya kazi atafaidika na bajeti hiyo, bali ni kwamba serikali itajenga mazingira mazuri zaidi ya kufanyika kwa shughuli kwa uwazi, bila kubughudhiwa na hata kuonewa na baadhi ya watendaji wa taasisi, kama vile za halmashauri za miji na wilaya.&lt;br /&gt;Inawezekana kabisa, kama inavyoelezwa katika taarifa za awali za bajeti hiyo, kwamba fedha nyingi zitaongezwa katika sekta zilizopewa kipaumbele awali na sekta zingine kupewa uhakika wa kupata fedha kwa shughuli hizo hizo za kuutokomeza umasikini.&lt;br /&gt;Katika kuhakikisha kwamba hakuna urasimu katika mapambano hayo dhidi ya umasikini, bajeti hiyo inaelekeza kwamba baadhi ya fedha ambazo zimetengwa zitawafikia wananchi wengi moja kwa moja katika maeneo ya vijijini waliko.&lt;br /&gt;Ni kwa njia hiyo, ni imani kwamba wahusika - wananchi wengi wataona namna fedha hizo zinavyotumika baada ya kuwa wameamua watoe kipaumbele kwa sekta gani katika matumizi ya fedha hizo, iwe katika mikopo, elimu, afya na hata miundombinu.&lt;br /&gt;Pamoja na kupongeza ongezeko la bajeti hiyo na kuwepo kwa mikakati ya wazi ya kupambana na umasikini, ninashawishika kueleza kwamba ni vyema sasa kada za watu ambao wanauza akili zifikiriwe zaidi kuongezwa mishahara na marupurupu mengine.&lt;br /&gt;Ieleweke kuwa kada zinazouza akili ndizo zenye nguzo na mihimili ya kuhakikisha kwamba ushindi unapatikana dhidi ya adui umasikini ambaye ameendelea kuwepo katika nchi yetu licha ya juhudi za kupambana naye ambazo ni warsha, semina, makongamanona mikutano kuzingatiwa sana.&lt;br /&gt;Kada hizo zenye kuuza akili zinaongozwa na walimu. Hawa ndiyo dira sahihi yenye kuonyesha iwapo ushindi utapatikana kwa haraka zaidi au utakuwa wa kusuasua.&lt;br /&gt;Ni walimu (waliofunzwa vyema vyuoni) ambao wanauza akili zao kuwezesha watoto kuwa na silaha zenye sumu za kumtokomeza adui mkubwa umasikini. Ikiwa jamii itakamata vyema silaha hiyo, ushindi dhidi ya umasikini ni dhahiri kabisa katika kipindi kifupi kijacho.&lt;br /&gt;Katika mapambano na adui huyo, ni vyema walimu wakawezeshwa kwa kiasi kikubwa katika bajeti hiyo ijayo, ambapo watakuwa na uhakika wa kupata mishahara minono na marupurupu ya kuvutia.&lt;br /&gt;Watakapopata malipo yanayowavutia, biashara zao za maandazi ama pipi, ukwaju au maji baridi na barafu zitakoma na kwamba watakuwa ‘wakijichimbia’ kusoma ili waweze kuwafundisha vyema vijana wetu ambao ndiyo hasa wenye mwelekeo wa kubeba silaha hizo kwa ajili ya neema na mustakabali wa nchi hii.&lt;br /&gt;Mbali na walimu hao wa sekondari na elimu ya msingi, pia walimu wa vyuo vya elimu ya juu wakiwemo wale wa vyuo vikuu wataachana na ufugaji wa ‘kitimoto’, kuku na hata bata na kupoteza muda wao mwingi wakiwaza namna ya kuwatibu wanyama hao na jinsi ya kuwafanya wawe na uzito unaotosha kuwaletea faida kubwa. Watatumia muda wao kuandaa namna ya kutoa elimu yenye kubeba changamoto ya kuutokomeza umasikini.&lt;br /&gt;Ikiwa walimu hao watawezeshwa kwa kiasi kikubwa, ushindi dhidi ya umasikini unaweza kuwa rahisi mno na kwamba mikakati inayopangwa itakuwa ya vitendo zaidi na kuachana na nadharia zinazopatikana kwenye makongamano na warsha zinazohalalisha zaidi kutumika kwa kiasi kikubwa cha fedha hizo hizo za kuutokomeza umasikini.&lt;br /&gt;Ni matarajio ya KONA YANGU kwamba Mramba na timu yake hawatasahau kada ya watu wanaouza akili, wakiwemo waandishi wa habari makini, madaktari na watendaji wengine kwa neema ya nchi hii.&lt;br /&gt;Inawezekana kuwawezesha. Tutende.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112045379903514490?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112045379903514490/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112045379903514490' title='24 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112045379903514490'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112045379903514490'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/wauza-akili-tz-sasa-walipwe-vyema.html' title='Wauza akili TZ sasa walipwe vyema'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>24</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-112045360700909632</id><published>2005-07-04T08:00:00.000+03:00</published><updated>2005-07-05T11:20:22.313+03:00</updated><title type='text'>Jamani nilitekwa!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nimepokea mengi kutoka kwa wasomaji wangu. Wanaojua namba yangu na aina nyingine ya mawasiliano, walinipata na kunilaumu kwa kupotea kwangu.&lt;br /&gt;Jamani, napenda kuwaeleza kwamba nilitekwa. Ingawa haikuandikwa, lakini nilitekwa na maharamia wenye uchu wa maisha ya wengine.&lt;br /&gt;Huwezi kuamini kwamba hata waandishi wetu, hawakung'amua kutekwa kwangu. Sijui hawa wanafanya kazi gani.&lt;br /&gt;Walioniteka waliniachia kwa sharti la kutowataja, kwani kinyume cha hivyo watarejea na safari hii wakiwa wakali kidogo.&lt;br /&gt;Walioniteka walifanya hivyo, eti wakitaka kuninyamazisha, nami nawaeleza kwamba sitakaa kimya, nitasema tu hadi niingie kaburini.&lt;br /&gt;Sasa nanipanga upya, nikitoka imetoka hiyo.&lt;br /&gt;Tuko pamoja.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-112045360700909632?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/112045360700909632/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=112045360700909632' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112045360700909632'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/112045360700909632'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/07/jamani-nilitekwa.html' title='Jamani nilitekwa!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111642873608250583</id><published>2005-05-18T18:03:00.000+03:00</published><updated>2005-07-05T11:22:17.650+03:00</updated><title type='text'>Dini yangu mpya, nani ana kifua kujiunga?</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kila binadamu mwenye akili timamu ana taratibu zake za kuomba msaada kutoka kwenye nguvu anazoamini kuwa zinamsaidia kwa njia fulani katika kutatua matatizo yake moja kwa moja ama kupitia njia zingine.&lt;br /&gt;Nimekuwa nikifikiri mara nyingi, namna ninavyoweza kuanzisha dini yangu ambayo itakuwa na kazi moja tu. Kazi yenyewe ni kazi kweli kweli inayohitaji wafuasi kuwa waungwana kweli na wenye moyo.&lt;br /&gt;Ninataka wafuasi ambao watakuwa na kifua cha kuhimili sala zangu na taratibu za dini yangu ambayo, sijaamua masharti yawe namna gani kwa watakaohitaji kunifuata kama mchungaji wao na msimamizi mkuu katika maisha yao.&lt;br /&gt;Uhakika ni kwamba nitapata tu wafuasi. Kwani hao wanaoanzisha na kupata wafuasi wana nini na mimi nishindwe ninakosa kitu gani. Nitaweza tu bwana. Najua matatizo ya watu wetu, najua wanataka nini, najua wanakosa nini na nini cha kufanya waishi maisha bora zaidi.&lt;br /&gt;Awali nimesema nahitaji wafuasi wenye moyo kweli, kwa kuwa watatakiwa kujitoa kwa kila hali na kukubali kuyakabili maisha magumu ya awali kwa kuwa huenda wakakataliwa na jamii kubwa, na hata kutengwa.&lt;br /&gt;Wenye kifua cha ‘zege’ na watakaovumilia hadi mwisho ndio watakaookoka na hatimaye kuiona nuru yenye neema kuu kwa ajili ya uhai wao na uhai wa watakaowafuata baadaye, miaka mingi itakayofuata.&lt;br /&gt;Mhimili wa mafundisho yangu utakuwa katika sala kuu ambayo ndiyo sheria kuu: amri kuu kwa dini na lazima kwa wote waielewe, kuifahamu na si kuikariri huku wakiitekeleza kwa vitendo.&lt;br /&gt;Sitakubali kuwa na wafuasi wanafiki ambao wanadhani kucheka tu, kukenua meno yao na kunifuata ndiyo nitaamini kuwa ni waumini wa kweli wa dini nitakayoianzisha ambayo itakuwa na sala kuu.&lt;br /&gt;Kwa kuwa najua kuwa wafuasi wengi watakuwa wametenda dhambi nyingi, nitakubali kuanza na sala ya toba ambayo anayeitamka anatakiwa aonekane anasema kutoka moyoni, huku nafsi yake ikimtambulisha kweli anayozungumza ni yanayopita juu ya ulimi wake.&lt;br /&gt;Mzee tumechukua rushwa kiasi cha kutosha, tukajenga mahekalu, tukanunua magari ya kifahari, tukalipia ada kubwa watoto wetu katika shule za Ulaya na Marekani na kidogo tukatunza katika hazina za nchi hizo.&lt;br /&gt;Sasa tumegundua kuwa kuiba, kutajirika zaidi kwa njia za rushwa hakusaidii kuongeza maisha, zaidi ya kuonekana mwenye mwili ulionona na mashavu yaliyojaa nyama. Kumbe yote hiyo ni ubatili mtupu, hukumu yetu ni kifo na kwamba siku zetu zimehesabiwa. Hatuwezi hata kuishi miaka 200, tukaona mbingu mpya na watu wapya.&lt;br /&gt;Ni kwa rushwa hizo hizo, tumepata magonjwa ya ajabu mno, magonjwa yasiyotibika na sasa, raha zilizokuwa zimetuzunguka – zinayeyuka kwa haraka mno, hata waliokuwa wakitushabikia na kutuita wafalme au wajanja hawatuoni tena, wanatukimbia.&lt;br /&gt;Tumetoa misaada mingi kwa wagonjwa na wenye shida kwa fedha zinazonuka, fedha ambazo tulizipokea kwa mikono yetu iliyojaa damu. Fedha ambazo nao walizipokea bila kujua tumezitoa wapi.&lt;br /&gt;Wapo pia waliobweteka hata kufanya kazi kwa kuwa walikuwa na uhakika wa kupata fedha hizo nyingi, kwamba tuliwatelekeza wake na na watoto wetu na hata mama na baba zetu.&lt;br /&gt;Tumekuwa tukitoa mimba na kuua viumbe visivyokuwa na hatia kwa tamaa ya fedha na hata malipo mengine ambayo ni haramu na yenye uzito sawa wa dhambi kama kuua.&lt;br /&gt;Pia tumekuwa tukitetea wanaotoa mimba na kuwaona kwamba wanatekeleza ahadi za uhuru wao kamili na uchaguzi. Kwamba wanaotoa mimba wana uamuzi wa kufanya wanavyopenda, kwani waliamua kuwapata wao na wanaamua kuwatoa watoto kwa matakwa yao.&lt;br /&gt;Kwamba tuliamua kuwaacha watoto wajiendee kama vifaranga pasipokuwa na usimamizi na kusema kuwa wanao nao wana uhuru wa kuamua mambo yao bila kuingiliwa wala kukanywa kila wanapokwenda hovyo.&lt;br /&gt;Tumedanganya idadi kubwa ya watu na kutumia vibaya madaraka yetu kwa manufaa yetu wenyewe, wake zetu na shangazi zetu na kuueleza umma kwamba hiyo ndiyo siasa ambayo inatakiwa katika mazingira ya nchi zetu masikini kama hizi.&lt;br /&gt;Kwamba tumetumia madaraka, fedha na nguvu zetu za kijeshi kuwavamia wengine na kuhadaa ulimwengu kwamba tunatenda haki kwa kuwa viongozi wa nchi hizo ni wakorofi na kuwa hawafuati ustaarabu wetu.&lt;br /&gt;Kwamba tumevuruga dunia kwa picha mbaya za ngono na matusi yasiyotamkika kwa watu wastaarabu na kuita tabia hiyo kuwa ni uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa kujieleza na kuonyesha chochote bila kuingiliwa na yeyote.&lt;br /&gt;Kwamba tumekuwa tukijifanya siye ndiyo watu wa Mungu Mkuu kwa kuwa tu tumeacha kunywa pombe, kuchukua wake za watu, kumbe tulikuwa wezi, wanyang’anyi, wakabaji na wanafiki wa kutupwa.&lt;br /&gt;Tumekuwa tukitoa michango mikubwa kwenye misiba na kanisani kwa kuitangaza kwenye mimbari ili tuonekane na tusifiwe kwamba siye ndio wenye huruma, kumbe moyoni tulikuwa tukiumia, ni sifa tu zilizokuwa zikituponza na zaidi sana fedha zenyewe za wizi na rushwa iliyojaa damu.&lt;br /&gt;Tumewadanganya wakulima namna ya kupanda mbegu bora na jinsi ya kulima ili wapate mazao mengi, hali iliyosababisha wao kukumbwa na njaa na wengine kufa kutokana na uongo wetu huo mkuu.&lt;br /&gt;Kwamba tuliwadanganya wanafunzi madarasani na hata wakashindwa mitihani huku tukiendelea kupata mishahara yetu ya kila mwezi, na zaidi sana kupokea fedha kutoka kwa wanafunzi hao kwa jina la ‘tuition’, kitu mbacho si kizuri kwani tunalipwa na waajiri wetu, ingawa kidogo.&lt;br /&gt;Yoote hayo tuliyafanya kwa kuupendezesha ulimwengu na watu wake, kumbe tulikuwa tukikuudhi mno na kukukasirisha kwa matendo hayo mabaya na machafu machoni pako na kwa malaika wako.&lt;br /&gt;Dhambi zetu za kisasa ni nyingi mno na sasa tumeamua kuziacha. Ikiwezekana kwa yanayowezekana kurejeshwa na kutubu tutafanya hivyo, ambapo tukishindwa, basi tutaomba wahusika watusamehe, ingawa tutalazimika kuwaeleza tuliyoyafanya kwao.&lt;br /&gt;Tunaomba haya kwako na tukitaraji msamaha wa kudumu na wa kweli ikiwa hatutarejea katika chembe ya dhambi.&lt;br /&gt;Haya sala ni hiyo. Mwenye kifua na aje tuongeze ukubwa wa dini mpya&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111642873608250583?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111642873608250583/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111642873608250583' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111642873608250583'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111642873608250583'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/05/dini-yangu-mpya-nani-ana-kifua.html' title='Dini yangu mpya, nani ana kifua kujiunga?'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111639588513443868</id><published>2005-05-18T08:53:00.000+03:00</published><updated>2005-05-18T08:58:05.140+03:00</updated><title type='text'>Sumaye asema yeye na Kikwete damu damu</title><content type='html'>Sumaye jana amewaita waandishi wa habari chap chap kwa lengo kumaliza minong'ono kwa,mba alikasirika sana baada ya Kikwete kuwa amechaguliwa kugombea urais na yeye kuachwa.&lt;br /&gt;Akiwa ofisini kwake, kule jirani na baharini aliwaambia kuwa maneno kwamba anamchukia Kikwete ni ya uongo na kwamba hayana maana yoyote, kwamba yana lengo la kuwavurgia uhusiano wao wa siku nyingi.&lt;br /&gt;Baadaye&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111639588513443868?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111639588513443868/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111639588513443868' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111639588513443868'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111639588513443868'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/05/sumaye-asema-yeye-na-kikwete-damu-damu.html' title='Sumaye asema yeye na Kikwete damu damu'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111634343709340371</id><published>2005-05-17T18:20:00.000+03:00</published><updated>2005-05-17T18:23:57.093+03:00</updated><title type='text'>Blogs kibao za Kiswahili</title><content type='html'>Ndugu zangu,&lt;br /&gt;niko njiani kubadili sura ya blog yangu ili iweze kuwa rahisi zaidi kuisoma na kuonekana.&lt;br /&gt;Pia ninafanya hivyo kuwepo kwa urahisi wa viunganishi pamoja na maendeleo mengine makubwa ya teknolojia hii ya mawasiliano huru.&lt;br /&gt;Viunganishi vingi vitakuwa vikionyesha blogs kibao, hasa zinazotangaza Kiswahili na lugha zingine za makabila ya Tanzania, itaogopa kuonekana kwamba nataka kuendeleza ukabila kwa kufanya hivyo.&lt;br /&gt;Karibuni na tuungane mkono wana blog.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111634343709340371?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111634343709340371/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111634343709340371' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111634343709340371'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111634343709340371'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/05/blogs-kibao-za-kiswahili.html' title='Blogs kibao za Kiswahili'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111634300751747259</id><published>2005-05-17T18:07:00.000+03:00</published><updated>2005-07-05T11:23:42.206+03:00</updated><title type='text'>Mihogo inaashiria hali mbaya, tusidanganyane</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Jamani,&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nimekuwa nikijifikiria mara zote, hivi kwanini kasi ya kuwepo kwa mihogo jijini Dar es Salaam inakuwa kubwa sambamba na ongezeko la vijana wanaotoka vijijini?&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kila kona sasa ukipita unakutana na vijana wakisukuma matolori wakiuza mihogo, tofauti na zamani ambapo mhitaji alitakiwa kwenda sokoni tu kupata bidhaa hiyo. Sasa ni kila kwenye kiambaza, kila mlango wa kuingia ofisi kubwa na hata kwenye maeneo ya maduka makubwa katikati ya jiiji.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Mihogo ninayoizungumzia hapa ni mibichi, michanga ambayo haijakomaa vyema (najua kuwepo kwa kihogo inayoonekana kuwa michanga siku zote kutokana na mazingira na hali ya hewa huska).&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kwangu mimi kuwepo kwa idadi kubwa ya wanaouza mihogo, hakuna maana kwamba hamu ya kutafuna mihogo imeongezeka, la hasha. Ni shida tu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Ni shida kwa kuwa nimeshuhudia mwenyewe kwamba watu wanatafuna mihogo hiyo na baadaye kunywa maji ya bomba yasiyochemshwa ili kushibisha matumbo yao basi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Baada ya kula na kunywa maji, mchana unakuwa umetoka! Hakuna tena siui kusubiri ugali au chips. Nani atazikamata hizo chips kwa bei yake..Ni kina dada tu wanaofanya kazi zenye mishahara mikubwa. Chipsdume zimepanda bei hadi sh. 400 kwa vipunje kadhaa. Sasa nani ataweza gharama hiyo kubwa.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Najua kwakiwango hicho cha sh. 400, mhusika anaweza kula vipande vya mihogo vya sh. 150 na sh. 50 akashusia maji, kwa maana hiyo atakuwa ametumia sh. 200 na kiwango kama hicho kinachobaki kinakuwa cha kesho.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;hayo ndiyo maisha ya vijana wengi jijini Dar es Salaam.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Wao wanasema kuwa tutabanana hapa hapa na kuwa shibe haina bei.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Tafakarini. Tujadiliane kwa hoja juu ya hili&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111634300751747259?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111634300751747259/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111634300751747259' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111634300751747259'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111634300751747259'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/05/mihogo-inaashiria-hali-mbaya.html' title='Mihogo inaashiria hali mbaya, tusidanganyane'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111582910389323124</id><published>2005-05-11T19:24:00.000+03:00</published><updated>2005-05-11T19:31:43.900+03:00</updated><title type='text'>Kasi ya ahadi zako Kikwete inatisha</title><content type='html'>Jamani, hapa Bongo mambo yaenda yakiongezeka, kila kukicha, wakati Kikwete anapotambulishwa kwa Watanzania, kana kwamba hawamjui kwamba ni kiongozi wao, amekuwa anatoa ahadi.&lt;br /&gt;Sina ugomvi na utoaji wa ahadi za kiongozi huyo wa kitaifa ambaye amechaguliwa na CCM kuwa mgombea wake kwa kiti cha urais kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu.&lt;br /&gt;Kila anapokutana na wananchi, Kikwete amekuwa akiwaelea kwamba atawapatia vijana ajira na kwamba sasa wasiwe na wasiwasi na maisha yao, yatakuwa poa kishenzi. Yaani baada ya kuapishwa kwake, basi itakuwa kuku kwa mrija, soda kwa uma na kila aina ya raha.&lt;br /&gt;Basi bwana, vijana wanaposikia hivyo, si furaha hizo, wenye vijisenti vyao baada ya kuuza tai moja au jozi moja ya viatu, basi wanaishia baa na kunywa...kunywa ...au kwa wale wenzangu ni kwenye gongo.&lt;br /&gt;Nasikia alipofika Zanzibar na kuwaeleza ahadi zake, Kikwete alisema kuwa hakuna noma kabisa, nafasi za kazi ni bwerereeee... jamaa zangu nasikia wakaishia kwa kiongozi mmoja ambaye kwake anauza gongo kama maji ya miwa na pweza.&lt;br /&gt;Acha vijana wanywe...wakanywa na hata wawili wakapigana na kutoana meno. Makubwa haya.&lt;br /&gt;Tatizo langu na Kamanda wangu kikwete (yeye ni Kanali na mimi ni Serviceman)ni kuwapa matumaini hayo, ambayo kwa kweli hivi sasa ni tatizo la dunia nzima, siyo kwa nchi masikini pekee, bali hata kwa matajiri. hakuna kazi.&lt;br /&gt;Sasa tusubiri tuone hizo nafasi za ajira ambazo kila kijana ana uhakika wa kupata awe amesoma au hajasoma.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111582910389323124?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111582910389323124/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111582910389323124' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111582910389323124'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111582910389323124'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/05/kasi-ya-ahadi-zako-kikwete-inatisha.html' title='Kasi ya ahadi zako Kikwete inatisha'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111528841455193780</id><published>2005-05-05T13:16:00.000+03:00</published><updated>2005-05-05T13:20:14.556+03:00</updated><title type='text'>Masharti ya kazi yako Kikwete haya hapa</title><content type='html'>Shikamoo,&lt;br /&gt;NATUMAI kwamba sasa umeshusha pumzi baada kuchaguliwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuwa mrithi wa mpendwa wetu, Rais Benjamin Mkapa baadaye mwaka huu.&lt;br /&gt;Najua kuwa ulijawa na wasiwasi, kukosa usingizi na hata kutishiwa na mvi za haraka, ukipanga na kupangua namna ya kupata ushindi ili uweze kushirikiana na Watanzania kuhakikisha kwamba neema kuu inapatikana kwa wananchi wote.&lt;br /&gt;Mchakato wa safari ndefu ya kuomba kuteuliwa ulianzia Dodoma wakati ukichukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama ili ukiwakilishe katika uchaguzi mkuu kwa nafasi ya Urais.&lt;br /&gt;Kazi kubwa ya kusaka wadhamini uliendelea nayo kwa siku zaidi ya 21 ambapo ulizunguka mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani na hatimaye uliwasili Dodoma kuzirejesha fomu kama taratibu zilivyokuwa zikihitaji.&lt;br /&gt;Baada ya kurejesha fomu, ulisubiri vikao vya Chama vilivyoanza mapema wiki hii na hatimaye jana umepata ridhaa ya wanachama  na hivyo kupata fursa ya kwenda mbele ya Watanzania wote, wakiwa waajiri, ukiomba kupatiwa kazi nambari wani nchini.&lt;br /&gt;Ni matumaini ya Watanzania wote kwamba kazi hiyo, utaipata kwani umeonyesha kuwa na sifa zinazotakiwa na waajiri, ili uweze kutimiza matumaini makubwa waliyonayo kwa kazi nzito utakayoibeba kwa kutumia busara, mawazo ya wengi na Katiba ya nchi ambayo ni mama wa maamuzi yote ya maana.&lt;br /&gt;Watanzania wana imani kubwa nawe, ndiyo maana kwa kuanzia wana-CCM ambao, kwa hakika, wana uwakilishi mzuri kwa mtazamo wa jamii nzima, kwamba utakuwa pambazuko jipya la ustawi wa maisha kwa ujumla wao, bila kuegemea maeneo, uwezo, rangi au hata kipato cha mtu au kikundi.&lt;br /&gt;Kutokana na matarajio hayo, kazi uliyoomba ina masharti yafuatayo ambayo wengi tuna imani kwamba utayatimiza kwa neema ya Tanzania mpya kama ambavyo umekuwa ukieleza wakati ukiomba ridhaa ya Chama. Masharti yenyewe ni haya yafuatayo:-&lt;br /&gt;v Kwamba utakuwa mtu wa watu, utakuwa kiongozi wa wanyonge na kubwa zaidi utajali kila mtu kwa  nafasi yake, bila kuwapa nafasi ‘manyang’au ambao wana ujanja na mbinu chafu kwa lengo la kujinufaisha wao wenyewe kwa kutumia ajira yako mpya utakayoianza Novemba, 2005.&lt;br /&gt;V Kwamba usiwaangushe Watanzania, na matumaini yao yaonekane kweli kwamba nafasi uliyoomba na hatimaye kuipata ulistahili. Kwamba wamekuwa na imani na utumishi wako katika nafasi zingine.&lt;br /&gt;V Kwamba yote yaliyojiri katika mchakato wa kuomba ridhaa ya Chama sasa yatakuwa historia na utakuwa kitu kimoja na wengine wenye mapenzi mema na wewe binafsi na Watanzania.&lt;br /&gt;V Kwamba utakuwa na mtazamo wenye mwanga wa kujenga na kulinda umoja wa kitaifa na kuwa hautafanya maamuzi ambayo yatakuwa yakiwafurahisha wengine, hasa wafadhili, na kuwakandamiza wananchi, waajiri wako.&lt;br /&gt;V Kwamba utahakikisha kuwa mstari wa mbele kupinga na kuwatetea walio katika dhuluma na mateso. Na kubwa zaidi utasimamia haki na kulinda haki za binadamu wote wa Tanzania na ikiwezekana kutetea haki za wasiokuwa raia, ndani na nje ya mipaka yetu.&lt;br /&gt;V Kwamba hutasita kuchukua maamuzi makubwa yanayoweza kutafsiriwa na ‘mabwanyenye’ kuwa ni uonevu, ilhali yananufaisha wanyonge wa nchi hii katika kuondokana na umasikini, ukosefu wa ajira, ujinga, utegemezi na maradhi.&lt;br /&gt;V Kwamba utaunda timu kabambe ya watendaji wa kazi na wala siyo kuzungukwa na ndugu, marafiki au mashemeji ambao hawana uwezo wa kiutendaji, bali ni ‘wenzako’ au kuonekana kuwa unalipa fadhila ambazo walitoa katika mchakato wa kuomba kuteuliwa na hatimaye kuchaguliwa na Chama. Kila msaidizi wako ajitanabaishe kwa uwezo wake wa kiutendaji mbele ya umma.&lt;br /&gt;V Kwamba  utatumia busara za hali ya juu, pia kwa kuwashirikisha wengine katika kufikia maamuzi makubwa ya kuiingiza nchi katika mikataba (au hata mifarakano)  na mataifa mengine, ili nchi isiingie katika ‘tundu la simba’, ambamo kujinasua baadaye kutaigharimu nchi muda, rasilimali na hata damu. &lt;br /&gt;V Kwamba utakuwa muwazi kwa umma kwa maana ya kuwaeleza mipango, mafanikio na hata matatizo ya serikali yako, ili kujenga na kudumisha silka ya uwajibikaji ambayo ni siri kubwa ya maendeleo endelevu.&lt;br /&gt;V Kwamba unatakiwa mnyenyekevu kwa wazee, vijana, watoto, walemavu wa jinsia zote; wanawake na wanaume.&lt;br /&gt;Mheshimiwa, hayo ndiyo masharti makuu unayotakiwa kuyatekeleza kadri ya uwezo wako ukizingatia kuwa kufanya hivyo unatimiza wajibu wako kwa wananchi waliokupa ajira kuu.&lt;br /&gt;Katika utekelezaji wa yote hayo, unatakiwa kujua kwamba umeomba kazi ambayo itakulazimu kupokea malalamiko kila siku, kila saa.&lt;br /&gt;Utapokea malalamiko unapokunywa chai, unapoondoka kuelekea ofisini kwako, utapokea malalamiko hata unapokaribia kupumzisha mwili wako usiku.&lt;br /&gt;Kubwa na muhimu ya kukabiliana na malalamiko hayo ya waajiri wako ni kuyapa nafasi ya kuyatekeleza kwa mustakabali wa mama Tanzania na watu wake.&lt;br /&gt;Wakati ukiomba kazi hiyo ulisema umenuia kujenga Tanzania mpya, nguvu mpya ya maendeleo ya kasi na ari mpya.&lt;br /&gt;Tunaomba sasa utekeleze mara baada ya kuapa kuanza kazi yako Novemba, 2005.&lt;br /&gt;Kila jema.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111528841455193780?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111528841455193780/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111528841455193780' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111528841455193780'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111528841455193780'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/05/masharti-ya-kazi-yako-kikwete-haya.html' title='Masharti ya kazi yako Kikwete haya hapa'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111522962666548011</id><published>2005-05-04T20:58:00.000+03:00</published><updated>2005-05-04T21:00:26.673+03:00</updated><title type='text'>Kikwete jua haya</title><content type='html'>Kwanza nakupongeza,&lt;br /&gt;pili ni kwamba umepata kazi kubwa mno ambayo itatuhakikishia kwamba muda wako wa kuliongoza taifa hili sasa umefika, kwani mara ya kwanza, 1995 ulipojitokeza kuomba nafasi ya Urais wa Tanzania, kura hazikutosha.&lt;br /&gt;Sasa kura zimetosha. Ninakuomba utuonyeshe kwamba unastahili kwa kuwa mtendaji bora kama mabavyo umekuwa ukifanya katika nafasi ulizowahi kushika.&lt;br /&gt;Makutakia kila jema na uendelee kubarikiwa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111522962666548011?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111522962666548011/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111522962666548011' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111522962666548011'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111522962666548011'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/05/kikwete-jua-haya.html' title='Kikwete jua haya'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111522942794560955</id><published>2005-05-04T20:53:00.000+03:00</published><updated>2005-05-04T20:57:07.953+03:00</updated><title type='text'>kumekucha</title><content type='html'>Tayari CCM kimepata mgombea wake leo. Huyo siyo mwimgime bali ni Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ni Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa.&lt;br /&gt;Amepata kura kibao, kwa kuwabwaga wengine. Kura za watu wawili walioinga nao kwenye kinyang'anyiro zikijumlishwa ndio zinapatikana kura zake zote.&lt;br /&gt;Dk. Salim alipata kura 45, Prof. Mwandosya aliibuka na 33, huku Kikwete akipata 78. Ni kama hadithi. Ni ushindi wa kishindo.&lt;br /&gt;Ninamtakia kila jema&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111522942794560955?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111522942794560955/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111522942794560955' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111522942794560955'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111522942794560955'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/05/kumekucha.html' title='kumekucha'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111380161089928297</id><published>2005-04-18T08:15:00.000+03:00</published><updated>2005-04-18T08:20:10.903+03:00</updated><title type='text'>CCM imtose yeyote bila kujali 'pembe' zake</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Aprili 15  saa 10.00 jioni ulikuwa muda wa mwisho kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi ambao wanaomba ridhaa ya Chama kuteuliwa  kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha fomu zao.&lt;br /&gt;Ni siku ambayo ilifunga ukurasa wa mbio za wanachama 11 waliojitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa hiyo.&lt;br /&gt;Wanachama hao tayari wamerejesha fomu zao zilizojazwa na wadhamini waliowapata mikoani kama taratibu za Chama zinavyotaka. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Masikio sasa ya Watanzania na wasio ni kupata habari za kuanza kwa taratibu ndani ya Chama za kupata jina la mwanachama mmoja miongoni wa hao waliojitokeza ili kupambana na wateule wengine kutoka vyama vya upinzani.&lt;br /&gt;Kimsingi, wagombea kutoka vyama vyote kwa Urais wana nafasi na haki sawa za kuongoza Tanzania endapo wapiga kura wataamua iwe hivyo.&lt;br /&gt;Vipo vyama ambavyo tayari wagombea wake wanajulikana, wengi wakiwa ni viongozi wa vyama hivyo wanaojipachika ugombea miaka nenda rudi na kuweka mizengwe kwa wanachama wenzao pamoja na kwamba katiba zao zinaruhusu kila mwanachama kujitokeza kuomba ridhaa ya vikao halali kuteuliwa kwa nafasi ya kugombea urais, ubunge na hata udiwani.&lt;br /&gt;Mgombea wa CCM atajulikana usiku wa Mei 4 au alfajiri ya siku inayofuata baada ya wanachama wenye dhamana ya kuwakilisha wenzao katika Mkutano Mkuu kupitisha jina moja tu.&lt;br /&gt;Hakika ni kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitapitisha jina la mgombea ambaye atakuwa na maslahi ya taifa zima bila kujali wajihi wake, sura, mvuto wake wala ulimi wake hata kama umepakwa asali na kutoa maneno matamu.&lt;br /&gt;Lazima Chama kitaangalia ni kwa kiasi gani mtu anayeteuliwa analinda maslahi ya taifa na siyo Chama pekee, kwamba atakuwa mtu ambaye akisema anasikilizwa, anaheshimiwa na wananchi na hata watu wa nje. Na pia kikubwa zaidi ni kuwa na tabia ya kuwasikiliza wengine kama kiongozi bora anavyotakiwa kuwa.&lt;br /&gt;Kwa maana na hiyo, siyo wanachama tu wa Chama bali wananchi kwa ujumla hawatarajii Chama kuteua mtu asiyekuwa na udhu katika moyo wake, mwili wake na matendao yake.&lt;br /&gt;Kila Mtanzania anajua na ana hakika kwamba CCM itashinda uchaguzi mkuu, kwa hiyo atakayeteuliwa aanatarajiwa kuwa mtu asiye na mawaa ambaye anaweza kuipeleka nchi pabaya na kuharibu maendeleo yaliyopo, amani iliyopo na Muungano wetu.&lt;br /&gt;Hakuna Mtanzania anayependa kuona Chama kinaleta mtu ambaye hajui kwamba nchi bado ina watu ambao wanaogelea katika umasikini mkubwa, watu wanaozingirwa na magonjwa na kutandaa kwa ujinga.&lt;br /&gt;Imani ya wananchi wengi, bila kujali itikadi za vyama vyao ni kwa ‘kada’ mbalimbali za Chama ambazo zitaanza kazi ya kupitia na kuhakikisha kukamilika kwa taratibu zilizotakiwa kwa kila mgombea.&lt;br /&gt;‘Kada ninazozungumza hapa ni ngazi zote za kupitia fomu na baadaye kuanza kuwajadili wagombea kabla ya kuwafikisha kwenye vikao muhimu ambavyo vitakuwa na jukumu zito la kuhakikisha kwamba anapatikana mwanachama mwadilifu na mnyenyekevu ambaye atakuwa na sauti inayokubalika kwa wanachama wenzake na wananchi kwa ujumla wao.&lt;br /&gt;Wanachama wote 11 wana nafasi sawa ya kuteuliwa na ngazi hizo, lakini wote hawawezi kulingana kiutendaji, kitabia, kiumri na hata kimtazamo. Kila mmoja ana yake ambayo anaona akishirikiana na wengine anaweza kusaidia kupatikana kwa maendeleo zaidi na kudumishwa kwa amani iliyopo.&lt;br /&gt;Mwanachama yeyote miongoni mwao anayedhani kwamba ni bora kuliko wengine anajidanganya na kujijengea wigo wa fitna, kinyongo na mambo mengine yanayofanana na hayo endapo hatateuliwa.&lt;br /&gt;Kila aliyechukua fomu na kuzirejesha anapaswa kutambua kwamba Chama siyo mtu binafsi bali ni mfumo ambao unaendeshwa na vyombo mahsusi kabisa vilivyowekwa kwa ridhaa ya wanachama wake.&lt;br /&gt;Hivyo, hakuna mwanachama anayeweza kulalama kwamba ameshindwa kwa sababu ya mizengwe kama ambavyo nchi imekuwa ikishuhudia kwa vyama vingine vya siasa vilivyotapakaa kama uyoga.&lt;br /&gt;Yeyote atakayejidai kwamba ‘amewekeza’ ili kujihakikishia anaibuka mshindi atakuwa akijidanganya na kuiba mawazo yake mwenyewe. Kama aliwekeza kwa kugawa fedha-shauri yake. Kama aliwekeza kwa wanachama kwa kuwagawa kimakundi –atajiju na kama aliwekeza kwa mtaamo kwamba Chama ni chake-ameula wa chuya.&lt;br /&gt;Lazima wote waelewe kwamba CCM imekuwa na nguvu kwa muda mrefu kutokana na kushonana, kushikamana na kuheshimiana kijadi kwa wanachama na wasiokuwa wanachama bila kujali rika wala makundi ya hovyo ambayo kimsingi ni ya kibaguzi tu.&lt;br /&gt;Watanzania wana imani kubwa na viongozi wa CCM. Wana imani na busara zao. Wana imani na mitazamo yao, kwa maana hiyo kamwe hawawezi kumpitisha mwanachama kwa kuwa tu ni rafiki ama ndugu. Atakayepitishwa atakuwa ana uwezo na ari ya kutenda atakachokuwa ametumwa na Chama na wananchi wa Tanzania.&lt;br /&gt;Viongozi, kwa maana ya wenye fursa ya kuchagua mgombea wa CCM wana dhamana kubwa ya kuhakikisha kwamba anapatikana kiongozi mwenye udhu ambaye atasaidiana na vyombo vingine kuwavusha watoto wa Tanzania hadi kwenye neema ya asali na maziwa.&lt;br /&gt;Mtazamo na nguvu ya mawazo na imani ya wenye dhamana ya kuchagua mwana-CCM lazima ijikite katika dhana kwamba heri lawama kuliko hasara. Lazima apatikane mwanachama safi, mkweli, mwepesi wa kukiri mapungufu yake na kujirekebisha.&lt;br /&gt;Huyo lazima awe mtu ambaye hachukizwi na upinzani bali aone kwamba ni changamoto safi ya kutekeleza majukumu na ahadi na ambaye ana kichwa chenye kubeba ubunifu wenye maana ya kuondoa shida za wananchi wa maeneo yote; vijijini na mijini.&lt;br /&gt;Mwenye sifa hizo na za ziada yumo miongoni mwa wanachama 11. Huyu ndiye tunamtaka kuongoza Tanzania ya leo.&lt;br /&gt;CCM inaweza.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;  &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111380161089928297?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111380161089928297/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111380161089928297' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111380161089928297'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111380161089928297'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/04/ccm-imtose-yeyote-bila-kujali-pembe.html' title='CCM imtose yeyote bila kujali &apos;pembe&apos; zake'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111380115643541704</id><published>2005-04-18T08:08:00.000+03:00</published><updated>2005-04-18T08:12:36.436+03:00</updated><title type='text'>Wasomi wanapokuwa majasusi kwa nchi yao!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;KILA binadamu anatamani kuwa na maisha mazuri ili afurahie kuishi kwake na wote wanaomtegemea, ikiwemo familia, ndugu na jamaa zake.&lt;br /&gt;Zipo mbinu nyingi zinazotumiwa na binadamu kufanikiwa. Wapo wanaoanza biashara na kufanikiwa, wapo wanaosoma sana na kufanikiwa na wapo wanaoibuka tu kutokana na bahati zao.&lt;br /&gt;Wapo pia binadamu wanaotumia mbinu chafu kufanikiwa, ikiwemo kuua, kupora na matukio mengine ya kutisha ambayo hatimaye yanawapa mafanikio makubwa.&lt;br /&gt;Hakuna binadamu mwenye akili timamu anayejibidisha katika shughuli zake bila kuwa na matumaini ya kufanikiwa siku moja.&lt;br /&gt;Kujibidisha huko kunatokana na kusukumwa na tamaa za kawaida za kibinadamu za kupenda vitu vizuri, huku tumbo likishika nafasi ya kwanza. Tumbo linaongoza kwa kuwa linapenda kujazwa kila baada ya saa tatu ili mtu aendelee na maisha yake.&lt;br /&gt;Miongoni mwa watu wanaojibidisha ni wasomi. Hawa ni kundi pekee ambalo limeelimika kwa kwenda shule na kupitia vyuo mbalimbali. Kwa kifupi hao ni wanazuoni ambao wanatarajiwa kuwa waongozaji wa wengine katika masuala mbalimbali ya maendeleo.&lt;br /&gt;Ni wasomi ambao hutumika sana katika kupanga mipango ya maendeleo na dira sahihi zitakazosaidia kuhamasisha wengine kuzifuata ili kufikia malengo.&lt;br /&gt;Wasomi hufundisha shuleni hadi vyuo vikuu, lengo likiwa kuendelea kujenga mtandao mkubwa wa wasomi ambao wataunganisha nguvu zao kuleta maendeleo.&lt;br /&gt;Lakini katika dunia ya sasa, wasomi wengi hawapendi tena kazi za kufundisha wala kutoa dira, bali kila mmoja anajitahidi kuwa na shirika lake lisilokuwa la kiserikali (NGO) kwa lengo la ‘kusaidia’ jamii.&lt;br /&gt;Wengi kutokana na usomi wao ni hodari katika kuandika michanganuo na hupata fedha kutokana na njia hiyo na kunufaika zaidi wao, wake au waume, na familia zao, pamoja na kwamba michanganuo huandikwa na kupachikwa jina kwamba “ni ya kusaidia jamii”.&lt;br /&gt;Ni kutokana na hali hii ya kuneemeka kwa migongo ya watu wenye shida, baadhi ya NGO zinazojieleza kuwa zinatetea haki za binadamu, wanawake, watoto na wanaume haziaminiki kwa jamii na zipo zikiwa na sura za “mali ya familia” zaidi.&lt;br /&gt;Sasa NGO (Non Governmental Organisations) hazisimami kwa jina hilo, badala yake ni ‘Non Governable Organisations’, kwa maana kwamba zipo tu bila kusimamiwa wala mtu wa kuzifuatilia.&lt;br /&gt;Kutokufuatiliwa huko sasa kumeibua utaratibu mwingine mbaya zaidi ya kuibia jamii. Sasa hizo NGO ambazo nyingi zinaongozwa na wasomi, ni maficho ya mikono michafu ya taasisi za nje ambazo haziitakii mema nchi hii.&lt;br /&gt;Wasomi hao badala ya kusaidia nchi sasa wamegeuka kuwa majasusi ambao wanatoa kila wanaloona linawaafaa mabwana wao ambao humwaga ‘rupia’ kama njugu ilimradi kupata taarifa wanazohitaji kupitia utafiti wa hovyo unaofanywa kwa malengo mabaya.&lt;br /&gt;Inashangaza sana kuona wasomi wetu wanageuka kuwa magaidi na majasusi wa mataifa na taasisi za nje kwa kuwa tu wameona vipande vya fedha kutoka kwa ‘Wazungu.’&lt;br /&gt;Kutofuatiliwa kwa NGO hizo na vyombo vya serikali kunafanya taasisi hizo kuwa na uhuru wa ajabu na kufanya zinavyotaka, kwani haziingiliwi wala kutazamwa kwa jicho na chombo chochote.&lt;br /&gt;Wasomi hao viongozi wa NGO wanapoulizwa kuhusu kuhusika kwao na ujasusi wanaruka kimanga na kudai kwamba hawajui lolote kuhusu hilo na kutoa maelezo kwamba wapo kwa ajili ya kusaidia wananchi wa Tanzania.&lt;br /&gt;Ingawa wanapofuatiliwa kwa undani, uwezekano wa kukutwa kwamba ni majasusi ni mkubwa na ndiyo maana ‘wenye’ NGO wamekuwa wakiungana kupinga namna yoyote ya kuchunguzwa na serikali.&lt;br /&gt;Hivi hawa pamoja na usomi wao wanashindwa kuelewa kwamba hakuna serikali inayoachia tu mambo ya taasisi kwenda kama wanavyotaka, hata kama ni kichaka cha majahili?&lt;br /&gt;Kuachia tu NGO kujiendesha zinavyotaka kuna hatari ya kusababisha madhara makubwa siku zijazo na kuwaacha wananchi ‘wakisaga meno’, madhara ambayo itakuwa vigumu kuyarekebisha kwa muda mfupi.&lt;br /&gt;Wapo wasomi hao na NGO zao wanaoaminiwa na serikali na hata Chama, lakini kumbe wapo humo kwa ajili ya kutimiza malengo yao ya kuwatumikia majasusi wa nje. Na katika kufanya hizo zinazoitwa tafiti wapo wanaopata fursa za kujiingiza hata katika maeneo nyeti ya nchi, na wakati wanapokamilisha ‘utafiti’ wao huwasilisha ripoti kwa hao wahisani wao.&lt;br /&gt;Ikiwa wasomi ndiyo wako namna hiyo, je wananchi ambao wanapaswa kuwaheshimu kutokana na taaluma zao, wawaweke katika kundi gani?&lt;br /&gt;Wananchi wanapaswa kuwa macho na NGO hizo uchwara zinazoibuka kila siku kwa takwimu za hovyo zisizokuwa na ukweli wowote, zinazotumiwa tu na wale wanaoitwa wafadhili.&lt;br /&gt;Ni vyema basi, serikali kwa kutumia vyombo vyake kuhakikisha kwamba NGO zinafutiliwa kwa karibu zaidi ili kuepusha madhara hayo yanayoweza kutokea.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111380115643541704?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111380115643541704/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111380115643541704' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111380115643541704'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111380115643541704'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/04/wasomi-wanapokuwa-majasusi-kwa-nchi.html' title='Wasomi wanapokuwa majasusi kwa nchi yao!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111246116419756923</id><published>2005-04-02T19:56:00.000+03:00</published><updated>2005-04-02T19:59:24.203+03:00</updated><title type='text'>'Kishamapanda' aaga dunia akililia ushirika</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Ni Balozi Paul Bomani&lt;br /&gt;Na Simon Martha Mkina&lt;br /&gt;FAMILIA ya Bomani inalia. Wanamlilia baba, babu na mjomba wao. Wanalia kwa kuwa amefariki dunia wakiwa bado wanahitaji busara kutoka katika kichwa chake kilichokuwa kikifunikwa na nywele nyingi. Nywele zilizojaa rangi nyeupe-mvi.&lt;br /&gt;Wanadiplomasia wanalia. Wanalia kumpoteza mwenzi wao. Wanalia kwa kuwa watakosa ucheshi na ushirikiano wake aliouonyesha bila kuwepo kwa chembe ya unafiki.&lt;br /&gt;Wasomi wanalia. Wanalia kwa kumpoteza kiongozi aliyewapigania. Wanalia kwa kuondokewa na mwanataaluma mwenzao ambaye alijitolea kuwapigania, akiwa na matumaini kwamba hata watoto wa makabwela wanasoma na kupata elimu ya chuo kikuu. Alikuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Chama cha Mapinduzi kinalia. Kinasikitika kumpoteza mmoja wa wapiganaji wake waliokuwa mstari wa mbele kuhakikisha kwamba Watanzania wanaishi kwa amani na kuwepo kwa maendeleo ya haraka. Alikuwa mdhamini wa Chama.&lt;br /&gt;Nchi nzima imezizima kwa kishindo kwa kuondokewa na mwalimu, kiongozi na msomi aliyebobea katika masuala ya ushirikiano wa kimataifa na uchumi.&lt;br /&gt;Wanaobubujikwa bahari ya machozi ni wakulima. Wao wanalia kwa kwikwi zenye sauti kuu. Mashavu yao yamefunikwa na kimiminika chenye ladha ya chumvi chumvi, huku wakiwa wamekosa matumaini ya kumpata atakayeziba pengo la kuwapigania.&lt;br /&gt;Hawa ni wanaushirika wanaodiriki kusema kuwa gwiji huyo ameondoka na funguo za mlango wa kuendeleza ushirika. Kwamba wanaobaki watakuwa watu wa kutapatapa wakisaka ziliko ufunguo, lakini wasizipate, hadi atakapoibuka mwenye nia ya dhati na uchungu wa watu hao.&lt;br /&gt;Niliyoandika hapo juu yanaonyesha kwa jinsi gani, Balozi Paul Lazaro Bomani au kwa jina maarufu – Kishamapanda- alivyokuwa mtu wa watu kwa maana ya kuwa karibu nao wakisaidiana kwa jambo moja ama jingine.&lt;br /&gt;Ndugu na marafiki zake wa karibu waliokuwa pamoja, wanaeleza kuwa jina la Kishambapanda alipewa na jamaa zake, hasa marafiki baada ya kugundua kuwa Paul alikuwa mtu asiyekata tama.&lt;br /&gt;Kwamba alikuwa mtu ambaye akidhamiria kitu, lazima kipatikane na kufanikiwa. Akishindwa kwa njia hii, basi alikuwa akitumia njia nyingine kuweza kufanikisha.&lt;br /&gt;Kishamapanda ni neon la Kisukumka lenye maana ya mtu wa mwisho kutoa maamuzi. Mtu gwiji wa kila jambo na mtu ambaye wote humtukuza na kumthamini kwa kile  anachosema.&lt;br /&gt;Mzee Bomani, kama ambavyo nilipenda kumwita nikikutana naye, ama nyumbani kwake, ofisini au katika vikao vya Wasukuma wa Mwanza wanaoishi Dar es Salaam, amekufa akiwa bado anahitajika na umma wa Watanzania.&lt;br /&gt;Ni mzee ambaye amekuwa akipigania ‘kufa’ kwa ushirika na hadi anakwenda kaburini alishindwa kuelewa sababu zote zinazotolewa kwa kukosekana kwa na ushirika wenye nguvu.&lt;br /&gt;Hakupenda kuwa mnafiki wa nafsi yake na ndiyo maana kila akiulizwa imani yake kuhusu kutokomezwa kwa umasikini Tanzania, Mzee Bomani alikuwa na majibu mafupi tu mawili; kilimo na ushirika.&lt;br /&gt;Majibu hayo yana maana pana mno endapo yanapata mchambuzi makini. Yeye hakupenda kuchambua, alikuwa akiwaachia wanaomwuliza kujikita katika tafakuri ili kupata maana halisi ya maneno yake.&lt;br /&gt;Lakini, kitu kikubwa alichokuwa akikisisitiza Mzee Bomani ni kwamba kuboreshwa kwa kilimo, hasa kile kisasa kutakuwa chachu ya kupatikana kwa mazao mengi ambayo yatauzwa kwa bei nzuri na kuwa mlango wa wakulima kujikomboa na janga kubwa la umasikini.&lt;br /&gt;Wakulima lazima wahakikishiwe mazao yao yanakuwa na bei nzuri na wanalipwa kwa wakati, alisisitiza Mzee Bomani ambaye wengine walikuwa wakimwita ‘Mzee Ushirika’ kutokana na kuwa na imani kubwa katika mfumo huo.&lt;br /&gt;Mzee Bomani amekua katika ushirika. Ameoa katika ushirika na umaarufu wake kwa kiasi kikubwa ulitokana na ushirika.&lt;br /&gt;Na siyo yeye pekee aliyeweza kuelezea manufaa ya vyama vya ushirika, bali idadi kubwa ya Watanzania ambao waliungana katika maeneo wanakotoka na kuunda ushirika wenye nguvu kuanzia miaka  ya 1950 hadi miaka ya 70.&lt;br /&gt;Katika kipindi hicho, Ushirika wa maeneo ya Mwanza, Bukoba na Kilimanjaro ulikuwa na nguvu kubwa hata kuwa tishio kwa watawala wa mwisho wa Tanganyika kwamba ilikuwa njia ya kuunda umoja wenye siasa iliyojificha ili kupambana na utawala wao.&lt;br /&gt;Mzee Bomani ndiye alikuwa kinara wa ushirika wa Mwanza ukijulikana kwa jina la Victoria Federation of Cooperative Unions Ltd. Hapa alitumia mwanya huo wa uongozi kuwahamasisha wakulima kulima pamba kwa wingi na kuhakikisha kwamba inauzwa katika vyama vya ushirika kwa bei kubwa.&lt;br /&gt;Mara baada ya uhuru, alikuwa miongoni mwa mawaziri wa kwanza wa Tanganyika huru akiwa Waziri wa Maliasili na Ushirika, akishughulikia pia kilimo. Kuchaguliwa katika nafasi hiyo kulitokana na mwanga wake katika masuala ya ushirika nchini.&lt;br /&gt;Ni kutokana na jitihada zake hizo za kutetea ushirika, Mzee Bomani aliweza kupata fursa ya kuwa Rais wa Taasisi ya Dunia ya Wakulima wa Pamba.&lt;br /&gt;Mbali na ushirika, alipenda sana kuona mila za Watanzania zinatunzwa na kuenziwa kwa manufaa ya kizazi kilichokuwepo na hata kitakachokuja. Katika hili, alihimiza kuanzishwa kwa Umoja wa Wasukuma.&lt;br /&gt;Akiwa Rais wa umoja huo, Mzee Bomani alihakikisha kwamba Wasukuma wote wanazifahamu taratibu zilizokuwepo kale na jinsi wazee wa kabila hilo walivyokuwa wakiishi.&lt;br /&gt;Kutokana na utumishi wake uliotukuka, aliweza kushika nyadhifa nyingi katika serikali ya Tanganyika na baadaye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Miongoni mwa nafasi hizo ni Waziri wa Fedha:&lt;br /&gt;Akiwa katika nafasi hii, Mzee Bomani aliweza kufanikisha kuanzishwa kwa Benki Kuu ya Afrika Mashariki, jambo ambalo lilisaidia kwa kiasi kikubwa kukomaza jumuiya hiyo, ingawa baadaye ililegalega na hatimaye kuvunjika mwaka 1977.&lt;br /&gt;Akiwa Waziri wa Biashara, Viwanda na Madini, aliweza kusukuma mawazo ya kuanzishwa kwa kiwanda cha Sukari cha Kilombero mkoani Morogoro, ambacho hadi leo kinafanya kazi kwa ubia.&lt;br /&gt;Mzee Bomani akiwa Balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa aliweza kuishawishi Marekani na nchi zingine kuanza kuelewa maana ya ukombozi wa nchi nyingi za Afrika zilizokuwa zikitawaliwa kimabavu na wakoloni.&lt;br /&gt;Ni msimamo huo uliowezesha, kwa njia moja ama nyingine kupatikana kwa uhuru wa nchi za Msumbiji, Angola, Zimbabwe na baadaye Namibia.&lt;br /&gt;Aliyoyafanya Mzee Bomani ni mengi, lakini inatosha kusema tu historia ya Tanzania haiwezi kukamilika ikiwa jina la Mzee Bomani halitatajwa kutokana na wingi wa mazuri yake.&lt;br /&gt;Hivyo ndiyo nilivyomfahamu Paul ‘Kishamapanda’ Bomani&lt;br /&gt;HISTORIA YAKE&lt;br /&gt;Mzee Bomani alizaliwa Januari Mosi, 1925 katika kijiji cha Ikizu, Musoma na kuanza darasa la kwanza katika shule ya Msingi ya Wasabato ya Nassa iliyoko wilaya ya Magu, mkoani Mwanza mwaka 1939.&lt;br /&gt;Ilipofika mwaka 1945, Mzee Bomani alipata nafasi ya kusoma Chuo cha Ualimu cha Wasabato cha Ikizu, kabla ya kwenda kusomea Stashahada ya Ualimu nchini Uingereza katika Chuo cha Loughborough, kilichopo Leicester mwaka 1954.&lt;br /&gt;Baadaye mwaka 1976, Mzee Bomani alijiunga na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins, Baltimore, nchini Marekani akisomea uhusiano wa kimataifa kabla ya kuingia tena katika duru za kazi za serikali.&lt;br /&gt;Hadi anafariki, jana Aprili Mosi, mwaka huu, Mzee Bomani ameacha watoto tisa, wajukuu kadhaa na vilembwe.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111246116419756923?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111246116419756923/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111246116419756923' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111246116419756923'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111246116419756923'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/04/kishamapanda-aaga-dunia-akililia.html' title='&apos;Kishamapanda&apos; aaga dunia akililia ushirika'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111226945274816715</id><published>2005-03-31T14:41:00.000+03:00</published><updated>2005-03-31T14:44:12.750+03:00</updated><title type='text'>Ngasongwa wangu maskini!</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Jamani,&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Yaani huyu Ngasongwa amenishangaza kweli, ilikuwa achukue fomu ya kugombea Urais kupitia Chama chetu, lakini akaingia mitini.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Tuakamsubiri kwamba labda anasubiri mkewe ama mtoto wake ndo asindikizane naye, lakini wapi...hadi sasa bado hola! Hatujui nini kinatokea.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Hadi sasa zimebaki siku kama 14 tu iwe mwisho wa kurejesha fomu, sasa sijui ataweza au namna gani. Tusubiri, ingawa matumaini kwamba atachukua fomu yanaendelea kufifia. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Sina uhakika amekumbwa na maswaibu gani.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Tuko pamoja nitawaeleza. Kitakachotokea.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111226945274816715?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111226945274816715/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111226945274816715' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111226945274816715'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111226945274816715'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/03/ngasongwa-wangu-maskini.html' title='Ngasongwa wangu maskini!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111226922414921173</id><published>2005-03-31T14:34:00.000+03:00</published><updated>2005-03-31T14:40:24.153+03:00</updated><title type='text'>Unafiki huu utabebwa kwa mbeleko gani?</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;HIVI  sasa sehemu kubwa ya nchi yetu imegubikwa na gumzo kuhusu nani ataibuka kuwa mshindi katika kinyang'anyiro cha kiti cha urais kwenye uchaguzi utakaofanyika baadaye mwaka huu.&lt;br /&gt; Mazungumzo ofisini, hasa ofisi za serikali ambako bado kuna muda wa gumzo, kwenye migahawa, baa na maeneo mengine ya mapumziko na hata njiani; mjadala ni nani kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na yule wa Zanzibar.&lt;br /&gt;Kila mmoja anazungumza lake, huku akieleza zaidi kuhusu mgombea anayetamani aongoze nchi kwa miaka mitano au 10. Huyu anatoa sifa kemkem za mgombea wake, nyingi zikiwa za kumpamba ili aweze kuwavuta wengine kumuunga mkono&lt;br /&gt; Sifa zinazotolewa na mashabiki wao, nyingi siyo 'nguo' sahihi za hao wanaotamani kukalia kiti cha enzi cha Tanzania. Wengi hawawezi hata kutanabaishwa kwa maneno na matendo yao.&lt;br /&gt;Wanaotangaza kugombea, wote tunawafahamu nyendo zao za mchana na hata usiku, lakini wapambe wao wanasahau hayo na wanaendelea kupayuka kana kwamba mgombea wanayemtamani hana mawaaa ya tabia, mawazo wala maungo yake. Kwao mgombea wao ni safiiiii!&lt;br /&gt;Hilo ni kundi moja kati ya kundi kubwa la wapambe ambalo limeibuka baada ya Chama Cha Mapinduzi kuwatangaza waliochukua fomu kukiomba Chama kuwateua ili wakiwakilishe katika uchaguzi kwa nafasi ya Rais.&lt;br /&gt;Kuna kundi jingine la watu ambao kwao kila mgombea anayejipitisha mbele ya nyuso zao ni wao. Hawa hawana msimamo. Hawa ni wanafiki. Hawa ni mbwa mwitu ambao wanavaa ngozi za kondoo, lakini kubwa zaidi ni watu wasiokuwa na 'udhu'. Ni watu ambao Waingereza wanawaita 'Opportunists'.&lt;br /&gt;Hawa wapo tu kwa kila mmoja, hawana uchaguzi. Ni sawa na wachezaji wa kamari. Hawana uhakika na mgombea wanayemsimamia. Kwao kila anayejipitisha wanakenua meno hadi magego yanaonekana.&lt;br /&gt;Wao kazi kubwa ni kuonekana wakitabasamu na kucheka hata kama mgombea anayehitaji ridhaa ya vikao vya Chama ameongea jambo lisilochekesha ama kuwa na chembe ya kufurahisha&lt;br /&gt;Hawa ni wale ambao kila mgombea anayewafikia wanaonekana kunawa viganja na vidole vyao, kana kwamba wanajiandaa kula ugali wa Kisukuma; kwamba wanavuta pumzi ili kazi ikianza wawe na misuli iliyosimama kuuvamia ugali mgumu unaovaa gamba baada ya muda mfupi mara unapopakuliwa chunguni.&lt;br /&gt;Kunawanawa mikono ni unafiki ambao hauna mfano, wao hawana uhakika na uchaguzi wao, wanaona heri kuwa na wote kwa kuwa miongoni mwao mmoja lazima aibuke mshindi ambaye watajidai ni wao!&lt;br /&gt;Wanadai kujiweka katika 'safe side' ili kama ataibuka 'kidedea' basi awe wao na ili aweze kuwafikiria katika 'ufalme' wake unaokuja baada ya Oktoba 30, mwaka huu.&lt;br /&gt;Kauli kubwa inayotolewa na midomo yao ni 'tutakupa mzee-usiwe na wasiwasi'. Hii ni kauli ambayo hadi sasa wameitoa kwa wanaotarajia ridhaa ya Chama kupitishwa ambao idadi yao imefikia 11.&lt;br /&gt;Karibuni nilifurahishwa na kauli ya Mkuu wa Mkoa mmoja ambaye alitangaza hadharani kwamba anampigia debe mgombea fulani. Huyu, kama alinukuliwa sahihi, hana unafiki na anaeleza kile midomo yake kinachopokea kutoka kwenye nafsi yake. Yuko tayari kwa matokeo yoyote na wala hakuona haya kutamka aliyotamka.&lt;br /&gt;Kiongozi huyo alionyesha njia na wengi tukadhani kwamba atakuwa mfano wa kuigwa, kumbe wapi! Unafiki ndio kwanza unashika kasi kubwa. Kila anayepita kuomba wadhamini anaelezwa na viongozi wa eneo analotembelea maneno yale yale aliyozoea kuyasikia katika mikoa  aliyofanya kazi ya kukusanya wadhamini&lt;br /&gt;Kumbe basi, kwa maana hiyo na kama itafanyika tathmini, itaonekana wagombea wote watapitishwa na wapiga kura katika vikao mbalimbali. Lakini ukweli ni kwamba kura ni siri ya mtu na ataipiga akiwa mwenyewe, na lazima apatikane mmoja tu atakayesimama kugombea urais.&lt;br /&gt;Pamoja na kwamba kauli za namna hiyo za –tutakupa mzee- zinaonyesha kwamba wagombea wote ni safi, lakini zimejaa unafiki wa ajabu, ambao ukichunguzwa ni sawa na dhambi nyingine yoyote ya kunena uongo.&lt;br /&gt;Sasa kauli za -tutakupa mzee- zisiwavimbishe vichwa wagombea wote na kuona kwamba tayari wamekalia kiti cha enzi cha Tanzania. Bado kazi ni kubwa na watakaoshindwa wala wasiwanunie wale waliowaeleza kwa kwamba -tutakupa mzee!&lt;br /&gt;Ni kweli ni kauli za kutia moyo, lakini sasa wagombea watakaposhindwa wasigeuke mbogo na kudai kuwepo kwa mizengwe kwa kuwa tu walipiga hesabu zao na kubaini kuwa wajumbe wote wamewahakikishia- 'tutakupa mzee'.&lt;br /&gt;Wagombea wote wajue kuwa katika hiyo kauli ya 'tutakupa mzee' kuna unafiki ambao anayeitoa anakuwa na malengo yake, mengi yakiegemea kwenye ubinafsi zaidi badala ya hali halisi.&lt;br /&gt;Inawezekana kabisa hawa wanafiki hawa ndio wakawa chanzo cha kuibuka kwa chuki miongoni mwa wagombea. Hivi ni mgombea gani atakubali kwamba ameshindwa vibaya ikiwa ‘diary’ yake inaonyesha alikuwa akiungwa mkono na idadi kubwa ya wajumbe wa mikutano husika waliomhakikishia –tutakupa mzee!&lt;br /&gt;Kama wapiga kura wanahitaji kupata heshima kutoka kwa wananchi na thawabu kutoka kwa Mungu, ni vyema wakasimama katika ukweli na kuachana na 'tutakupa mzee' wakati wakijua kuwa hawatatoa kura kwa mtu ambaye hafai kuwa kiongozi wa nchi.&lt;br /&gt;Nina uhakika kuwa kila binadamu awaye yoyote ana utashi na matamanio yake, kwa maana hiyo kila mmoja ana mgombea anayetamani awe kiongozi wake, lakini anaogopa kutamka hadharani kwa kuogopa mtu wake kushindwa na kupata aibu.&lt;br /&gt;Mwanazuoni mmoja wa Marekani, Bernard Malamud, aliwahi kutamka kwamba ni heri wenye kueleza ukweli wa wazi na wakaonekana wabaya, kuliko wanaoeleza unafiki na kuonekana wazuri, kumbe moyoni wamejaa ubinafsi.&lt;br /&gt;Malamud anaeleza kuwa hawa ndiyo huipeleka jamii katika maisha magumu kwa kuwa walionyesha unafiki ambao mara nyingi hauna mwisho mzuri, kwani hubainika baada ya muda hata kama muhusika atakuwa ameingia kaburini.&lt;br /&gt;Hivi nini kinashindikana kuwa wakweli na badala yake watu ‘wanakalia’ unafiki ambao 'udhu' wake haudumu kwa muda mrefu?&lt;br /&gt;Hawa wanaofanya unafiki wa namna hii, wakiwachaganya na kuwarubuni wagombea tuwabebe kwa mbeleko gani ili kuwafikisha kwenye ukweli, uwazi na usafi ambao ni silaha kubwa ya demokrasia na maendeleo?&lt;br /&gt;Tubadilike sasa, inawezekana.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111226922414921173?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111226922414921173/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111226922414921173' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111226922414921173'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111226922414921173'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/03/unafiki-huu-utabebwa-kwa-mbeleko-gani.html' title='Unafiki huu utabebwa kwa mbeleko gani?'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111159173764239770</id><published>2005-03-23T18:25:00.000+03:00</published><updated>2005-03-23T18:28:57.646+03:00</updated><title type='text'>Mishahara ithaminishwe kwa soko la fedha</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;MAANA halisi ya neno mshahara, kwa mujibu wa Kamusi  ya Kiswahili Sanifu ni fedha anazolipwa mtu kila mwezi kwa kazi aliyoajiriwa kufanya.&lt;br /&gt;Katika mazingira ya Tanzania, mishahara ya waajiriwa wengi hutolewa mara moja kwa mwezi, aghalabu kila tarehe ya mwisho ama mwanzo wa mwezi unaofuata.&lt;br /&gt;Lakini basi, katika mataifa mengine, kama Afrika Kusini na Swaziland, waajiriwa hupokea mishahara yao kila inapofika mwisho wa wiki; Ijumaa.&lt;br /&gt;Katika hali ya kawaida, wafanyakazi ama waajiriwa hutegemea mno malipo yao ya kila mwezi kwa ajili ya kuendesha maisha yao ya kila siku pamoja na familia zao kwa matumizi mbalimbali.&lt;br /&gt;Mishahara ndiyo kipato halali kinachokubalika kwa waungwana, ingawa wapo wafanyakazi wanaoishi kwa kupata mapato  ya ziada kwa njia haramu.&lt;br /&gt;Hao wenye kutegemea njia nyingine haramu hufanya hivyo kutokana na kupata mwanya wa kutumia nafasi walizonazo kupata ziada kwa njia za rushwa; lengo lao likiwa ni kuishi maisha ya ukwasi kinyume na mapato yao halali.&lt;br /&gt;Wenye tabia za kupenda kupata mapato yasiyokuwa rasmi, kwa maana ya haramu ndio wanaonekana kuwa na majumba ya kifahari, kusomesha watoto wao nje ya nchi ambako hulipa gharama kubwa, ndiyo hao wanakuwa na hisa kubwa katika kampuni za ndani na hata nje ya Tanzania.&lt;br /&gt;Ama kwa hakika kila mmoja anapenda kuwa na maisha mazuri ambayo yatampa uhuru wa kuchagua ale nini, avae nini, asomeshe watoto wake wapi na kwa gharama gani na atumie chombo gani cha usafiri.&lt;br /&gt;Hata hivyo, kutokana na kubanwa kwa mishahara kutoka kwa waajiri, watu waungwana wasiokuwa na tamaa, wamekuwa wakiishi maisha yanayoonekana kabisa kujaa huzuni hata kama tunakutana nao mijini wakiwa wamefunga tai na kuvaa nguo zinazong'aa na kuvutia.&lt;br /&gt;Idadi kubwa ya waungwana hao wana maisha magumu. Sababu ya kuwa na maisha ya namna hiyo ni kulipwa ujira mdogo usioendana  na soko halisi la fedha kwa wakati husika.&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa waajiri hawana taratibu za kupandisha mishahara mara kwa mara. Wao husubiri kumalizika kwa mwaka mmoja, miwili au hata mitano. Wao wanachoangalia zaidi ni mwajiriwa wake amezalisha kiasi gani.&lt;br /&gt;Kushuka kwa thamani ya shilingi kwao hakuna maana zaidi ya kulalamikia malighafi, gharama za usafiri kuongezeka na masuala mengine yanayohusu uzalishaji wa bidhaa zao ama utoaji wa huduma wanazofanya.&lt;br /&gt;Ni mara chache mno kusikia mwajiri akilalamikia mishahara midogo ya watendaji wake na labda kuwashirikisha ili  kufikia muafaka wa kulipwa kiasi kinachoweza kuwafanya kuishi maisha wanayotaka.&lt;br /&gt;Ieleweke kuwa thamani ya fedha zetu (na za nchi nyingi tu duniani) huthaminishwa kwa soko la fedha kwa maana ya mlinganisho na dola ya taifa kubwa na tajiri la Marekani.&lt;br /&gt; Kiwango cha ubadilishaji hutegemea uimara wa fedha hiyo ya Marekani. Ikiwa thamani yake imeimarika, basi fedha za madafu kama zetu thamani yake inakuwa kubwa zaidi na ikitetereka, shilingi inapanda kidogo.&lt;br /&gt; Ingawa kwa kiwango kikubwa dola ya Marekani huimarika kila baada ya muda mfupi, hata saa nne na chini ya hapo.&lt;br /&gt;Kuimarika kwa dola ya Marekani kuna maana kwamba bei ya bidhaa nyingi kutoka katika nchi hiyo au nchi nyingine zinazouza bidhaa na huduma zao nje huongezeka na kufanya bei ya bidhaa hizo zinapoingia nchini kuuzwa kwa bei ya juu zaidi.&lt;br /&gt;Hali hiyo haionwi na waajiri wengi na wafanyakazi huendelea kuwa na kiwango kile kile cha mishahara hata kama uimara wa dola umeongezeka na kufanya bei za bidhaa na huduma kupatikana kwa kiwango cha kutisha kwa thamani ya shilingi zetu.&lt;br /&gt;Ni kutokana na hali hiyo, kampuni nyingi za nje na hata taasisi zetu za serikali na binafsi zimekuwa zikitoa mishahara kwa thamani ya soko la fedha kwa maana ya kutumia dola ya Marekani kulipa wale wanaoitwa Ma-TX.&lt;br /&gt;Tunao wataalamu wa kigeni kama hao katika wizara na idara zetu za serikali ambao wanalipwa kwa kutumia nguvu ya soko la fedha. Na hali hiyo inawafanya kuwa na maisha mazuri kuliko hata huko kwao wanakotoka zaidi ya watendaji wenye uwezo sawa na wao wenye ngozi nyeusi.&lt;br /&gt;Pamoja na kwamba wapo wanaolipwa na wafadhili wa miradi ya nje, lakini nao pia wamekuwa wakipokea ujira wao kwa nguvu ya soko la fedha na ndiyo. Mishahara yao na marupurupu mengine huchukua sehemu kubwa ya fedha za miradi hiyo na hata mikopo.&lt;br /&gt;Kutokana na hali hiyo, Rais Benjamin Mkapa amewahi kuwaeleza wafadhili wetu kwamba wanalipa wataalamu wanaowaleta kutoka kwao fedha nyingi mno ikiwa ni mishahara, kiasi kwamba asilimia kubwa ya kukamilisha miradi inabaki mifukoni mwa wataalamu hao wanaoishi maisha ya ukwasi wa kutisha.&lt;br /&gt;Ni vyema kiongozi ajaye, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akawa na sera mpya ya kukwamua hali duni za wafanyakazi kwa kuanza kuwalipa mishahara kwa kutumia nguvu ya soko la fedha lililopo. Ikiwa wafanyakazi wataneemeka, basi ni dhahiri kwamba hata wananchi wengine wote watafaidika katika mzunguko wa fedha utakaokuwepo.&lt;br /&gt;Hapa sina maana kwamba kila nguvu ya dola inapoimarika, basi mishahara ibadilishwe, la hasha, bali  kuwepo kwa mlingano wa dola ya Marekani na malipo ya kila mwezi angalau kuwawezesha wafanyakazi kupata mishahara itakayoweza kukidhi mahitaji yao ya lazima.&lt;br /&gt;Mlingano huo unapaswa, angalau kuwa karibu zaidi na gharama za mahitaji ya mwezi kwa mfanyakazi, hii ikiwa ni pamoja na yeye,  mke au mume na watoto angalau watatu. Gharama hizi ni nyumba, chakula, usafiri, matibabu, elimu na hata dharura.&lt;br /&gt;Katika hali ya kawaida, maisha ya wafanyakazi wengi wa Tanzania ni mabaya na hakika maslahi yao yanapaswa kuangaliwa upya.&lt;br /&gt;Malalamiko ya wafanyakazi yamekuwa mengi, lakini kubwa ni kiwango kidogo cha mishahara, hasa kima cha chini (sh. 48,000 sawa na dola za Marekani 48 tu kwa mwezi), kiasi ambacho hakiwezi hata kutosheleza maisha ya wiki moja ya mtumishi wa umma mwenye familia ya watu wanne. Je, wanaishi vipi kwa wiki zingine tatu?&lt;br /&gt;Ikiwa wafanyakazi watalipwa ujira kulingana na soko la fedha lililopo, ni wazi kuwa tija itaongezeka na hata rushwa kupungua&lt;br /&gt;Sasa ni wakati muafaka kwa kiongozi yeyote atakayeingia Ikulu kuhakikisha kwamba anawaondolea manung'uniko wafanyakazi wa Tanzania juu ya mishahara midogo ambayo haitoshelezi wao kuwa na maisha mazuri.&lt;br /&gt;Inawezekana kuwa na Tanzania yenye watumishi wenye neema na wananchi wote kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111159173764239770?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111159173764239770/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111159173764239770' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111159173764239770'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111159173764239770'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/03/mishahara-ithaminishwe-kwa-soko-la.html' title='Mishahara ithaminishwe kwa soko la fedha'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111104276882588649</id><published>2005-03-17T09:55:00.000+03:00</published><updated>2005-03-17T13:02:54.396+03:00</updated><title type='text'>Ngasongwa Rais wa Tanzania</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Jamani,&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Nimepiga hesabu zangu na sasa naona napata jibu sasa; kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne ni Juma Ngasongwa.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Huyu kwa sasa ni Waziri wa Viwanda na Biashara.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Huyu bwana, nimeona dalili zote, sina ujuzi wa Sheikh Yahya, lakini inawezekana kabisa akawa yeye. Dalili hizo kwa sasa nazificha kwa manufaa yangu na watu wangu.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Lakini, hadi leo hajachukua fomu. Ilikuwa achukue jana, lakini hakutokea kwa Mangula kuzipokea na alisubiriwa hadi watu wakakata tamaa, wakaondoka kwenda makwao na wengine kuishia kwenye vibanda vya nyama choma na bia.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Haya tusubiri. Akichukua nawajulisha mapeeema na kuwapa dalili nilizozificha kwa sasa&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;Kila heri kwake na wengine wote waliochukua fomu&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111104276882588649?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111104276882588649/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111104276882588649' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111104276882588649'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111104276882588649'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/03/ngasongwa-rais-wa-tanzania.html' title='Ngasongwa Rais wa Tanzania'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111104211206232060</id><published>2005-03-17T09:42:00.000+03:00</published><updated>2005-03-17T09:48:32.286+03:00</updated><title type='text'>Nani kasema vyuo vikuu ni kwa wawekezaji tu?</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;SIKU kadhaa zilizopita nilielezwa habari kwamba kiongozi mmoja rafiki yangu aliandika barua kwa uongozi wa chuo kikuu akieleza kusikitishwa kwake na kile kinachoweza kutafsiriwa kuwa ‘kushindwa kwa wahitimu kuwaridhisha wawekezaji.’&lt;br /&gt;Mheshimiwa huyo alieleza mengi akionyesha kwamba mambo mengi yaliyokuwa yakisaidia wao kuonekana wana uwezo wakati wakisoma vyuoni, sasa hayapo na  kwamba wanafunzi wengi wanaohitimu vyuo vyetu vikuu sasa wanashindwa kujieleza kwa lugha ya kigeni wanapopata fursa ya kusailiwa na kampuni ama idara zinazodhani kuwa lugha hiyo ndiyo yenyewe! Hakuna tena nyingine, kwamba bila hiyo hakuna ajira, hakuna maendeleo na wala hakuna amani.&lt;br /&gt;Hao nadiriki kueleza kwamba wamepotoka. Hawajui. Ni waongo na wanaonekana kuwa wanafiki wakubwa kwa kushindwa kuwatendea haki Watanzania wenzao.&lt;br /&gt;Inawezekana kabisa kiongozi huyo ninayemheshimu sana, alipata malalamiko kutoka kwa baadhi ya wawekezaji ambao walimweleza kusikitishwa kwao na jinsi wahitimu wa vyuo vyetu vikuu wasivyoweza kumudu kuongea Kiingereza kwa ufasaha.&lt;br /&gt;Mbali na mawazo hayo, mwanazuoni mwingine hivi karibuni alinieleza kwamba hakuna wanafunzi wenye uwezo mkubwa kitaaluma kama Watanzania, isipokuwa wamekuwa wakikwaza na lugha inayotumika. Kimsingi, alieleza kuwa hali hiyo inatokana na kukosa misingi mizuri ya matumizi ya lugha za kigeni kuanzia nyumbani na kufundishwa kwa kiwango cha chini katika ngazi za awali.&lt;br /&gt;Sina ugomvi na mwanazuoni huyu wa mwisho, lakini siungi mkono kabisa mawazo ya kiongozi ambaye inaelekea anataka kuwaeleza Watanzania kwamba vyuo vyetu vinavyotoa elimu ya juu vipo tu kwa ajili ya wawekezaji wenye kukitukuza zaidi Kiingereza.&lt;br /&gt;Kiongozi huyo anasahau kabisa kwamba kuanzishwa kwa vyuo hivyo ni tofauti kabisa na mawazo yake. Anasahau kuwa vyuo vilianzishwa kwa lengo kubwa la kupatikana kwa wataalamu wa kusaidia maendeleo ya nchi katika sekta mbalimbali; za uchumi, elimu, sheria, sayansi, mifugo, siasa na maeneo mengine.&lt;br /&gt;Mbali na kupata wataalamu wa maeneo yanayochochea uhuru zaidi na maendeleo zaidi, wahitimu wa vyuo vikuu tunawatarajia kuwa ‘wachokozi’ wa hoja za kujenga kwa kuwa tunaamini kwamba wana ufahamu mpana wa mambo mengi.&lt;br /&gt;Kwa maana hiyo basi, wahitimu wa vyuo vikuu tunataka wawe vyanzo vya tafakuri jadidi ambazo zitasaidia kujenga mfumuko imara wa mawazo na mtazamo murua wa makubaliano yatakayokwenda sambamba na namna ya kuondoa umasikini, ufisadi, ujinga na mambo yanayofanana na  hayo kwa watu wetu.&lt;br /&gt;Sasa anapoibuka kiongozi akipiga kelele kwamba wahitimu wa vyuo vikuu hawaelewi Kiingereza tumwelewe namna gani?&lt;br /&gt;Hivi ikitokea kwamba wawekezaji wengi ni wafanyabiashara kutoka Bara Hindi; kwa mawazo yake kiongozi huyo atapendekeza vyuo vyetu vikuu vifundishe Kigujarat. Ikitokea wawekezaji ni kutoka Uchina, basi vyuo vifundishe Kichina na ikitokea wawekezaji wengi wanatoka Japan, basi wanavyuo wajifunze Kijapani.&lt;br /&gt;Sina hakika kwa mtazamo wa bwana mkubwa huyo nchi hii itafikia mahali kuwa na maendeleo tunayohitaji ikiwa wengi watakuwa na mawazo hayo; kwamba wahitimu wetu wawepo kwa ajili ya wawekezaji tu.&lt;br /&gt;Ni mtazamo wake huo unaotaka tuwe na picha kwamba wahitimu wetu hawaelewi wanayofundishwa? Je walipataje shahada zao? Au anataka kutulazimisha tuamini kile kinachoelezwa kuwepo kwa upendeleo katika utoaji wa viwango vinavyotakiwa ili mwanachuo kuhitimu vyema na hatimaye kupata shahada yake!&lt;br /&gt;Mbona idadi kubwa ya wanavyuo waliomaliza kabla ya kuwepo wawekezaji ndiyo hao hao leo wanaendelea kufanya kazi za umma na kusaidia hata maendeleo yanayoonekana kuwepo kwa sasa.&lt;br /&gt;Huyu kiongozi anataka kutuambia kwamba kiwango chake cha kujua wahitimu bora ni kuzungumza maneno kama chiriku kwa kutumia lugha ya kigeni? Je hao anajua walikotoka, wamesoma wapi a familia zao ziko namna gani.&lt;br /&gt;Huenda ikawa wanavyuo wengi wametoka katika shule za kawaida ambako mafunzo ya lugha ya Kiingereza, mbali na kutozingatiwa zaidi, hata waliokuwa wakiwafundisha katika elimu za awali; msingi ni wale waliokuwa walimu wa UPE.&lt;br /&gt;Katika mazingira ya namna hiyo, huyo kiongozi anatarajia kuwa na wanavyuo wangapi ambao wanaongea kama chiriku lugha ambayo siyo yao. Lugha ambayo mwanafunzi akitoka tu darasani, tena anapomaliza kipindi mwalimu wa somo hilo, basi yes…yes…yes…zinakufa hadi kipindi kingine.&lt;br /&gt;Imani yangu, kama ilivyo kwa wengi ni kwamba wanavyuo wetu wengi wanaelewa na kufahamu wanachofundishwa ama kukifanya kwa kutumia lugha ya kigeni, lakini wanakwama kuwa wabwabwajaji wazuri wa lugha hiyo ya kigeni kutokana na nilichokieleza awali.&lt;br /&gt;Hali ya namna hiyo ndiyo inayofahamika kwa wengi, na ndiyo maana hata viongozi wetu wa kitaifa wanapotaka kuwasilisha hoja zao vyema kwa Watanzania hawatumii lugha ya kuazima. Wanahofia kuwepo kwa kutokuelewana na kutofikisha ujumbe sahihi kwa walengwa.&lt;br /&gt;Najua wapo viongozi wetu wengi tu wenye mawazo ya kuona kwamba Kiingereza ndiyo chenyewe! Hivi ni lini hawa wataachana na mawazo kama ya mwezao na badala yake wawe na inami kwamba wanavyuo wanapohitimu wanatakiwa kuwa mwanga wa ushirika na wananchi wengine katika kuibua maendeleo zaidi, tena wananchi wengi wakiwa maeneo ya vijijini?&lt;br /&gt;Nani kawaroga hawa na kuwapandikizia mbegu mbaya akilini mwao kwamba elimu kwa wakulima na wafugaji wetu vijijini itatolewa na wale wanaojua Kingereza tu. Wanasahau kwamba wananchi wanaohitaji msaada wa kisheria, elimu ya kujikinga na magonjwa na kufuta ujinga itatolewa tu na wale wenye ufahamu mkubwa wa kupepesa kingo za midomo yao kwa Kiingereza.&lt;br /&gt;Mawazo ya kingozi huyo yananikumbusha kichekesho kingine ambacho kiliniacha ‘hoi’ kwamba taasisi za kuendeleza Kiswahili zinapotoa taarifa zake kwa umma zinaandika kwa lugha ya kukopa; Kiingereza! Na wanaowaandikia ni Waswahli wenzao. Inasikitiha na kushangaza kweli!&lt;br /&gt;Hivi kweli katika hatua za namna hii kuna nia ya kukuza Kiswahili chetu, ama tunadanganyana tu kwa mbwembwe ambazo zinawapendezesha zaidi wawekezaji na Wazungu wengine huku tukisahau kabisa kinachotakiwa kufanywa kusaidia lugha yetu na maendeleo yetu kwa ujumla?&lt;br /&gt;Iwapo nchi itaendelea kuwa na watu wetu wenyewe ‘wanaokiponda’ Kiswahili, bado safari ya maendeleo itakuwa ndefu mno na mwisho wake kuwa mbali tofauti na tunavyofikiria.&lt;br /&gt;Tunaowatarajia kukitetea Kiswahili wanashindwa kutekeleza majukumu yao ingawa wanajua kwamba muda utafika na wenye mitazamo sahihi wataamua kwamba lugha yetu ndiyo mhimili wa maendeleo yetu na siyo vinginevyo.&lt;br /&gt;Hebu tujiulize, ni nchi gani ambayo leo hii inafurahia hatua kubwa za maendeleo kwa kuwa tu zilitumia lugha za kukopa?&lt;br /&gt;Hivi tunasubiri hata hili nalo tufundishwe na Bill Gates ambaye, pamoja na kutaka soko la wanaozungumza Kiswahili kwa ‘zana’ zake za kompyuta, lakini pia anafanya kazi ya kukuza lugha ambayo inaonekana kukua kwa kasi, bila kujali unafiki wa watu wetu.&lt;br /&gt;Kiswahili oyeeee.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111104211206232060?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111104211206232060/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111104211206232060' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111104211206232060'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111104211206232060'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/03/nani-kasema-vyuo-vikuu-ni-kwa.html' title='Nani kasema vyuo vikuu ni kwa wawekezaji tu?'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111047018902965718</id><published>2005-03-10T18:50:00.001+03:00</published><updated>2005-03-10T18:56:29.043+03:00</updated><title type='text'>Matokeo ni kipimo cha Watutsi</title><content type='html'>MWISHONI mwa wiki iliyopita, wananchi wa Burundi waliyapokea matokeo ya kura ya maoni waliyopiga mwishoni mwa Februari, mwaka huu kwa furaha kubwa.&lt;br /&gt;Furaha yao ilitokana na ukweli kuwa walichotazamia ndicho kilichotokeo, kwamba wengi walikubaliana na utaratibu wa kuwa na Katiba mpya ambayo kimsingi inaonekana kuwa 'dawa' ya kumaliza tofauti zao na hatimaye kukomeshwa kabisa vita vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vimemaliza uhai wa idadi kubwa ya watu na kufifisha maendeleo ya nchi hiyo.&lt;br /&gt;Takwimu zinaonyesha kuwa zaidi ya watu 300,000 wamekufa nchini humo katika mapigano na uhasama wa wenyewe kwa wenyewe ambao umedumu kwa zaidi ya miaka 12.&lt;br /&gt;Inaonekana kuwa waliojiandikisha walikuwa milioni  3.1, na kwamba asilimia 88 ya idadi hiyo walijitokeza kupiga kura hiyo ya maoni huku asilimia 90 ya idadi hiyo ikipiga kura za ndiyo kwa Katiba mpya.&lt;br /&gt;Matokeo ya kura hiyo yana maana kwamba sasa kutafanyika uchaguzi wa amani ambao utakuwa wa kidemokrasia zaidi, badala ya kushuhudia 'uchafu' mwingi kama uliokuwa ukijitokeza katika uchaguzi uliopita. Uchaguzi wa wabunge unatarajiwa kufanyika mwezi Aprili, mwaka huu.&lt;br /&gt;Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo vinatokana hasa na uhasama wa kikabila baina ya Wahutu ambao ndiyo wengi na Watutsi wanaowakilisha jamii ndogo.&lt;br /&gt;Wahutu wanatajwa kuwa asilimia 85 ya Warundi wote, Watutsi asilimia 14 na idadi inayobaki inagawanywa kwa makabilia madogo madogo yaani asilimia moja tu. Burundi ina watu karibu milioni saba.&lt;br /&gt;Katika Katiba mpya, Wahutu watakuwa na wabunge asilimia 60, huku Watutsi wakipata wabunge asilimia 40 ya wabunge wote. Kunatarajiwa kuwa na wabunge 200.&lt;br /&gt;Mbali na idadi hiyo ya wabunge, pia Katiba hiyo inaeleza wazi kwamba nafasi za juu za uongozi jeshini zitagawanywa kwa idadi sawa miongoni mwa maofisa waliopo wa makabila hayo. Ingawa ukweli ni kwamba hadi sasa wapo Watutsi wengi wenye vyeo zaidi ya Wahutu. Kwa hiyo, inawezekana kabisa Wahutu wakapandishwa kwa wingi kufikia vyeo vinavyotakiwa.&lt;br /&gt;Mengi yanaweza kuelezwa kutokana na makubaliano hayo, kubwa likiwa kwamba je Watutsi kweli watakubaliana na Katiba hii mpya au wamesukumwa tu kimkumbo na Wahutu ambao ni wengi?&lt;br /&gt;Swali hili ndilo litakaloulizwa na wengi, hasa wasiopenda matokeo yaliyopatikana. Matokeo hayo, pamoja na ukweli kwamba ni nguvu ya Wahutu kwa kuwa wako wengi, lakini yanaonyesha jinsi kundi la watu hao lisivyokuwa na uchoyo wala uchu wa madaraka. Limeamua kugawana na kaka na dada zao ili kuleta amani.&lt;br /&gt;Wengine watasema, ikiwa ni demokrasia ndiyo lengo hasa la kura ile ya maoni, kwanini misingi ya mfumo wa uchaguzi wa demokrasia usichukue mkondo wake bila kujali idadi ya watu? Hii ina maana kwamba kila mtu awe na kura moja na kusiwe na ulazima wa kujali makundi ambayo yanapendelewa, kama inavyoonekana sasa kwa Watutsi.&lt;br /&gt;Historia inaonyesha kwamba Burundi kama ilivyo Rwanda, ina idadi ndogo ya Watutsi, lakini ndio wenye sauti na wasiopenda kuona kundi jingine likiongoza. Mifano ya hali hii ipo na ndiyo ukweli. Watutsi wao wanajiona na kujithaminisha kwamba ni 'wateule'; kazi yao kubwa ikiwa kuongoza makundi mengine.&lt;br /&gt;Lakini basi, matokeo ya kura hiyo ya maoni pamoja na mgawanyo wa madaraka unaotakiwa kufuatwa na Katiba hiyo, ni tunu kwa wapenda amani wote, hasa Waafrika wenyewe wakiongozwa na Tanzania.&lt;br /&gt;Ikumbukwe kwamba Tanzania ndiyo nchi ya kwanza iliyobeba mzigo mzito wa kuwasuluhisha Warundi, kazi iliyofanywa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere (Mungu amumweka mahali pema) na baadaye kuchukuliwa na Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ambaye naye alimpa majukumu Makamu wa Rais wa nchi yake, Jacob Zuma.&lt;br /&gt;Wote hao kwa njia moja wamekuwa wakipigania amani kutawala nchini humo kwa kujua kwamba Afrika ni moja na watu wake ni ndugu. Viongozi hao wenye kutukuka wameendelea kuwa na imani kwamba migogoro ya Afrika itatatuliwa na Waafrika wenyewe bila kusubiri 'wajomba' kutoka Marekani na Ulaya.&lt;br /&gt;Wapenda amani wote watafarijika zaidi kuona Watutsi sasa wakiaachana na mawazo kwamba wao ndiyo nguzo ya uongozi na kukubaliana na utaratibuu uliopendekezwa katika Katiba mpya ya Burundi yenye mtazamo wa kuleta, siyo amani tu, bali maendeleo endelevu ya nchi hiyo.&lt;br /&gt;Dunia itawashangaa mno Watutsi watakaposimama dede tena wakianzisha mapinduzi kwa lengo tu la kutaka wao waongoze.&lt;br /&gt;Katiba ya sasa ya Warundi haina kinyongo na mtawala yoyote awe Mtutsi ama Mhutu, lakini kikubwa ni kwamba wote wafuate matakwa ya Katiba na mtazamo wa wananchi wote bila kujali makundi.&lt;br /&gt;Kuwepo kwa wanachama wa Kitutsi katika chama cha FRODEBU chenye idadi kubwa ya Wahutu na kuwepo kwa Wahutu kwenye chama cha UPRONA ambacho kina Watutsi wengi ni budi kuendelezwa na kuchukua sura ya Katiba mpya ambapo umoja na mshikamano utaongezeka na kuimarika kwa mema ta Burundi na Afrika kwa ujumla.&lt;br /&gt;Kuwepo kwa mchanganyiko wa wanachama wa makabila hayo makubwa ni dalili njema ambazo hakika zinapaswa kuendelezwa na ikiwezekana kuondoa chembe za ubaguzi ndani ya vyama vyote 21 vya siasa vyenye usajili nchini humo.&lt;br /&gt;Utengano wa kikabila ukiondoka kwenye vyama, kama inavyohimizwa na Katiba mpya, kutasukuma kuondoka kwa ubaguzi katika makazi na hatimaye jamii nzima ya Warundi.&lt;br /&gt;Kila kitu kinawezekana. Basi, iwezekane kwa Warundi pia. Umoja wenye nguvu zaidi upatikane na kuwepo kwa Burundi yenye mwanga wa maendeleo bila wananchi wake kuwa na wasiwasi kwa kuwa tu jirani yake ni Mhutu au kuwa na shaka kwa kuwa jirani yake ni Mtutsi.&lt;br /&gt;Katiba Mpya, Mtazamo Mpya, Maendeleo Endelevu ndiyo viwe dira na silaha kubwa kwa mustakabali wa Burundi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111047018902965718?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111047018902965718/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111047018902965718' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111047018902965718'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111047018902965718'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/03/matokeo-ni-kipimo-cha-watutsi_10.html' title='Matokeo ni kipimo cha Watutsi'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-111003857424170151</id><published>2005-03-05T18:58:00.000+03:00</published><updated>2005-03-06T09:16:37.533+03:00</updated><title type='text'>Nani kawapokonya ‘moyo’  wa kuona wagonjwa?</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;KILA kiumbe mwenye nyama, mifupa, damu na maji mwilini anaugua, anakufa na anapata matatizo kadha wa kadha ya afya. Hakuna anayeweza kutamba kwamba yeye ni bingwa wa kukwepa ajali wala ‘kukimbia’ matatizo mengine ya kiafya.&lt;br /&gt;Haijalishi wewe una mali kiasi gani. Una usomi kiasi gani na una cheo kikubwa kiasi gani katika kampuni, serikali ama katika taasisi za binafsi na hata dini.&lt;br /&gt;Wote tunaugua. Tunakufa na tunapata matatizo mengi kila kukicha.&lt;br /&gt;Ni kweli wapo wanaoweza kujaribu kukwepa magonjwa yanayoepukika kwa kiasi kikubwa, lakini siku ya siku hujikuta wakiwa mahututi vitandani wakijiuguza kwa malaria, ukimwi, homa na mengine yanayofanana na hayo.&lt;br /&gt;Vyandarua vinatumika. Dawa za kudhibiti zinatumika. Kinga zinatumika na bila kusahau tahadhari, lakini bado magonjwa hayo na yenye ujirani nayo yanawakabili binadamu na yanaonekana kutopungua licha ya kazi kubwa zinazofanywa na serikali kutangaza namna ya kukabiliana nayo.&lt;br /&gt;Inaonekana kabisa idadi ya wagonjwa wa magonjwa mengi haipungui na inaongezeka kila uchao. Takwimu nyingi zinazotolewa na wataalamu wetu wa afya hazina ukweli wa hali halisi, kiasi ambacho kinaweza kufanya watu kujipa moyo kwamba hali ni shwari, kumbe ni kinyume chake.&lt;br /&gt;Vitanda vilivyoko katika hospitali zetu, zahanati na wakati mwingine kliniki vinabeba idadi kubwa ya wagonjwa. Wapo wanaougua kwa muda mrefu. Wapo wanaougua kwa muda mfupi. Miongoni mwao wapo wanaopona na kuruhusiwa na wengine hupoteza maisha.&lt;br /&gt;Wagonjwa wengine huugulia na kupata tiba majumbani kwao ama kwa jamaa zao. Hawa nao kama walivyo wale wanaotibiwa hospitali, idadi yao ni kubwa na inaongezeka.&lt;br /&gt;Inaonekana kabisa kwamba katika kipindi hiki ambacho madaktari wanakuwa wengi zaidi na kuwa na utaalamu mkubwa zaidi, magonjwa nayo yanaongezeka, tena yakiibuka kwa usugu mkubwa unaotisha.&lt;br /&gt;Kwa hiyo basi, wagonjwa wataendelea kuwepo sambamba na kuwepo kwa idadi kubwa matabibu na vifaa vya kisasa kabisa vya kutoa nafuu kwa wagonjwa.&lt;br /&gt;Nakumbuka zamani, haikuwa taabu kumsikia mtu akitoka kazini na kuaga kwamba anapita hospitali kusalimia wagonjwa. Haikuwa lazima awe na ndugu ama jirani zake kwenda kusalimia.&lt;br /&gt;Wengi walikuwa wanakwenda kutoa pole kwa wagonjwa hata wasiowafahamu ama kuwa na uhusiano nao. Kilichokuwa kikifanyika ni mtembelea wagonjwa anapoingia wodini ni kuanza kusalimia wagonjwa na kuwapa pole.&lt;br /&gt;Idadi kubwa walikuwa wakienda kutoa pole wakiwa na vijizawadi. Wapo waliobeba matunda, maji na vitu vingine vinavyofanana na hivyo.&lt;br /&gt;Mhusika alikuwa akichukua vijizawadi kulingana na uwezo wake na haikumlazimu kugawa wodi zima, bali kwa watu wachache kutegemea na uwezo wa ‘mfuko’ wake siku hiyo.&lt;br /&gt;Hakika hii ilikuwa picha nyingine muhimu iliyokuwa ikielezea maisha ya Watanzania wengi ilivyokuwa. Kwamba ni watu wenye upendo, ushirikiano na kuthamini utu wa wengine.&lt;br /&gt;Watu hawakusubiri wakati wa sherehe za kidini kama Krismas, Idi ama Diwali kwenda kuwaona na kuwajuliana hali wagonjwa. Ilikuwa ni kama ratiba kwa baadhi ya watu kwamba watakwenda wodini ama majumbani kwa wagojwa mara moja kwa mwezi ama tatu…nne na wengine walijiwekea utaratibu wa kila mwisho wa wiki.&lt;br /&gt;Sina uhakika ni nani amewaroga Watanzania kiasi cha kuipoteza tabia hiyo adhimu ambayo hata ilifika mahali majirani zetu wakatuona ni ‘wendawazimu’ wakidai kwamba Tanzania kuna muda wa kupoteza!&lt;br /&gt;Hao ndiyo walikuwa majuha kweli. Hakuna aliyewasikiliza na utaratibu huo uliendelea siku nyingi mno. Hata baadhi ya walio vijana leo waliendeleza tabia hizo kutoka kwa wazazi na walezi wao.&lt;br /&gt;Haikuwa kupoteza muda. Haikuwa kupoteza fedha. Haikuwa kujipendekeza kwa mtu awaye yote. Ilikuwa ni hali ya upendo na kufuata taratibu za kistaarabu, siyo lazima za dini.&lt;br /&gt;Majirani zeru hao pia walidai kwamba eti Watanzania wanaogopa kifo, kwa hiyo walikuwa kijijengea namna ya kuwa karibu na Muumba kwa kufanya mema kwani imeandikwa katika vitabu vitakatifu kwamba anayejali wagonjwa ana ongeza thawabu zake mbinguni.&lt;br /&gt;Hawa nao ni ‘wakora’. Wanakuja na hoja kwamba mbona sasa hakuna watu wanaotembelea hospitali kusalimia wagonjwa. Wanadai kuwa hivi sasa watu wanaona kifo ni kitu cha kawaida. Ehhh makubwa!&lt;br /&gt;Wengine wanadai kwamba hali ya uchumi wa mtu mmoja mmoja ni mbaya, hivyo hakuna anayeweza kuruhusu familia yake kufa njaa kwa kuwapelekea zawadi za pole wagonjwa.&lt;br /&gt;Hivi nani kawaeleza kwamba kutembelea wagonjwa kunahitaji fedha. Kwani nani analazimishwa kuwanunulia matunda ama maji yake na maji ya kawaida ya kunywa. Nani?&lt;br /&gt;Kinachoonekana sasa ni kurogwa. Tena kurogwa kweli. Hivi kwanini tusirejee kwenye utamaduni wetu wa kutembeleana jamani. Tuanze sasa.&lt;br /&gt;Wale wachache wanaoonekana kutoa michango ama vijizawadi vyao kwa wagonjwa wanataka eti hadi kuwepo na ITV, Channel Ten, DTV, Star TV, Channel 5, magazeti na hata mapaparazi wa magazeti ili mashemeji, wajomba na wake ama waume zao wawaone wakikenua mijino yao wakati wameshikana mikono na wakubwa wa hospitali wanaopokea misaada kwa niaba ya wagonjwa.&lt;br /&gt;Kama hakuna vyombo vya habari, basi anaahirisha msaada wake hadi ifanyike kazi ya ziada kuwapata mapaparazi hao.&lt;br /&gt;Hali hii ni hivyo hivyo kwa wale wanaotoa misaada kwa watoto yatima, wasiojiweza kutokana na umri na binadamu wenzetu wengine ambao wanaonekana kuwa na upungufu katika maumbile yao.&lt;br /&gt;Kila mmoja anaweza kutoa michango kwa moyo wa dhati bila kujali kutangazwa ama kujulikana na watu wa namna hii ndiyo, huenda kwa kiasi kikubwa, wakaiona pepo inayoelezwa kwenye vitabu vitakatibu.&lt;br /&gt;Leo waweza kuwa wewe, mtoto wako, mke, baba, mama na jamaa katika familia yako akakumbwa na tatizo la afya na kukuta akilala kitanda cha hospitali bila kutarajia. Nani anapenda kuona mwili wake ukisumbuliwa kwa sindano ama vidonge kila mara. Hakuna.&lt;br /&gt;Uzima wako leo usikufanye kuwa mwendawazimu wa kiburi cha uzima, wakati huyajui ya kesho.&lt;br /&gt;Tukatae kurogwa. Inawezekana. Tuwape pole wagonjwa kwa kuwatembelea hata tukiwa mikono isiyolambwa kwa ‘kuzezema’ mafuta na asali.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-111003857424170151?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/111003857424170151/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=111003857424170151' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111003857424170151'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/111003857424170151'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/03/nani-kawapokonya-moyo-wa-kuona.html' title='Nani kawapokonya ‘moyo’  wa kuona wagonjwa?'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110974503425194763</id><published>2005-03-02T09:27:00.000+03:00</published><updated>2005-03-02T09:30:34.253+03:00</updated><title type='text'>Yuko wapi mgombea mwenye usafi wa theluji</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;NAKUMBUKA  vyombo vya habari vya Marekani vilivyokuwa vikiwachafua wagombea Urais wa nchi hiyo mwaka jana, 2004.&lt;br /&gt;Kilichokuwa kikiandikwa ama kutangazwa na vyombo hivyo ni kichekesho. Ilikuwa ni kuchafuana tu. Na hakika watu walipenda kusoma uchafu huo kwa kila mmoja kuwa na matakwa yake.&lt;br /&gt;Wengine walitaka kucheka tu. Wengine walitaka kujua maisha ya undani ya wagombea, lakini kubwa lilikuwa kwa wauza magazeti. Wao walitaka kuuza magazeti yao kwa kuandika chochote.&lt;br /&gt;Ingawa ni kweli, kwa kiasi kikubwa kilichokuwa kikiandikwa kilithibitishwa kwa asilimia chache na hata na wagombea wenyewe wakuu, John Kerry wa Democrat na George W. Bush wa Republican. Mgombea binafsi Raph Nader yeye hakuwa na matatizo sana na vyombo hivyo.&lt;br /&gt;Kilichotawala zaidi ni kuandikwa kwa maisha binafsi zaidi kwa maana ya kuchafuliana. Magazeti yalikuwa yakiandika kushindana ni mgombea yupi kati ya Bush na Kerry aliwahi kuua watu wengi wasiokuwa na hatia walipokuwa vitani.&lt;br /&gt;Gazeti moja likiandika Kerry ndiye aliyeua zaidi, gazeti jingine linaibuka kwamba siyo kweli na kutoa takwimu kwamba ni Bush.&lt;br /&gt;Chombo kimoja kikiandika kwamba Bush alikuwa mvuta bhangi kingine kinakanusha kwa kueleza kwamba ni Kerry ndiye alikuwa gwiji wa misokoto mingi kwa siku.&lt;br /&gt;Kali zaidi ikawa ni nani miongoni mwao alikuwa mtu wa watoto; aliyekuwa hodari wa kutembea na vimwana alipokuwa bado na ‘nguvu’ za kuzunguka kutoka nafasi moja hadi nyingine.&lt;br /&gt;Ama hakika ilikuwa ni burudani ya aina yake kusoma magazeti hayo; mchezo ambao haukuyatofautisha magazeti makini wala yale yaliyozoeleka ya udaku. Kilichokuwa kinachimbuliwa ni kile cha miaka mingi ya nyuma.&lt;br /&gt;Huko kulikuwa ni kuchafuliana. Hakuna maana nyingine iliyoweza kuelezwa na yote yaliyokuwa yakiandikwa. Kila chombo kilikuwa kinapigia debe mgombea wake.&lt;br /&gt;Hayo ya Marekani sasa ndiyo yanajitokeza hapa kwetu, ambapo wote wanaoonyesha nia ya kutaka kugombea ama waliojitangaza tayari kupitia Chama Cha Mapinduzi ‘wanashushiwa’ kile kinachoelezwa na vijana wa kisasa kuwa Tsunami; kwa maana ya nyundo ya kuwamaliza.&lt;br /&gt;Wanaofanya hivyo siyo wengine ni vyombo vya habari kwa namna mbili, kwanza kwa kutumiwa  na watu wenye nia kwa wagombea ambao wanadhani wana nguvu zaidi, ama kwa magazeti yenyewe kuwapendelea wanaodhani wanafaa kushika nafasi ya urais wa Tanzania.&lt;br /&gt;Pamoja na kwamba hadi sasa bado hatujashuhudia machafu zaidi, lakini kinachoandikwa  kinatia kichefuchefu, kwa kuwa habari zenyewe zinakosa kichwa wala miguu, zinaibuka tu- bila kuwa na misingi thabiti ya uandishi wa habari.&lt;br /&gt;Magazeti yanaibuka na habari kwamba Fulani hafai kwa kuwa ni mzee, eti ana mvi nyingi, eti ni kijana- kwamba atavuruga nchi, haaminiki, akiibuka mrefu magazeti yanakuja na habari kwamba ni mrefu sana, hafai atafanya kuwepo kwa marekebisho ya kiti chake katika ndege ya rais, akiwa mfupi magazeti hayo hayo yatakuja na habari kwamba hafai kwa kuwa akikaa kwenye kiti hicho hicho atakuwa akining’iniza miguu. Alimradi hakuna kizuri kwa yeyote.&lt;br /&gt;Ni  kwa kugundua au kuona kuwepo kwa hali hiyo, Mwenyekiti wa CCM, Rais Benjamin Mkapa amewatahadharisha wote wenye nia ya kugombea nafasi ya Urais kuacha kabisa biashara ya kupakana matope.&lt;br /&gt;Anawataka wote kutumia njia za kuomba ridhaa, kwanza ya wanachama kwa amani na utulivu na kwa njia za kistaarabu badala ya kuanza ‘kuvuana’ nguo mbele ya umma.&lt;br /&gt;Mkapa akatanabaisha kwamba atakayegundulika kufanya kampeni chafu za namna hiyo atakuwa anakosa sifa za kuwa kiongozi bora anayeweza kuteuliwa na CCM kuwa mgombea wake.&lt;br /&gt;Mbali na Mkapa, CCM ina taratibu zake ilizojiwekea kumpata mgombea wake, ambaye kwa hakika ndiye atakuwa kiongozi wa nchi hii, na sifa hizo zimepitishwa na Chama hicho makini lengo likiwa ni kumpata nahodha atakayeendesha vyema ngalawa ya maendeleo yaliyopo na kuyazidisha.&lt;br /&gt;Taratibu hizo ziko bayana na miongoni mwake ni pamoja na kiongozi anayefaa  kuwa mwepesi kujirekebisha. Awe tayari kukosolewa na kukubali kwamba amekosa, hata kama siyo hadharani na kurejea alipojikwaa na kusimama imara huku akitanguliza mguu wake wa kulia ama kushoto kuanza ‘marathoni’ ya kuwakomboa Watanzania na umasikini, magonjwa na ujinga.&lt;br /&gt; Hakuna binadamu awaye yote asiyetenda makosa ama kwa kutambua au kutotambua, ndiyo maana kuna neno kutubu hata katika vitabu vitakatifu.&lt;br /&gt;Watanzania wenzangu hasa mashabiki wa wagombea watarajiwa ama wale waliojitangaza, ni vyema wakaibuka na hoja za maana katika kumuuza mtu wanayemtaka, badala ya kutumia magazeti kuwauzia wananchi ‘uchafu’ wa mmoja na mwingine ambao hautusaidii katika mustakabali wa nchi yetu.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110974503425194763?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110974503425194763/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110974503425194763' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110974503425194763'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110974503425194763'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/03/yuko-wapi-mgombea-mwenye-usafi-wa.html' title='Yuko wapi mgombea mwenye usafi wa theluji'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110974481760855453</id><published>2005-03-02T09:24:00.000+03:00</published><updated>2005-03-02T09:26:57.613+03:00</updated><title type='text'>Bravo RPC Mssika</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:85%;"&gt;KWA muda wa miaka miwili, safu hii iliyokuwa ikitoka katika gazeti dada la hili, Mzalendo linalochapishwa kila Jumapili ilisimama kutokana na sababu zilizoshindwa kuzuilika.&lt;br /&gt;Sasa safu imerudi na itakuwa ikichapishwa kila Alhamisi. Ni matumaini yangu kwamba wapenzi wa safu hii watafurahi kuisoma na kuendelea kupata mtazamo mpya katika masuala mbalimbali, hasa yanayogusa moja kwa moja maisha ya Watanzania.&lt;br /&gt;Ni matumaini yangu kuwa wapenzi na mashabiki wa zamani na wapya wa safu hii wataendelea kuniunga mkono na kunitia moyo. Kama ilivyokuwa awali, mashabiki wako huru kutoa mawazo yao kwa maana ya kupongeza, kushauri na hata kujadili kwa hoja zenye kujenga, lengo likiwa ni kuboresha.&lt;br /&gt; Safu hii haitasita kusifu, kukemea, kushauri na hata kuonya  kama ilivyokuwa ikifanya na hiyo ndiyo nafasi yake katika kuijenga jamii yetu ambayo inapambana kuondokana umasikini wa mali na hata fikra.&lt;br /&gt;Katika ufufuo wa safu hii leo, nazungumzia suala zima la usalama wa raia na mali zao katika mkoa wa Shinyanga. Nakumbuka vyema kwamba mkoa huo wenye wakazi wengi wa kabila la Wasukuma haukuwa na amani kwa maana kwamba wezi, majambazi na hata majangili walikuwa wengi. Maisha ya raia yakawa ya wasiwasi iwe mchana kweupe ama usiku wa giza nene.&lt;br /&gt; Mbali na watu hao wabaya, wauaji nao hawakuwa haba, walikuwa wakiua, kama mvua kinamama wazee kwa tuhuma za uchawi. Ama hakika ajuza hawakuona raha ya kuendelea kuishi. Muda wote roho zao zilikuwa juu juu wakitegemea kutokea kwa wakata mapanga.&lt;br /&gt;Wafanyabiashara nao hawakuwa na raha hata kidogo. Muda wote walikuwa na wasiwasi wa kuvamiwa na kuporwa mali na fedha zao na wakati mwingine hata roho zao huku wanafamilia wao wakifanyiwa vitendo vya kinyama ikiwemo kubakwa.&lt;br /&gt;Ni kutokana na hali hiyo, idadi kubwa ya wafanyabiashara wenye asili ya Asia waliongeza kasi ya kuhama Shinyanga na kwenda maeneo mengine ambako wana hakika ya kufanya shughuli zao bila woga mkubwa.&lt;br /&gt;Wauzaji wa madini  ya dhahabu na almasi, yaliyojaa katika ardhi ya mkoa huo, hawakuwa na raha na kazi zao; kisa kuvamiwa na manyang’au na maharamia wenye uchu wa kutajirika haraka.&lt;br /&gt;Ama hakika, habari za wafanyabiashara kuuawa, ajuza kukatwa mapanga na hujuma  zingine za aina hiyo zilikuwa zimezoeleka masikioni mwa wananchi wa huko na hata maeneo mengine ambako taarifa hizo zilifika.&lt;br /&gt;Hata wageni nao wakaanza kuogopa kutembelea maeneo mengi ya mkoa huo wakiwa na vijisenti vyao. Maharamia hayana dini, hata kama waliokuwa wamebeba vijisenti vichache kupelekea wazazi wao wakawa wagumu kwenda kwao.&lt;br /&gt;Kwa ujumla, hali ya usalama katika mkoa wa Shinyanga, hasa mjini, wilaya ya Kahama na maeneo mengine ilikuwa mbaya mno. Hali ilikuwa inatisha.&lt;br /&gt;Hata hivyo, baada ya hali hiyo kuwasumbua wakazi wa mkoa huo kwa muda mrefu, hatimaye nuru ya amani na usalama ilichomoza baada ya Afande Abdallah Mssika kuhamishiwa katika mkoa huo akiwa Mkuu wa Polisi wa Mkoa mwaka 2003.&lt;br /&gt;Kuwasili kwa Afande Mssika, awali hakukuonyesha tofauti kubwa ya kuwepo kwake na wale waliomtangulia, kwani matukio ya kutisha yaliendelea kutokea.&lt;br /&gt;Medani za kijsehi suala la Mssika kuonekana hana tofauti na waliomtangulia linaeleweka vyema kwani ndiyo kwanza alikuwa akisoma mazingira mazima ya kuwepo kwa matukio hayo.&lt;br /&gt;Hatimaye baada ya kukamilisha uchambuzi na upembuzi wake, Afande Mssika,  mwenyewe kwa kushikiana na vijana wake wa kazi, aliingia ‘msituni’ na kuanza mashambulizi mazito.&lt;br /&gt;Inaelezwa kwamba alichofanya Afande Mssika ni kuhakikisha kwamba wafanyabiashara wote wakubwa waliokuwa wakitajwatajwa kushirikiana na majambazi na maharamia wanahojiwa na yeye mwenyewe.&lt;br /&gt;Mbali na hao, aliwahoji watu wote vijijini waliokuwa wakitajwa kuhusika katika masuala ya kuwaua bibi wenye macho mekundu kwa tuhuma za uchawi.&lt;br /&gt;Mbinu hiyo aliyotumia Mssika pamoja na zingine, baada ya muda mfupi ilizaa matunda  kwani wizi wa kutumia silaha, uharamia na hata mauaji ya bibi wenye macho mekundu ulipungau kwa kiasi kikubwa.&lt;br /&gt;Mbali na juhudi hizo za jeshi la polisi, pia kupungua kwa kiasi kikubwa kwa uharamia kulitokana na wananchi, raia wema kuwa na imani na jeshi la polisi kwa maana kwamba walianza kutoa taarifa sahihi kwa jeshi hilo. Hawakuwa tena na wasiwasi kwamba siri wanazotoa kwa jeshi zitavuja na kuwafikia wahusika wanaotajwa na kuwa mwisho wa watoa siri.&lt;br /&gt;Inaonyesha kwamba raia wema walipoteza imani na jeshi hilo mkoani humo kwa kuwa waliokuwa wakipewa siri walikuwa wakizivujisha kwa wezi, majambazi na wauaji na wao maisha yao kuwa hatarini. Nani anakubali kufa kwa kutoa taarifa ambazo baadaye zinavuja ? Hayupo.&lt;br /&gt;Taarifa zinaonyesha kwamba hadi kufikia mwaka 2003, mkoa wa Shinyanga ulikuwa miongoni mwa mikoa iliyokuwa ikiongoza nchini kwa kuwa na matukio ya kinyama dhidi ya binadamu yanayofanywa na binadamu wenzao wenye roho za paka.&lt;br /&gt;Kazi ya polisi ni kulinda raia pamoja na mali zao, lakini wananchi wanaolindwa wanapokosa uaminifu kwa jeshi lao wenyewe, kazi ya walinzi hao inakuwa haina maana na kuwepo kwao kunatia shaka.&lt;br /&gt;Hata hivyo, wanapopatikana viongozi wenye mtazamo wa dhati wa kutenda kazi zao ipasavyo, wananchi wanaishi maisha ya raha na kuondokana na wasiwasi ambao hauwatofautishi na wakimbizi katika nchi yao.&lt;br /&gt;Kazi anayoendelea kuifanya Afande Mssika inapaswa kupongezwa  na kuigwa na askari wote. Na ieleweke kwamba utendaji unaoonekana kutukuka wa Mssika haukuanzia Shinyanga, ngazi zote alizopita askari huyo mkakamavu zinadhihirisha anavyoweza kujituma kuitumikia nchi na watu wake.&lt;br /&gt;Bravo Afande Abdallah Mssika.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110974481760855453?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110974481760855453/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110974481760855453' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110974481760855453'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110974481760855453'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/03/bravo-rpc-mssika.html' title='Bravo RPC Mssika'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110898937149190496</id><published>2005-02-21T15:32:00.000+03:00</published><updated>2005-03-02T09:23:15.680+03:00</updated><title type='text'>KONA HIIIIIYOOOOO IMERUDI</title><content type='html'>&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Jamani huwezi kuaminiu, baada ya kuwa imekwama kwenye kompyuta zetu na kwenye ubongo wangu bila kuwafikia wasomaji wangu, hatimaye safu yangu iliyokuwa ikitoka kwenye gazeti la Mzalendo, sasa imeruhusiwa kuanza kutoka tena.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Ingawa sasa inatoka kwenye gazeti la kila siku la Uhuru kila Alhamisi&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Ni mapinduzi makubwa, wasomaji watarajie mtazamo mpya wa fikra mpya.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Tuwe pamoja.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110898937149190496?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110898937149190496/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110898937149190496' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110898937149190496'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110898937149190496'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/02/kona-hiiiiiyooooo-imerudi.html' title='KONA HIIIIIYOOOOO IMERUDI'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110708055804827904</id><published>2005-01-30T13:17:00.000+03:00</published><updated>2005-01-30T13:22:38.050+03:00</updated><title type='text'>Sumaye atangaza kuwania Urais</title><content type='html'>Mtendaji Mkuu na msimamizi kiongozi wa shughuli za serikali, Waziri Mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Frederick Tluway Sumaye amevunja kimya na sasa anawania nafasi ya juu kabisa ya uongozi; Urais.&lt;br /&gt;Anasema kwamba ameamua kuingia katika knyang'anyiro hicho kwa kuwa ana uwezo wa kuongoza nchi. Pia anaeleza kwamba anahitaji kuendeleza mazuri yote ya Mkapa na kuyaboresha yale ambayo yalionekana kusuasua.&lt;br /&gt;Pamoja na hivyo, amesema kwamba anataka kuwaonyesha wapinzani wake, hasa magazeti yaliyokuwa yakimsakama kwa kutumiwa na maadui zake, kwamba yote mabaya yanayosemwa juu yake niuzushi, hayana maana.&lt;br /&gt;Mie, kama walivyo Watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yao, namtakia kila jema katika safari yake.&lt;br /&gt;Naomba na wengine wenye kudhani kwamba wanaweza kuwakwamua Watanzania wachukue fomu za kugombea Urais.&lt;br /&gt;Natamani nami niwe mmoja wao, lakini hiyo milioni moja ntaipata wapi jamani.&lt;br /&gt;Naombeni michango, nikishinda narudidha fedha zenu na faida ya asilimia 10000.&lt;br /&gt;Nisaidieni jamani&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110708055804827904?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110708055804827904/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110708055804827904' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110708055804827904'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110708055804827904'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/01/sumaye-atangaza-kuwania-urais.html' title='Sumaye atangaza kuwania Urais'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110708022709828245</id><published>2005-01-30T13:11:00.000+03:00</published><updated>2005-01-30T13:17:07.100+03:00</updated><title type='text'>Bado Shinyanga</title><content type='html'>Jamani bado niko Shinyanga kwa Wasukuma. Hawa jamaa bwana ni wakarimu kweli, kila ninapoingia nyumba moja, nakula, nyumba nyngine napewa chakula, nikikosa sana nakunywa maji ama soda. Ukikataa wanadai kwamba unaringa kwa kuwa unakaa Dar. Basi ni kua tuuuu, lakini lazima uwe makini,ukizidisha sana unaongezeka kilo bila mpango na kukaribisha magonjwa.&lt;br /&gt;Narejea Dar wiki ijayo kupitia njia ya kati kwa barabara ambayo mheshimiwa Magufuli Pombe anadai kwaba baadaye mwaka kesho itakuwa ikipitika hata kwa taxi kutoka Dar hadi Mwanza. Tusubiri. Maana barabara hiyo niivyoiona wakati nikia huku ni balaa tupu, mahandaki ibao na huo ni wakati ambapo mvua zilikuwa zimekoma kwa muda, sasa sielewi mvua itakapoongeeka inakuwa namna gani.&lt;br /&gt;Mashabiki wangu wananiuliza kwanini nimekuwa kimywa, nawaambia kwamba jamani huku kugusa tu mtandao, alfu inakutoka, sasa muda huo huo nitume habari kwa wakubwa wangu na kusalmia jamaa na halafu kublog.&lt;br /&gt;Vuteni subra nikirejea Dar kazi ni kama kawaida.&lt;br /&gt;Tukijaaliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110708022709828245?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110708022709828245/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110708022709828245' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110708022709828245'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110708022709828245'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/01/bado-shinyanga.html' title='Bado Shinyanga'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110630276725035235</id><published>2005-01-21T13:15:00.000+03:00</published><updated>2005-01-30T13:10:57.433+03:00</updated><title type='text'>Shinyanga kwa baiskeli..hawajambo</title><content type='html'>Najua wengi mtakuwa mkiulizana vipi huyu mzee wa Kona Yangu amefia wapi?&lt;br /&gt;Hapana sijafa bado...ni masuala ya kazi tu za milipuko.&lt;br /&gt;Unaambia hivi sasa niko Shinyanga, mji wenye utajiri kibao mpaka baiskeli.&lt;br /&gt;Nina siku ya sita sasa na nimekuwa huko vijijini ambako mtanda kwao ni sumu.&lt;br /&gt;Haya nawahi msafara wa kiongozi mkuu, ukikuacha kazi huna na watoto wanakufa njaa.&lt;br /&gt;Tuko pamoja katika ujenzi wa Tanzania mpya.&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110630276725035235?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110630276725035235/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110630276725035235' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110630276725035235'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110630276725035235'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/01/shinyanga-kwa-baiskelihawajambo.html' title='Shinyanga kwa baiskeli..hawajambo'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110519088237190048</id><published>2005-01-08T16:20:00.000+03:00</published><updated>2005-01-08T16:30:29.030+03:00</updated><title type='text'>Hawa viongozi watabadilika lini?</title><content type='html'>&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Naombeni ruhusa yenu kwanza niwatakie heri ya mwaka mpya nami pia mnitakie heri hiyo hiyo.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Mama Nchimbi ameandika akiwataka viongozi wa Tanzania kutoa heri ya mwaka mpya kwa Watanzania wote ili waweze kuishi kwa amani, kupata maendeleo makubwa na hata kuwa na uchaguzi wa heri.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Nami natumia nafasi hii kuwapa Wana-Blog wote heri ya mwaka mpya ambao uwe na heri kwa ukamilifu wake na pia waweze kutimiza malengo yao ambayo hayakutimizwa mwaka uliopita.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Nimepata wazo jipya mwaka huu ukiwa bado mapema; nimekuwa nikijiuliza kwanini viongozi wetu hawataki kuleta maendeleo ya haraka na ya uwazi mkubwa ambapo kila mmoja wetu atafaidi matunda ya uhuru?&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Jibu lake nimelipata kwamba kumbe hao viongozi wetu hawana muda kabisa jamani wa kufulia mambo ya maendeleo ya wananchi.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Kinachofanyika ni wao kuwa bize mno na kutafuta wapi teni pansenti inatoka, wapi watakwenda kuomba, hasa kwa wafanyabiashara wa Kiasia ili waweze kuwasomesha watoto wao Ulaya na wengine wanakwenda mbali kidogo, eti wako bize wakipanga mikakati ya kuiba kura.Ajabu kweli.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Kumbe jamani hawana muda wa kutuhudumia sisi.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Wao kumbe nao ni sawa tu na waandishi wetu kwamba wao wako bize na kutafuta mishiko hawataki kusoma ili waandike waelimishe, waonye na hata kupongeza. Kazi kubwa ni kujua mishiko iko wapi.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Jamani tutafika kweli!&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110519088237190048?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110519088237190048/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110519088237190048' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110519088237190048'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110519088237190048'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2005/01/hawa-viongozi-watabadilika-lini.html' title='Hawa viongozi watabadilika lini?'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110433418770255269</id><published>2004-12-29T17:58:00.000+03:00</published><updated>2004-12-29T19:51:30.386+03:00</updated><title type='text'>Watanzania kwa kuwekeana kauzibe hawajambo!</title><content type='html'>&lt;span style="font-size:85%;"&gt;KILA siku zinapigwa kelele na serikali kwamba hivi sasa kuna kila juhudi za kuwawezesha wananchi kumiliki asali na maziwa ya nchi. Kelele hizo zinalengo la kuonyesha kwamba serikali inafanya kila linalowezekana ili wananchi, bila kujali hali yake ya kiuchumi wafaidi matunda ya uhuru yaliyopatikana  mwaka 1961.&lt;br /&gt;Ndiyo ni uhuru wa mwaka 1961, lakini sasa yaonekana kabisa uhuru huo umebaki kuwa historia na kusherehekewa kila mwaka inapofika Desemba 9.&lt;br /&gt;Lakini, nina wasiwasi ikiwa sasa kila mazingira na kila hewa (kwa maana ya uchumi na sekta zote za kustawisha jamii)  inaonekana hapa zinamilikiwa na watu ambao hata historia yetu hawaijui; hivi hapa bado tuna uhuru kweli au tunao wa bendera na historia tu.&lt;br /&gt;Ni hao sasa kwa kuwa tu wanamiliki ardhi wakajenga viwanda, wakachimba wanavyotaka kila kitu, na kutojali madhara watakayoacha baada ya miaka yao 33 au 66 kwisha ndi wanaofaidi mno.&lt;br /&gt;Hapa naomba mnielewe vyema, kwamba nazungumzia uhuru na siko nje ya topiki hiyo ambayo ni pana mno (nitaitafutia muda wake maalum).&lt;br /&gt;Mipango na kile kinachoitwa mikakati ya kuondoa umasikini inapendeza kweli inavyosomeka kwenye karatasi, lakini sasa utekelezaji wake naona ni zero kabisa.&lt;br /&gt;Nasema utekelezaji wake ni sifuri kwa kuwa tumekuwa na mipango kibao ya 'kugawana' umasikini, lakini wanaoonekana kupunjwa zaidi ni hao wake wa wakubwa, sisi tunagawiwa sehemu kubwa mno ya umasikini huo, na wao wakipata kiduuchu.&lt;br /&gt;Hiyo ushahidi upo, mbona pesa nyingi za mikopo zimekuwa zikitolewa mijini kwa mashangazi, wajukuu, mashemeji wa hao wakubwa wanaozigawa. Watazame nyuso zao, hawana hata mshipa wa aibu, hawajali kwamba pesa hizo zinatakiwa kupelekwa vijijini, wao wanazigandisha hapa mjini, hasa Dar...wanaziiiiila mpaka basi.&lt;br /&gt;Mtindo huu ndio unaonipa wasiwasi wa kufanikiwa kwa mipango mingine kibao mizuri ya kuondoa umasikini.&lt;br /&gt;Sasa nije kwenye topiki yenyewe, kumetokea ugomvi hapa wa ajabu kweli, Ipo kampuni moja ya Wazawa-sema wenyeji-ukipenda (ingawa uzawa ndilo lenyewe, hili kwa watu wenye ukweli halikwepeki, isipokuwa kwa wanafiki linaonekana mwiba mkali), kampuni yenyewe inaitwa NICO, kwa kweli watu wenye uwezo wao wamejikusanya na kuwekeza fedha zao huko kwa mamilioni.&lt;br /&gt;Lengo kubwa la NICO likiwa ni kununua hisa katika kampuni na mashirika makubwa ya serikali ambayo bado hayajauzwa kwa weupe na hata weusi wenye ngozi ya ukaburu uwe wa kusini ama mashariki.&lt;br /&gt;Sasa bwana hao jamaa wanaendelea na kampeni zao za kuwashawishi wananchi wengine wote kununua hisa kwa sh. 250 kila moja. NICO wanataka kwamba wananchi wengi zaidi wamiliki uchumi kwa kujikusanya kwa maana ya kujenga mtaji mkubwa.&lt;br /&gt;Ghafla bin vuuu, hao jamaa wakiwa wanapata mafanikio, likaibuka dudu fulani linaitwa PSRC, naliita dudu kwa kuwa lina miparaganyiko kibao, wananchi wengi wanalilalamikia dudu hilo.&lt;br /&gt;Ni kweli PSRC imeundwa na Rais, ikiwa ni asasi ya kusimamia urekebishaji na uuzaji wa mali zilizokuwa za serikali (usiseme umma maana waliozifaidi walikuwa ni wale wakubwa waliopewa dhamana ya kuziongoza).&lt;br /&gt;Lakini, nimeshangaa kweli, kama ambavyo wengi wana wa nchi walivyoshangaa kwamba akaibuka kiongozi wa hiyo PSRC akidai kuwa wananchi wawe macho na ununuzi wa hisa, akimaanisha za NICO (hawezi kukwepa hilo, alikuwa wapi kusema zamani?).&lt;br /&gt;Huyo kiongozi anawakanya wananchi wasiendelee kununua hisa...ili mali zote zitakazouzwa ziwe za hao wanaowaona wao ndiyo wanaofaa kununua mali zetu zilizokuwa zao wakubwa (nasema hivyo kwa kuwa wakubwa waliomaliza mali za umma ndio hao hao leo wanaendelea na dhamana katika ngazi kubwa za serikali, tasisi na ofisi zinazoitwa nyeti...tunawajua hata wakiwa katika kutoa maamuzi ya kuuza ama kutouzwa kwa shirika). &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;PSRC linamalalamiko kiboa kutoka kwa wenye akili, yaani wananchi wa nchi hii. Wanajua kwamba dudu hilo limeuza mali kibao kwa bei ya cheeee, na wengine wakiuziwa mashirika mengine hata kabla hawjamaliza madeni ya mashirika ya awali waliyonunua na pia hata waliotelekeza baada ya kununua wanapewa kipaumbele...haya&lt;br /&gt;Kumbe bwana wapo wenye akili zao, hawajali hao jamaa wa dudu hilo...PSRC wanasema nini. Bwana mmoja juzi akajitokeza, anaitwa Dk. Salim Ahmed Salim akanunua hisa za milioni moja sambamba na watu wengine kibao.&lt;br /&gt;Dk. Salim kama walivyo wengine wamegundua siri ya ujanja...hawakubaliani na maneno kwamba huenda NICO imeibuka kuelekea uchaguzi mkuu ikitaka kuwasaidia watu kadhaa kupata urais.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Kinachofanywa na PSRC ni kauzibe tu wananchi wenye mali zao, wao kwa kuwa, (wananifanya niamini) eti wanapokea 10%, basi wanaona heri kuuza tu kwa yeyote hata kama ni muuza dawa za kulevya au jambazi...si analeta hela bwana na cha juu...&lt;br /&gt;Jamani Watanzania kwa kuzibiana...haya bwana...waachieni hao wanaoonekana kuwa wanunuzi zaidi.&lt;br /&gt;Nasema itafika mahali tutajuta...na vijana wetu watahoji mengi na ikiwezekana hata kutuchapa viboko...wakipigania 'maendeleo' yao upya ambayo sisi tuliwaachia maharamia waliokuja kwa kutulambisha asali kumbe inapofika kwenye utumbo mpana inageuka kuwa shubiri ya ajabu.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Tukijaaliwa.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110433418770255269?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110433418770255269/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110433418770255269' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110433418770255269'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110433418770255269'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2004/12/watanzania-kwa-kuwekeana-kauzibe.html' title='Watanzania kwa kuwekeana kauzibe hawajambo!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110389480307776256</id><published>2004-12-24T16:18:00.000+03:00</published><updated>2004-12-24T16:26:43.076+03:00</updated><title type='text'>Nsuji go mva gukang'wiwagwa go moto</title><content type='html'>&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Wasukuma wana msemo kama unavyosomeka hapo juu ambao maana yake ni kwamba supu ya mbwa hunywewa ikiwa ya moto, ikipoa basi hainyweki maana inakuwa nzito na mbaya.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Maana ya msemo huo ni kwamba ni vyema kuchangamkia kila jambo kungali mapema ikiwa linaonekana linaleta faida.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Sasa nawahimiza Watanzania wenzangu kuwa macho na kujituma zaidi katika shughuli zao. Ikiwa mwaka huu wameshindwa kutimiza malengo yao, basi Inshallah mwaka kesho kila mmoja afanye hima kuanza mapema jitihada zake za kujikwamua na umasikini.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Kila heri katika shughuli za kila mmoja.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110389480307776256?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110389480307776256/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110389480307776256' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110389480307776256'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110389480307776256'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2004/12/nsuji-go-mva-gukangwiwagwa-go-moto.html' title='Nsuji go mva gukang&apos;wiwagwa go moto'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8661008.post-110389365977458545</id><published>2004-12-24T15:48:00.000+03:00</published><updated>2004-12-25T10:43:15.803+03:00</updated><title type='text'>Mama yangu...Wameachiwa!</title><content type='html'>&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Ni ajabu na kweli...Tanzania juzi ilikumbwa na simanzi baada ya kutapakaa kwa habari kwamba wazungu wawili Waingereza walioua dada yetu wameachiwa huru.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Wameachiwa huru eti kwa mamlaka aliyonayo Mkurugenzi wa Mashitaka, kwamba eti hawana kosa la kuua.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Ninavyoandika hivi sasa vijana hao waliokuwa wametoka Fallujah na kuja kutumbua Dar es Salaam, wamewasili kwao na wanakula kuku kwa mirija wakituona jinsi sisi Watanzania tulivyokuwa wajinga. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;'Nini bwana Tanzania- u ken jasti kili endi go, noo bode tachiz uu-, ndivyo wanavyosema sasa wakiwa na wachumba wao. Pumbavu zao.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Yaani jamani wameachiwa kabisa, tena katika kesi ya mauaji...najua kwamba Wamatumbi wenzetu wakiua hata kama kwa kusingiziwa hawawezi kuachiwa kwa muda mfupi namna hiyo, tena kesi ikiwa bado inasikilizwa katika mahakama ndogo kabla hata ya kusomea mashitaka katika mahakama kuu yenye dhamana kwa kesi za mauaji.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Hao Wazungu hawajakaa hata mwezi mmoja ndani, ambako nako walikuwa wakila kuku kama kawaida, wameondoka lakini nasema damu ya binadamu itawafiuata huko waliko.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Waone ngozi zao...wamezoea kuua...wamewaua Wairak na hawajachoka, sasa wanakuja kuua watu wetu...washenzi wakubwa.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Jamani nyie mnaokaa huku Ulaya mkiwaona naomba muwafikishie salamu zangu kwamba nawatukana sana Watanzania wengi wanawaona kama mashetani wasiokuwa na mikia. Waangalie kwanza pua zao.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Magazeti mengine nayo bwana hayana utaifa, eti yakaandika aliyeuawa ni changudua, kuonyesha kwamba siyo binadamu kamili kama walivyo waandishi ama wahariri wa gazeti hilo, nao siwaogopi nawaambia wakafie mbali kama waliona wazungu hao wauaji ni wa maana sana kuliko Mtanzania mwenzetu.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Napata mawazo kwamba Tony Blair aliyeidhinisha Wairak kuuawa kama kuku alizoza na vingozi wetu na wakakubaliana suala hilo liishe kinyemela.&lt;/span&gt; &lt;span style="font-size:85%;"&gt;Hata afadhali kidogo kwa kuwa vingnevyo tungesikia tu hao jamaa wametoroshwa na wako kwao siku nyiingi...njia hii naona waliistukia&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Kweli nimeamini umasikini kweli mzigo, yaani mtu kwa kuwa tu anaweza kusaidia kukupa mkate, basi anakuwa na sauti hata ya kutoa roho za watoto wako. Makubwa. Mungu atunusuru na haya maswaibu.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Hivi kweli angekuwa Mtanzania huko Uingereza amehusishwa na mauaji, wangemwachia washenzi wale. Nasema wasingethubutu kufanya hivyo kwa kuwa wanaamini kuwa damu yao ni nzito kuliko maji kama ambavyo maji yetu yalivyo mepesi kuliko damu.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;Kuwatukana binadamu ni dhambi lakini Mungu atanisamehe kwa hili.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8661008-110389365977458545?l=blog.simonmkina.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://blog.simonmkina.com/feeds/110389365977458545/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8661008&amp;postID=110389365977458545' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110389365977458545'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8661008/posts/default/110389365977458545'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://blog.simonmkina.com/2004/12/mama-yanguwameachiwa.html' title='Mama yangu...Wameachiwa!'/><author><name>Mkina</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03488638125541943999</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_OzMEb3v6yOo/Sw_IZbpF3cI/AAAAAAAAADY/wfiybPlvwgY/S220/simon_Mkina.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry></feed>
